Mkunga aina ya poraquê (Electrophorus electricus) anaweza zalisha volts 650 za umeme. Samaki huyu hutumia umeme kujikinga dhidi ya maadui zake. Anaweza kukua hadi kufikia urefu wa mita 1.8. Anaishi kwenye maji baridi na anapenda mazingira ya tope. Wale wanaoishi kwenye maji chumvi maarufu kama Ibrahimu huzalisha volts220 tu
Makazi ya samaki huyu ni kwenye tope, pigo moja la samaki mkunga linatosha kumfanya mtu akose nguvu na azame majini, akipiga mara tatu ana uwezo wa kumuua mwanadamu
Inasemekana kuwa wale tunawaita chunusi, ni huyu samaki anapompiga shoti mwanadamu na kufanya mtu azame majini na kufa. Na kwa kuwa samaki hawa huishi kwenye tobe, watu wengi wanataja chunusi huwa ni maeneo ya tope ambayo ndio makazi ya mkunga
Samaki huyu ni kiumbe aliyevunja rekodi ya kuzalisha umeme mwingi
Samaki huyu amevunja rekodi ya kuzalisha umeme mwingi kati ya viumbe wote