Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

mzee akishakuwa na hasira hata kama kinembe ni kibaya kiasi gani huwezi kumzuia hapo hata macho ya kuangalia aina ya kinembe hayapo! ndo maana pamoja na kwamba kuna mabaki ya haja kuna mlango wa nyuma bado mzee anabisha hodi na kuingia bila wasiwasi!!!
 
hakuna kitu kama hicho mawazo yako lazima uweke pale na lazima uweunampenda mbango mzima hata goli 7 Unaweza do
 
wanasema fanya kwa utaratibu usiwe na haraka na ukiona inakaribia
irudishe afu anza tena rudia hivo hivo unaweza kukaa hata dk 40.
pili wkt unafanya jaribu kuhamisha mawazo yako waza mambo mengine itasaidia pia kuchelewesha.
kwa kawaida ukitumia condom utachelewa zaidi lkn kama unajilipua huwa inawahi kw ahivo jaribu hii njia mm imenisaidia sana mfano kama mlishawahi gombana na mwenzio basi hamisha mawazo yako hapo ujifanye imekasirika mambo itachelewa na mtafika wote ubungo badala ya ww kuishia fire wkt mwenzio bado.
 
thanx u all kwa ushauri wenu ila walaaniwe kwa wale wachukuliao matatizo ya watu kama masihara!!
 
kula ushibe vizuri kabla ya tendo lenyewe na umutayarishe mwezio kwa muda usiwe kama jogoo iga mfano wa bata
 
wimbo wa taifa huo...!kila siku mnaleta matopic yenu hayo hayo...!kileleni...kileleni...kileleni my foot!

the more you do it..the more you get used to it...!mwisho kabisa hapo...msidanganyane...

halaf acheni zinaa ninyi watoto
 
1.Ni matumaini yangu wote mu wazima!! naombeni kuwaulizeni swali ndugu zanguni! hivi kufika kileleni ndani ya dk moja wakati wa kufanya kale kamchezo kwa mwanaume ni matatizo ya kiafya au ni kawaida kwa wanaume woote wajameni? na kama basi ni tatizo, je ni njia zipi au ni mbinu zipi mwanaume inampasa kuzitumia ili adumu kwenye hilo tendo kwa mda mrefu?? 2. Je mbona mjomba huwa anasinzia mara baada ya kumaliza bao la kwanza? je ni tatizo kushindwa kuendelea na game (kuunganisha) baada ya kumaliza la kwanza?? je mwanaume afanyeje ili aweze kuunganisha baada ya kumaliza cha kwanza? Tusaidiane ndugu coz tatizo hili huwa linawakera sana wanaume wengi!!!
Linakukera wewe kuwa wazi mkuu.
 
Jaribu kufanya mazoezi ya viungo mara kwa mara au kila siku, uchovu wa mwili unaweza kuchangia tatizo lako!
Pole sana mr mkadhari hii kitu ilinisumbua hata mimi sana pindi niko teenager but sikimbuki nani alinipa hili darasa ila hii kitu ya kutofika kileleni mapema inawezekana tena mbna sana coz me huwa sinaga tofauti na bao la kwanza na lile la pili au la tatu kozi hii huwa ni hisia tu unazileta kalibu yaaani unausikiliza sana ule utamu wa kwenye k*** ndo maana unakojoa mapema yaaani toa maaawazo kabisa ikisikia kinakuja tulia kama unaweza chomoa kidogo.mwezio shemeji yenu huwa kimoja tu hoi maaanake inanibidi nimsubili tufike siku nikiwahi huwa ni inshu kozi hata mimi huwa napitiwa nashaaanga nimeweka kitu tu haaaaa tayariiii

Ni hayo kijana jaribu hiyo method hakuna dawa pale peleka tu hisia mbali
 
Mie nisaidieni,nachelewa sana kufika kileleni kiasi kwamba namuumiza mwenzangu na kutumia nguvu nyingi kuvuta hisia walau nimalize,nampa wakati mgumu mwenzangu kwani hakubali tena kurudia game,na anadai na kulama kwamba namkomoa,many times ananiacha njiani kabla sijamaliza!na huwa hataki kabisa tuendelee.msaada wenu bana madoctor.
acha kupiga masta kijana hiyo ni puli tu ndo maaana unachelewa koz umezoea mikono sana
 
Pole dogo.

