45 king
Member
- Apr 13, 2015
- 69
- 18
Kawaida mkuu usihofu, cha kwanza ndio mbwembwe zake. Ingekua kila raund ndio shida.
Sawa mkuu asante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida mkuu usihofu, cha kwanza ndio mbwembwe zake. Ingekua kila raund ndio shida.
Ilininitokea game la kwanza nimeona hvyo mara ya tatu sasa na mara nyingi ninakua na uchu sana
Basi huo uchu ndo tatizo relax yule ni mwenza wako usiwe kama unambaka, acha pupa na utaenjey tu...mana hiyo itakufanya ufanisi wako usiwe mzuri na mara nyingi utakuwa unamuacha mwenzio na hamu katika bao la kwanza mpaka mara ya pili ndo unamridhisha na raha ya mapenzi nyote mwende sawa.
Ulishawahi kufanya punyeto. ?
Ndiooo kuna shda?
Ndio naskiaga mwanaume akifanya huomchezo ndio shidainaanza kwenye mavituz
Mmmmh ni pm tuongee vzuri
Hahahahahaa ushindwe!!.
Ilininitokea game la kwanza nimeona hvyo mara ya tatu sasa na mara nyingi ninakua na uchu sana
Kwel serious usinibanie
Nimekueleza tatizolako linaweza kuwa limesababishwa na bhiyo punyeto uliokuwa unapiga so I have nothing to add.
However you can go to the hospital.
Jamani ndg zangu naombeni ushauri wenu...! Nimekuwa na tatizo la kuwahi kufika kileleni isivyo vya kawaida...!
Yani nauwezo wa kupiga goli la kwanza within a minutes na magoli mengine hivyo hivyo pia.
Ushauri wenu please
Nenda hospital
Nilikua cjakuelewa kumaliza haraka kitu gani? Kumbe kugegeda dah sasa Fanya mazoezi ya mwili japo Mara 3 au 4 kwa wiki kukimbia kidogo pushapu kwa sana ,halafu usifanye pupa sana pindi uwapo shughulini shekhee