Afanye mazoez kwa sana,apunguze kupiga punyeto,aache bangi na ale msos wa maaana
Akishindwa awatafute wamasai wampe sumu
hiyo hapana aisee masaa mawili!sio vita.Mm nilikuwa nauza
hiyo Dawa lkn sio permanent na asikudanganye mtu hapo hamna dawa zaidi
itakuwa siku yaaa kusex tu akipaka anakupiga mambo hata masaa mawili
bila kushusha mpaka issue ichubbuke
jamani msaada tutani wakuu,nn tiba ya premature ejaculation?mpenzi wangu ana hilo tatizo,nisaidieni sitaki kumuacha nampenda.
yaani anapizi wakati wa kuingiza,mm kileleni nafika tunapofanya romance.Umejuaje? Ebu
tiririka? Akiingiza anapizi baada ya mda gani? Je anakufikisha kileleni?
Problem ni ipi anakojoa haraka au haufiki kileleni?
hiyo hapana aisee masaa mawili!sio vita.
yaani anapizi wakati wa kuingiza,mm kileleni nafika tunapofanya romance.
yaani anapizi wakati wa kuingiza,mm kileleni nafika tunapofanya romance.
hiyo hapana aisee masaa mawili!sio vita.
yaani anapizi wakati wa kuingiza,mm kileleni nafika tunapofanya romance.
asante sana ntaweza.Basi dawa yake ni
simple tu afanye kergel exercise! Mazoezi ya kubana na kuachia msuli wa
chini kwa babu akifanya kwa mda wa mwezi yani atakuwa more than porno
star! Yani atanda hadi dakika 40 kwa bao moja,je utaweza
vumilia?
hiyo hapana aisee masaa mawili!sio vita.
Naomba msaada kwenye hili. Mimi ni mwanaume wa miaka 27, ni muda sasa nimekua na hili tatizo la kufika climax mapema. Siwez hata kuchukua dakika moja nakua nimeshafika. Siipendi hii hali sana, naombeni ushauri nini cha kufanya