Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Wengine wanadai ni kumtukuza Amun aliyekuwa Mungu wa Misri ya kale.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine wanadai ni kumtukuza Amun aliyekuwa Mungu wa Misri ya kale.
Sasa nini kilichokuudhi zaidi hapa? Mapaja ya demu wako kuonekama au demu wako kuangushwa?Halafu wale wachungaji wanaowaweke watu mikono vichwani wananikera mno. Mchungaji mmoja alikuwa anamwombea demu wangu huku amemwekea mkono kichwani, Sasa demu akawa mgumu wa kuanguka mchunguaji akaamua kumtegea mguu Kwa mbele na kukishika kichwa Cha demu Kwa nguvu Kisha akamsukuma chuni. Demu alianguka mpaka mapaja yakaonekana.
Nilikasirika mpaka nikasonya kanisani.
Vyote Kwa pamoja.Sasa nini kilichokuudhi zaidi hapa? Mapaja ya demu wako kuonekama au demu wako kuangushwa?
Hatari mno.Na wanaojua kiingereza ndiyo wanawashika balaa. Unakuta mtu alizamiaga South au Ulaya zamani sasa kiingereza kipo kipo. Anaamua kurudi bongo na kufungua kanisa. Basi anahubiri kwa kiingereza na anakuwa na mtafsiri.
Mmh nadhani ni jamaicaHaya makanisa yanayoota kama uyoga yanayojiita ya kiroho yana vituko achilia mbali hiyo miujiza feki. Eimeen ni neno la lugha gani? Siyo neno halisi katika lugha mama za biblia.
Ni matapeli tu na kule kwa wenzetu wazungu hakuna mijitu mingi mipambavu kwa hiyo biashara ya utapeli kwa jina la dini kule ni ngumu sana. Ukija hapa Bongo unajizolea maelfu ya watu wasio na afya ya akili.Hatari mno.
Sijui ni nani ataliponya taifa letu. Tuna janga kubwa sana linatutafuna but seems like no one cares.Mmh nadhani ni jamaica
Wapo wengi tu Arusha wana viredio vyao. Wizi mtupu. Nasema siku zote huyu Yesu wanayemhubiri kama siku moja angeamua kukagua makanisa yote hawa manabii na mitume na walimu wangekuwa wa kwanza kutorokea dirishani. Asalimia 99 ni majizi tu. Motivational speakers deceiving people in the name of religion!Hatari mno.
Ukiwa na afya timamu ya akili huwezi kuanguka huko makanisani. Nimepita makanisa mengi mno nikasema acha nione. Akijaribu kunisukuma na mimi namsukuma aanguke yeye😆😆Walokole wana mambo sana!
Kuna haya makanisa ya mitume na manabii... Haya huwaga siyaelewi aiseee! Mtu hasomi biblia, anasomewa na mtu mwingine ikifika muda wa kuombea akipuliza tu maiki watu wote wanaanguka! Huu si uchawi huu? Na kila mtu ana maji au mafuta yake anayoyauza kwa kisingizio cha kuleta mafanikio kwa watumiaji
Sina shida na Ameen au Eimeen yao. Nimeuliza ni lugha gani? That was my basic question. Hata AMINA ni lugha gani? Siyo Kiebrania wala Kigiriki wala Kiaramayo wala Kilatini.Wewe mtanzania wa wapi hujui Amina? Hiyo amein ni mbwembwe za wale wanaongea kwa sauti za kukwaruza kwenye nyumba za ibada
Amina ni kiswahiliSina shida na Ameen au Eimeen yao. Nimeuliza ni lugha gani? That was my basic question. Hata AMINA ni lugha gani? Siyo Kiebrania wala Kigiriki wala Kiaramayo wala Kilatini.
Sauti za kukwaruza wanajitakia wenyewe kwa upumbavu wa kukemea pepo kwa jina la Yesu mara hamsini. Jina la Yesu wa kweli linatajwa mara moja tu mambo yanakamilika. Huyo Yesu wao wa KWA JINA LA YESU mara kumi ishorini thelathini ni YESU WA UONGO. Matapeli tu hao. Soma Biblia hakuna mahali mitume wa Yesu walikuwa wanafanya miujiza kwa kulitaja jina la Yesu kipumbavu kama hawa wahubiri wa leo. Soma kitabu cha MATENDO YA MITUME ujionee mwenyewe Petro alipomponya kiwete pale kwenye MLANGO MZURI wa hekalu na Mtume Paulo alipomfufua kijana aliyekufa kwa kuanguka kutoka ghorofani na simulizi zingine. Kwa sasa ni matapeli tu wamejipatia mahali pa kujificha ambapo haguswi mtu. So sad!Wewe mtanzania wa wapi hujui Amina? Hiyo amein ni mbwembwe za wale wanaongea kwa sauti za kukwaruza kwenye nyumba za ibada
Basi tutafute neno la Kiswahili. Maana neno hilo la Kiebrania linamaanisha NA IWE HIVYO na kuna mahali hata kwenye sacraments fulani za walatoliki neno hilo halitumiki kwenye sacrament ya upatanisho maana haina HUMAN SANCTIONUnachanganyikiwa na neno dogo sana ewe farisayo, mtoza ushuru na mtu wa mataifa. Eimeeen ni neno sawa na kusema amina, hiyo amina itamke kwa kiingereza ita sound vile
Na EIMEEEEN ni lugha gani??Amina ni kiswahili
Amen kwa matamshi ya kiingereza ni eimeen? Are you serious?Unachanganyikiwa na neno dogo sana ewe farisayo, mtoza ushuru na mtu wa mataifa. Eimeeen ni neno sawa na kusema amina, hiyo amina itamke kwa kiingereza ita sound vile
FARISAYO, MTOZA USHURUUnachanganyikiwa na neno dogo sana ewe farisayo, mtoza ushuru na mtu wa mataifa. Eimeeen ni neno sawa na kusema amina, hiyo amina itamke kwa kiingereza ita sound vile
Kama vile Kristu na KristoUtamkaji wa mbwembwe tu badala ya "amina"/"amen"!Una swali lingine au unawachukia tu?
mbona povu sana ewe sadukayo?FARISAYO, MTOZA USHURU
, MTU WA MATAIFA. Yaani hawa wote ni mtu mmoja?? Nimecheka kwa sauti kubwa. Jifunze biblia na historia ya ukristo na kanisa vizuri. Maana sasa hata sijui wewe umejiweka wapi hapo. According to the bible you are a GENTILE.