Mkuu ,Sio lazima El Nino ipige posta, Lakin Inaweza ikapiga ukanda wa Juu na nyie watu wa mbezi Luis,jagwani, etc, mkajikuta mnasobwaNa ndo maana nikakuuliza kama unajua chchote kuhusu ELNINO maana hiyo sio elnino ni Mvua ya vuli ya kawaida..
Ungekuwa una umri mkubwa kung'amua Elinino ikoje na ina sifa gani usinge sema hivyo...
Anyway Hta TMA Wametangaza kuwa ni VULI Rain na sio Elnino
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mamba wenyewe wakitoka nje ya mito wamekwisha, watafanywa kitoweo sawa na samki tu
Wanaishi binadamu na sijasema Hawaishi watu usiniwekee maneno MrIna maana huko pugu wanaishi ngedere Tu AU?
Hiyo sio Tafsiri ya Mvua ya elnino (Kama unajua lakini)Mkuu ,Sio lazima El Nino ipige posta, Lakin Inaweza ikapiga ukanda wa Juu na nyie watu wa mbezi Luis,jagwani, etc, mkajikuta mnasobwa
Elnino hakuna Tunza hii CommentSawa mkuu, popote unapoishi chukua tahadhari El Nino IPO
Hawajui kituVijana wanataka kuiona El Nino live bila Cheng's🥺
Alafu ndo el nino inaisha baada ya wewe kushiba sioshebe ndio muhimu, ukishiba chakula bora unakuwa na afya ya mwili na akili. Ukiwa na akili timamu utafiri vizuri kutatua changamoto za kimaisha
el nino ikiisha huacha shibe kwa miezi mingi. Usichukie el nino ni nzuriAlafu ndo el nino inaisha baada ya wewe kushiba sio