Huyu ni samaki mwenye umeme yani mwili wake unatengeneza umeme wenye nguvu ya volt 600.
Wanapatikana bara la Amerika Kusini.
Kisayansi wanaitwa
"Electrophorus electricus" hawa samaki wala nyama yaani carnivores wana urefu wa futi 5-8.
Miili yao imeundwa na organs zipatazo 6000 ambazo ndani yake zina cell ziitwazo "electrocytes" special kwa ajili ya kugenerate umeme ambao hutumika kukamatia prey na kujikinga na predators
Wanaishi kwenye mabwawa na maji katika mito ya amerca kusini na kusambaa pia baadhi ya maeneo Africa katika mito na mabwawa, chakula chao kikuu ni samaki na ndege hawaoni vizuri hvyo muda wa chakula hutoa kama volt kumi kuijua direction ya prey pale atakapopigwa shoti.
Wanaua sana mamba na samaki wengine kwasababu mamba anapokamata hupigwa shoti mfululizo ambapo husababisha kifo hata binadamu pia walishauliwa na hawa samaki kwa kuendelea kumshika wakati wa shoti ambapo hupoozesha mapigo ya moyo.
Uzao wao ni wa tofauti sana na samaki wengine wakati wa kutaga mayai jike hutaga kufikia mayai 17,000 na hutotoa watoto wapatao 1200 na muda wote kiota kinakua kimezungukwa na ulinzi ambao ni mate ya dume.
Wanaishi miaka 10-15
Huyo ndo electrical eel ni samaki ambae hana noma usimpomgusa, sasa mamba hasa hawa alligator hawajui kwamba huyu ni umeme unaotembea mamba akajua msosi umejileta umeona kilichompata? Amekula shoti za kutosha mpka kafa hapo hapo ndani ya sekunde 30 hapo ndio eel katoa volt 600.
Umeme tu wakaida wa volt 220 wa (tanesco) unaua sasa jiulize huu wa samaki ambao ni 600-650 volt inakuaje?
Lakini sehemu za brazili wanamla ila wanamuua na kumuacha baada ya masaa nane. UKISKIA mtu kakaushwa damu na Chunusi anakuwa si Chunusi bali samaki huyu mwenye umeme wa kutisha.