Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

mkuu kuna mdosi mmoja alikuwa boss wangu alikuwa natumia hii kitu zipo Dar. cheki pale phamacy iliyoko karibu na NMB morogoro RD, ila angalia usije ukasababisha mtu akatoka nduki, maana huyu mdosi siku alichukua mdada ,mdada aliacha chupz akasepa katikati ya majambo in short dont try it at Home

STUD 100 - DESENSITIZING SPRAY FOR MEN

Stud 100 Desensitizing Spray - Makes You Last Longer stud_100_1.jpg

Wanajamvi msaada,natafuta e*d*spray inisaidie ktk ku-save energy to reach at least 45min per shoot msaada any?
 
Wanajamvi msaada,natafuta e*d*spray inisaidie ktk ku-save energy to reach at least 45min per shoot msaada any?
Mkuu.@Crocodiletooth Huku kwangu ipo nimesha wahi kuiona kwenye duka la dawa pharmacy sijajuwa inauzwa bei gani ngojea leo nipite nitakufahamisha nitumie Barua ya pepe Email yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com

Ngoja MziziMkavu aje...mi napita tu..
Mkuu LORDVILLE Vipi hali yako? Wabongo kwakupenda Papuchi kasheshe kweli jamani.
 
Last edited by a moderator:
Wanajamvi msaada,natafuta e*d*spray inisaidie ktk ku-save energy to reach at least 45min per shoot msaada any?
ipo mkuu sijui uko wapi? kuna kitu ninacho from congo inaitwa bunga si mchezo ni miti iliyosagwa kuwa unga , then unapaka katika shaft for at least 7hrs unaoga then wait to see . kuna jamaa mmoja nilimpa hiyo kitu akanipa kwa kupenda kwake 300,000tshs , aliniambia now nimerudi kama kijana na mkewe akawa anacheka cheka tu. mimi naipata congo kwa wale wazee wanao oa wake zaidi ya kumi . na wala usiwe na mashaka na kwamba ndiyo imekumaliza kama ukiwa hujaitumia , inakupa nguvu hata kama hutaitumia muscles zinatibiwa
 
. Dk 45 ndani au inajumuisha na romance???

Kama dk 45 kwenye k mwanamke wako kazi anayo.....
 
ipo mkuu sijui uko wapi? kuna kitu ninacho from congo inaitwa bunga si mchezo ni miti iliyosagwa kuwa unga , then unapaka katika shaft for at least 7hrs unaoga then wait to see . kuna jamaa mmoja nilimpa hiyo kitu akanipa kwa kupenda kwake 300,000tshs , aliniambia now nimerudi kama kijana na mkewe akawa anacheka cheka tu. mimi naipata congo kwa wale wazee wanao oa wake zaidi ya kumi . na wala usiwe na mashaka na kwamba ndiyo imekumaliza kama ukiwa hujaitumia , inakupa nguvu hata kama hutaitumia muscles zinatibiwa

Hapo kijana lazima akutafute..
 
Wewe lazima unahitaji Viagra tu!!maana ndo dawa yake

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
As
crazy as it sounds, a man can only
ejaculate when he is thinking
about ejaculating – this is the
same whether he premature
ejaculates or ejaculates at will. If
he is not thinking about it, he
can’t and won’t actually ejaculate.
 
Tumia Asali ya nyuki vijiko viwili vya chai kila asubuhi na jioni angalau mara nne kwa wiki kaka. Pia kunywa chai yenye mdalasini japo kikombe kimoja kila jioni na weka asali badala ya sukari. Kama mdalasini ni tabu kupatikana, lemon grass (mchai chai) unaweza kusaidia pia. Punguza matumizi ya vileo na matumizi ya sukari ya kawaida. Fanya hivyo na matokeo utayaona ndani ya saa 48. Tafadhali toa mrejesho ili na wengine wajue nguvu ya asali na mdalasini.
 
Na Dawa ingine hii hapa chini kiboko ya dawa zote inatwa Buzzer Energy Drink ukinywa kisha unatakiwa ukae kama nusu saa kisha anza kufanya

tendo la ndoa basi ukifanya mchezo mke wako ataweza kukimbia kwa sababu inaongeza nguvu nyingi za kiume kiasi ya

dushelele Uume wako unaweza kusimama na kuwa na nguvu kwa muda wa masaa 24 siku nzima ni kinywaji kiboko ya

dawa zote za nguvu za kiume jamani kwa mwenye kutaka awasiliane na mimi kwa njia ya Email yangu hii hapa
fewgoodman@hotmail.com


attachment.php


Kwa wale wanaopenda kufanya kwa muda Mrefu Mapenzi hii ndio Dawa kiboko ya zote changamkeni sasa hichi kinywaji kazi kwenu.
 

Attachments

  • Buzzer Energy Drink.png
    Buzzer Energy Drink.png
    79.2 KB · Views: 534
ipo mkuu sijui uko wapi? kuna kitu ninacho from congo inaitwa bunga si mchezo ni miti iliyosagwa kuwa unga , then unapaka katika shaft for at least 7hrs unaoga then wait to see . kuna jamaa mmoja nilimpa hiyo kitu akanipa kwa kupenda kwake 300,000tshs , aliniambia now nimerudi kama kijana na mkewe akawa anacheka cheka tu. mimi naipata congo kwa wale wazee wanao oa wake zaidi ya kumi . na wala usiwe na mashaka na kwamba ndiyo imekumaliza kama ukiwa hujaitumia , inakupa nguvu hata kama hutaitumia muscles zinatibiwa

.....Mkuu kuna mtu niliwahi kumsikia anaongeleaga makitu kama hzo ila alitaja jina tofauti CONGO DUST au LUBUMBASHI ndo yenyewe jombaa?
 
Dk 45 lzm uwe unapanda punda jmn!!

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
.....Mkuu kuna mtu niliwahi kumsikia anaongeleaga makitu kama hzo ila alitaja jina tofauti CONGO DUST au LUBUMBASHI ndo yenyewe jombaa?
nafikiri yaweza ikawa kwani congo majina ya kitu yanatokana na kiswahili chao kibovu na jinsi kitu hicho kitakavyovuma , mfano hii ni unga jinsi inavyojulikana lakini wao wanaita BUNGA
 
Back
Top Bottom