Electrical eel samaki anayetoa umeme

Electrical eel samaki anayetoa umeme

Hawa kambale, Kuna wanaoishi baharini

wanatabia ya kuwawinda Hata Papa wa wastani.

Akiingia 18 zake, anapgwa shoti za kutosha.

Kisha anamgeuza kitoweo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana Mkuu, nimekulana ngozi yake mara nyingi sana, unaisafisha ngozi yake kwa majivu kama unavyomsafisha kambale then unamkatata Kata vipande. Kwa kumkaanga anakuwa vizuri zaidi kuliko ukimbanika
Niliaminishwa hivyo na wavuvi. Wanapatikana kwa wingi sana mto Nile, anafanana kwa asilimia kubwa na kamongo.

Akichunwa nyama yake imekaa kama nyama ya nundu ya ng'ombe, nyama kuchanganyika na mafuta.

Basi kama hana sumu, yawezekana ni mambo ya mila.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkunga aina ya poraquê (Electrophorus electricus) anaweza zalisha volts 650 za umeme. Samaki huyu hutumia umeme kujikinga dhidi ya maadui zake. Anaweza kukua hadi kufikia urefu wa mita 1.8. Anaishi kwenye maji baridi na anapenda mazingira ya tope. Wale wanaoishi kwenye maji chumvi maarufu kama Ibrahimu huzalisha volts220 tu

Makazi ya samaki huyu ni kwenye tope, pigo moja la samaki mkunga linatosha kumfanya mtu akose nguvu na azame majini, akipiga mara tatu ana uwezo wa kumuua mwanadamu

Inasemekana kuwa wale tunawaita chunusi, ni huyu samaki anapompiga shoti mwanadamu na kufanya mtu azame majini na kufa. Na kwa kuwa samaki hawa huishi kwenye tobe, watu wengi wanataja chunusi huwa ni maeneo ya tope ambayo ndio makazi ya mkunga

Samaki huyu ni kiumbe aliyevunja rekodi ya kuzalisha umeme mwingi

Samaki huyu amevunja rekodi ya kuzalisha umeme mwingi kati ya viumbe wote
Mshauri Magufuli awachukue na kuwatumia kuzalisha umeme hapa chato
 
Mkunga aina ya poraquê (Electrophorus electricus) anaweza zalisha volts 650 za umeme. Samaki huyu hutumia umeme kujikinga dhidi ya maadui zake. Anaweza kukua hadi kufikia urefu wa mita 1.8. Anaishi kwenye maji baridi na anapenda mazingira ya tope. Wale wanaoishi kwenye maji chumvi maarufu kama Ibrahimu huzalisha volts220 tu

Makazi ya samaki huyu ni kwenye tope, pigo moja la samaki mkunga linatosha kumfanya mtu akose nguvu na azame majini, akipiga mara tatu ana uwezo wa kumuua mwanadamu

Inasemekana kuwa wale tunawaita chunusi, ni huyu samaki anapompiga shoti mwanadamu na kufanya mtu azame majini na kufa. Na kwa kuwa samaki hawa huishi kwenye tobe, watu wengi wanataja chunusi huwa ni maeneo ya tope ambayo ndio makazi ya mkunga

Samaki huyu ni kiumbe aliyevunja rekodi ya kuzalisha umeme mwingi

Samaki huyu amevunja rekodi ya kuzalisha umeme mwingi kati ya viumbe wote
Huyo sio chunusu wasitake kututoa kwenye Imani yetu ya kuamin chunus yupo ili tuamin chunus ni samaki Hao samak nimewala Sana mbona maelezo yalio tolewa na nilivyo waona ni tofaut nimesha wala wa ziwa nyasa na tanganyika ndio wanashot ila sio yakumzimisha mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliaminishwa hivyo na wavuvi. Wanapatikana kwa wingi sana mto Nile, anafanana kwa asilimia kubwa na kamongo.

Akichunwa nyama yake imekaa kama nyama ya nundu ya ng'ombe, nyama kuchanganyika na mafuta.

Basi kama hana sumu, yawezekana ni mambo ya mila.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hana supu na hanogi ukimchemsha maana atasagika. Wapo kwenye mito yetu hii tena wengi sana, ila wanaopatikana ukanda wetu huu si wakubwa sana. Wa ukubwa wa mita moja ni wachache kama si hakuna kabisa..
 
Mkunga aina ya poraquê (Electrophorus electricus) anaweza zalisha volts 650 za umeme. Samaki huyu hutumia umeme kujikinga dhidi ya maadui zake. Anaweza kukua hadi kufikia urefu wa mita 1.8. Anaishi kwenye maji baridi na anapenda mazingira ya tope. Wale wanaoishi kwenye maji chumvi maarufu kama Ibrahimu huzalisha volts220 tu

Makazi ya samaki huyu ni kwenye tope, pigo moja la samaki mkunga linatosha kumfanya mtu akose nguvu na azame majini, akipiga mara tatu ana uwezo wa kumuua mwanadamu

Inasemekana kuwa wale tunawaita chunusi, ni huyu samaki anapompiga shoti mwanadamu na kufanya mtu azame majini na kufa. Na kwa kuwa samaki hawa huishi kwenye tobe, watu wengi wanataja chunusi huwa ni maeneo ya tope ambayo ndio makazi ya mkunga

Samaki huyu ni kiumbe aliyevunja rekodi ya kuzalisha umeme mwingi

Samaki huyu amevunja rekodi ya kuzalisha umeme mwingi kati ya viumbe wote
Pia hutumia mechanism ya kuzalisha umeme pale anapokuwa ameshamtagert pray wake.
 
Mkunga aina ya poraquê (Electrophorus electricus) anaweza zalisha volts 650 za umeme. Samaki huyu hutumia umeme kujikinga dhidi ya maadui zake. Anaweza kukua hadi kufikia urefu wa mita 1.8. Anaishi kwenye maji baridi na anapenda mazingira ya tope. Wale wanaoishi kwenye maji chumvi maarufu kama Ibrahimu huzalisha volts220 tu

Makazi ya samaki huyu ni kwenye tope, pigo moja la samaki mkunga linatosha kumfanya mtu akose nguvu na azame majini, akipiga mara tatu ana uwezo wa kumuua mwanadamu

Inasemekana kuwa wale tunawaita chunusi, ni huyu samaki anapompiga shoti mwanadamu na kufanya mtu azame majini na kufa. Na kwa kuwa samaki hawa huishi kwenye tobe, watu wengi wanataja chunusi huwa ni maeneo ya tope ambayo ndio makazi ya mkunga

Samaki huyu ni kiumbe aliyevunja rekodi ya kuzalisha umeme mwingi

Samaki huyu amevunja rekodi ya kuzalisha umeme mwingi kati ya viumbe wote
Sisi tunamjua Chunusi
 
Mkuu unatokea ilonga TTC?
Electric eel, huyo samaki ni 'bad news'. Kuna video YouTube anampiga shoti mamba wa ukubwa wa wastani. Yule mamba alikufa ndani ya dakika 1. Ila kuna wahuni wanamvua na kumla. Wanamvutia mahali kwenye shimo la maji pembeni ya mto, akiingia tu, wanamtia marungu kadhaa, akifa ndio wanamshika sasa kuandaa kitoweo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau wa Nat geo wild tunatabasamu tu hapa!Ila kuna mmoja alishwahi kurecord volts 1200++!Niliona Nat geo wild na wakawa wanatest na kila mara wanapata reading to
 
hatuwezi watumia kama chanzo cha umeme majumbani
 
Back
Top Bottom