Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.

Wanajamvi msaada,natafuta e*d*spray inisaidie ktk ku-save energy to reach at least 45min per shoot msaada any?
Mkuu.@Crocodiletooth Huku kwangu ipo nimesha wahi kuiona kwenye duka la dawa pharmacy sijajuwa inauzwa bei gani ngojea leo nipite nitakufahamisha nitumie Barua ya pepe Email yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.comWanajamvi msaada,natafuta e*d*spray inisaidie ktk ku-save energy to reach at least 45min per shoot msaada any?
Mkuu LORDVILLE Vipi hali yako? Wabongo kwakupenda Papuchi kasheshe kweli jamani.Ngoja MziziMkavu aje...mi napita tu..
ipo mkuu sijui uko wapi? kuna kitu ninacho from congo inaitwa bunga si mchezo ni miti iliyosagwa kuwa unga , then unapaka katika shaft for at least 7hrs unaoga then wait to see . kuna jamaa mmoja nilimpa hiyo kitu akanipa kwa kupenda kwake 300,000tshs , aliniambia now nimerudi kama kijana na mkewe akawa anacheka cheka tu. mimi naipata congo kwa wale wazee wanao oa wake zaidi ya kumi . na wala usiwe na mashaka na kwamba ndiyo imekumaliza kama ukiwa hujaitumia , inakupa nguvu hata kama hutaitumia muscles zinatibiwaWanajamvi msaada,natafuta e*d*spray inisaidie ktk ku-save energy to reach at least 45min per shoot msaada any?
ipo mkuu sijui uko wapi? kuna kitu ninacho from congo inaitwa bunga si mchezo ni miti iliyosagwa kuwa unga , then unapaka katika shaft for at least 7hrs unaoga then wait to see . kuna jamaa mmoja nilimpa hiyo kitu akanipa kwa kupenda kwake 300,000tshs , aliniambia now nimerudi kama kijana na mkewe akawa anacheka cheka tu. mimi naipata congo kwa wale wazee wanao oa wake zaidi ya kumi . na wala usiwe na mashaka na kwamba ndiyo imekumaliza kama ukiwa hujaitumia , inakupa nguvu hata kama hutaitumia muscles zinatibiwa
Dakika 45 zote za nini?
ipo mkuu sijui uko wapi? kuna kitu ninacho from congo inaitwa bunga si mchezo ni miti iliyosagwa kuwa unga , then unapaka katika shaft for at least 7hrs unaoga then wait to see . kuna jamaa mmoja nilimpa hiyo kitu akanipa kwa kupenda kwake 300,000tshs , aliniambia now nimerudi kama kijana na mkewe akawa anacheka cheka tu. mimi naipata congo kwa wale wazee wanao oa wake zaidi ya kumi . na wala usiwe na mashaka na kwamba ndiyo imekumaliza kama ukiwa hujaitumia , inakupa nguvu hata kama hutaitumia muscles zinatibiwa
nafikiri yaweza ikawa kwani congo majina ya kitu yanatokana na kiswahili chao kibovu na jinsi kitu hicho kitakavyovuma , mfano hii ni unga jinsi inavyojulikana lakini wao wanaita BUNGA.....Mkuu kuna mtu niliwahi kumsikia anaongeleaga makitu kama hzo ila alitaja jina tofauti CONGO DUST au LUBUMBASHI ndo yenyewe jombaa?