Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]


Mkuu unazibanaje?
 
Dah! Sijui wewe ukoje, maana kuna wanawake wengine jinsi walivyoumbika kitendo cha kuvua tu tayari umeshalimwaga.
 
Hiyo inategemea na ratina ya hilo zoezi, kama mnakaa muda mrefu bila ku do lazima la 1 lije fasta, jaribu kiumpa ushirikiano alete la pili halafu uone atachukua muda gani. Iwapo litakuja fasta pia basi kuna ulazima wa kumuona dr.
 
hilo linatibika tu kwa psychological treat hata mie nikutana kitu kama hyo ntakafata aelelekezo am than perfect now mail me nkuelekeze enockd11@yahoo.com
 
Hafiki dakika nane? Vijana mna kazi kweli. Inamaana wakati anasokomeza we macho yako yako kwenye saa. To me dakika nane naweza mkojolesha mwanamke raundi mbili... Maandalizi na maufundi tu mama. Afu mwambie aache kupiga punyeto.

Haaahaaa! Umegunduaje anapiga Punyeto Asprin? I now know bila kuwa na shaka kwamba kuna wanaume wachache sana wanaojua nini wanatakiwa kufanya wapenzi wao waridhike.
 
kwani kuna mwanamme anaeweza zaidi ya dakika 5?
mbona kawaida wote si ni hivohivo jamani au?
wapo dada, 10+, esp bao la pili kuendelea.
la kwanza maybe less than 5.

tatzo haelezeki,ukimwambia 2jaribu hvi eti yeye hawezi ndo alivyoumbwa kumaliza mapema,IS IT TRUE??He doesnt want to put anyeffort.
Duh!
ndo kaumbwa ivo?
sepa.
 
hilo linatibika tu kwa psychological treat hata mie nikutana kitu kama hyo ntakafata aelelekezo am than perfect now mail me nkuelekeze enockd11@yahoo.com
NDO mana tuko hapa jamvini.
kwanini usitoe link au uanike hapa kila mtu achukue maujuzi.
 
Yaani anapiga bao moja tu kila siku kitu haisimami tena mpaka kesho yake.

duh!...tafuta articles za PC Muscles kwa wanaume, ile misuli inayoshughulika na utokaji wa ama manii(shahawa) au mkojo....
kama mwandani wako atakua yu radhi kutendea kazi hiyo misuli siku hadi siku utaona mabadiliko...
 
We demu lawama na inaonekana umemathiri kisaikolojia jaribu kumfanya akuone kwamba wewe
ni mtamu na badala ya kulaumu tengeneza mazingira awe na apetait ya kupiga goli nyingi kama
christian Ronaldona chenga na manjonjo kama Lionel Mess hapo sio unalaumu tu.
kama hiyo tiba ikishindikana tusaidiane NI PM WE ............................
 

Kwanini wewe usijitayarishe nae mapema ukafikia kilele within 3 minutes. Kumbuka, kuridhishana si kuingiliana tu. 5 minutes zipo within norm, kumbuka pia ukiwa mchezaji na mbunifu unaweza ukamfanya azidishe huo muda kwa kiasi ukipendacho.

Kuridhishana hakuanzii na kuishia kwenye kutiana. Huanzia kwenye, namna ya chakula, namna ya mavazi, namna ya matembezi, namna ya maongezi, namna ya kunyegezana, namna ya kuhamasishana, namna ya kutiana, namna ya kutekenyana,

Njia moja ya kumfanya achelewe kushusha ni itapofika dakika ya nne (kama yeye ni wa dakika tano), mtekenye, ataanza tena 0 na hapo itakuwa umejiongezea dakika zingine 5, kama bado, ikifika dakika nne mtekenye tena, ni wapi utataka aishie, kazi ni kwako.

Ukitaka utaalam zaidi ni pm, hiyo ni pati gazeti tu.
 
Hivi umefanyiwa tohara/kukeketwa?Usione aibu ya aina yoyote kujibu swali hili. Kufanyiwa kitendo hiki (kukeketwa)hupunguza hisia kwa wanawake na hivyo kuchelewa sana kufika kileleni.Kama uko hivo basi unahitaji maadalizi ya hali ya juu ili kuvuta hisia kwanza kabla ya game na pindi ukianza game hutakuwa mzigo kwa mwenzio, na hakika utawahi.
 
Dont leave him lest you might get someone who would tire you for hours and hours.

Train yourselves to synchronise. This is better. Then both of you would be happy.

I wish you would come to me for training.......... !!!!!!!!!!!!!!!!
 

Ebana kuna ka-ukweli hapo,mie nishakuwa na mmoja kafanyiwa tohara alikuwa ananitesa sana yaani ili afike kileleni ilikuwa inatuchukuwa mpaka nusu saa.
 
Ukienda unyagoni watakufundisha jinsi ya kumhudumia mama , usikimbie ila ngono kabla ya ndoa ni kazi ya shetani
 
Tatizo lenu vijana mnakula chips mayai alafu mnatake mtanange wa nguvu,hebu mshauri mwenzi wako ale ugali dona kwa maziwa na mbogamboga uone kazi,ikiwezekana ashibe kabisa na ka bia kamoja utakimbia chumbani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…