Sio kosa lako. Kumaliza katika muda mfupi huwa inawatokea karibu wanaume wooote pale wanapo jamiiana baada ya kuto fanya kwa kipindi kirefu. Usi fadhahike kwa hilo.

Wa yunani wa zamani walikuwa wanawafundisha wananchi woote juu ya sexual satisfaction. Wana falsafa yao inayoitwa KARAZA. Hii ni kufanya na pale unapohisi unataka ku shoot...... Unatoa. Na munapumzika kwa punde na mna anza tena game. Hadi wooote mkiwa tayari pamoja mna ambizana mumalize.
This works. I personally have tried it and it satisfies even your partner. Do and you will come to adopt this philosophy.😛oa​
 
1.Ni matumaini yangu wote mu wazima!! naombeni kuwaulizeni swali ndugu zanguni! hivi kufika kileleni ndani ya dk moja wakati wa kufanya kale kamchezo kwa mwanaume ni matatizo ya kiafya au ni kawaida kwa wanaume woote wajameni? na kama basi ni tatizo, je ni njia zipi au ni mbinu zipi mwanaume inampasa kuzitumia ili adumu kwenye hilo tendo kwa mda mrefu?? 2. Je mbona mjomba huwa anasinzia mara baada ya kumaliza bao la kwanza? je ni tatizo kushindwa kuendelea na game (kuunganisha) baada ya kumaliza la kwanza?? je mwanaume afanyeje ili aweze kuunganisha baada ya kumaliza cha kwanza? Tusaidiane ndugu coz tatizo hili huwa linawakera sana wanaume wengi!!!

Mkandahari hii hali wala sio tatizo, inawezekana unapita muda mrefu bila kukutana na mwenzako vinginevyo ukifululiza baada ya siku kadhaa mwili unazoea na unaweza kujipimia mwenyewe. Hata sie wakongwe tukisafiri kwa muda mrefu siku unarudi inakuwa karaha; yaani makmia maji hayanywi!
Hayo ya kufululiza unatakiwa uwe mtu wa mazoezi na stamina ya kutosha ingawa kwa vijana 'teenagers' na 20's ni jambo la kawaida tu.
 
inaweza kuwa kweli coz naweza kukaa hta miezi miwili cjafanya hlo tendo coz am so far na my patner!! daaah! kuuuumbe! thanx mkuu! subiri nitafute kipoozeo nikifika kwa mamsapu a-experience the difference!! huulaaaaa!!
 
Heshima kwenu wakuu. Najitokeza hapa ili kueleza tatizo langu nikitumaini nitasaidiwa njia za kukabiliana nalo na kulimaliza.

Ni kwamba nilisoma shule za wavulana tangu kidato cha 1-6 na kutokana na presha ya makundi tukawa tunaelezana kwamba kwa kuwa hatukuwa na wasichana basi mtu akijisikia hamu basi apige masturbation. Nami nilipiga sana japo niliacha baadaye.

Tatizo langu sasa ni kwamba nikiwa na partner wangu napiga gemu mara moja na wakati mwingine nachukua muda mfupi sana (hata dk 2 tu) kumaliza na naweza nisipate hamu tena ya kurudia. Jambo hili linanifedhehesha mimi mwenyewe pamoja na partner wangu tuliyepanga kuishi pamoja maisha yetu yote. Tunapendana sana na sipendi na wala yeye hapendi tuachane kwa sababu hii.

Nilienda Regency Hospital kupima afya yangu vipimo vikaonyesha kuwa sina matatizo na kwa nyakati tofauti nikapewa dawa kadhaa kama Sessofoite, Erector, Saheal. Dawa hizo zilisaidia sana kwani nilikuwa nafunga magoli hadi matatu kifaa kikiwa bado kiko imara na kwa kweli partner alikuwa akifurahia.

Baada ya kutumia dawa nilidhani kuwa sasa tatizo liliisha nikaamua kuacha kutumia dawa. Lakini nisipotumia dawa tatizo hujirudia tena na tena.

Naomba msaada wa mawazo, nifanyeje ili tatizo langu liishe kabisa?
 
Fanya mazoezi na pia epuka bia na soda.Zingatia kunywa maji mengi
 
Back
Top Bottom