wewe naye si mzima,unaitaji ushauri.karibu
Linakukera wewe kuwa wazi mkuu.1.Ni matumaini yangu wote mu wazima!! naombeni kuwaulizeni swali ndugu zanguni! hivi kufika kileleni ndani ya dk moja wakati wa kufanya kale kamchezo kwa mwanaume ni matatizo ya kiafya au ni kawaida kwa wanaume woote wajameni? na kama basi ni tatizo, je ni njia zipi au ni mbinu zipi mwanaume inampasa kuzitumia ili adumu kwenye hilo tendo kwa mda mrefu?? 2. Je mbona mjomba huwa anasinzia mara baada ya kumaliza bao la kwanza? je ni tatizo kushindwa kuendelea na game (kuunganisha) baada ya kumaliza la kwanza?? je mwanaume afanyeje ili aweze kuunganisha baada ya kumaliza cha kwanza? Tusaidiane ndugu coz tatizo hili huwa linawakera sana wanaume wengi!!!
Pole sana mr mkadhari hii kitu ilinisumbua hata mimi sana pindi niko teenager but sikimbuki nani alinipa hili darasa ila hii kitu ya kutofika kileleni mapema inawezekana tena mbna sana coz me huwa sinaga tofauti na bao la kwanza na lile la pili au la tatu kozi hii huwa ni hisia tu unazileta kalibu yaaani unausikiliza sana ule utamu wa kwenye k*** ndo maana unakojoa mapema yaaani toa maaawazo kabisa ikisikia kinakuja tulia kama unaweza chomoa kidogo.mwezio shemeji yenu huwa kimoja tu hoi maaanake inanibidi nimsubili tufike siku nikiwahi huwa ni inshu kozi hata mimi huwa napitiwa nashaaanga nimeweka kitu tu haaaaa tayariiiiJaribu kufanya mazoezi ya viungo mara kwa mara au kila siku, uchovu wa mwili unaweza kuchangia tatizo lako!
acha kupiga masta kijana hiyo ni puli tu ndo maaana unachelewa koz umezoea mikono sanaMie nisaidieni,nachelewa sana kufika kileleni kiasi kwamba namuumiza mwenzangu na kutumia nguvu nyingi kuvuta hisia walau nimalize,nampa wakati mgumu mwenzangu kwani hakubali tena kurudia game,na anadai na kulama kwamba namkomoa,many times ananiacha njiani kabla sijamaliza!na huwa hataki kabisa tuendelee.msaada wenu bana madoctor.
1.Ni matumaini yangu wote mu wazima!! naombeni kuwaulizeni swali ndugu zanguni! hivi kufika kileleni ndani ya dk moja wakati wa kufanya kale kamchezo kwa mwanaume ni matatizo ya kiafya au ni kawaida kwa wanaume woote wajameni? na kama basi ni tatizo, je ni njia zipi au ni mbinu zipi mwanaume inampasa kuzitumia ili adumu kwenye hilo tendo kwa mda mrefu?? 2. Je mbona mjomba huwa anasinzia mara baada ya kumaliza bao la kwanza? je ni tatizo kushindwa kuendelea na game (kuunganisha) baada ya kumaliza la kwanza?? je mwanaume afanyeje ili aweze kuunganisha baada ya kumaliza cha kwanza? Tusaidiane ndugu coz tatizo hili huwa linawakera sana wanaume wengi!!!
Ishakuwa Kuku sasa, ukitaka ndani ya sekunde fanya na JogooMi natamani mngekuwa mnafika ndani ya sekunde ili msituchoshe ati.