Mkuu,Tena nyama yake ni tamu sana na inaongeza nguvu kwa wanaume kwa haraka na muda mrefu,nifate pm kwa kupata nyama yake kilo 25000
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliaminishwa hivyo na wavuvi. Wanapatikana kwa wingi sana mto Nile, anafanana kwa asilimia kubwa na kamongo.Hapana Mkuu, nimekulana ngozi yake mara nyingi sana, unaisafisha ngozi yake kwa majivu kama unavyomsafisha kambale then unamkatata Kata vipande. Kwa kumkaanga anakuwa vizuri zaidi kuliko ukimbanika
Mshauri Magufuli awachukue na kuwatumia kuzalisha umeme hapa chatoMkunga aina ya poraquê (Electrophorus electricus) anaweza zalisha volts 650 za umeme. Samaki huyu hutumia umeme kujikinga dhidi ya maadui zake. Anaweza kukua hadi kufikia urefu wa mita 1.8. Anaishi kwenye maji baridi na anapenda mazingira ya tope. Wale wanaoishi kwenye maji chumvi maarufu kama Ibrahimu huzalisha volts220 tu
Makazi ya samaki huyu ni kwenye tope, pigo moja la samaki mkunga linatosha kumfanya mtu akose nguvu na azame majini, akipiga mara tatu ana uwezo wa kumuua mwanadamu
Inasemekana kuwa wale tunawaita chunusi, ni huyu samaki anapompiga shoti mwanadamu na kufanya mtu azame majini na kufa. Na kwa kuwa samaki hawa huishi kwenye tobe, watu wengi wanataja chunusi huwa ni maeneo ya tope ambayo ndio makazi ya mkunga
Samaki huyu ni kiumbe aliyevunja rekodi ya kuzalisha umeme mwingi
Samaki huyu amevunja rekodi ya kuzalisha umeme mwingi kati ya viumbe wote
Huyo sio chunusu wasitake kututoa kwenye Imani yetu ya kuamin chunus yupo ili tuamin chunus ni samaki Hao samak nimewala Sana mbona maelezo yalio tolewa na nilivyo waona ni tofaut nimesha wala wa ziwa nyasa na tanganyika ndio wanashot ila sio yakumzimisha mtuMkunga aina ya poraquê (Electrophorus electricus) anaweza zalisha volts 650 za umeme. Samaki huyu hutumia umeme kujikinga dhidi ya maadui zake. Anaweza kukua hadi kufikia urefu wa mita 1.8. Anaishi kwenye maji baridi na anapenda mazingira ya tope. Wale wanaoishi kwenye maji chumvi maarufu kama Ibrahimu huzalisha volts220 tu
Makazi ya samaki huyu ni kwenye tope, pigo moja la samaki mkunga linatosha kumfanya mtu akose nguvu na azame majini, akipiga mara tatu ana uwezo wa kumuua mwanadamu
Inasemekana kuwa wale tunawaita chunusi, ni huyu samaki anapompiga shoti mwanadamu na kufanya mtu azame majini na kufa. Na kwa kuwa samaki hawa huishi kwenye tobe, watu wengi wanataja chunusi huwa ni maeneo ya tope ambayo ndio makazi ya mkunga
Samaki huyu ni kiumbe aliyevunja rekodi ya kuzalisha umeme mwingi
Samaki huyu amevunja rekodi ya kuzalisha umeme mwingi kati ya viumbe wote
Hana supu na hanogi ukimchemsha maana atasagika. Wapo kwenye mito yetu hii tena wengi sana, ila wanaopatikana ukanda wetu huu si wakubwa sana. Wa ukubwa wa mita moja ni wachache kama si hakuna kabisa..Niliaminishwa hivyo na wavuvi. Wanapatikana kwa wingi sana mto Nile, anafanana kwa asilimia kubwa na kamongo.
Akichunwa nyama yake imekaa kama nyama ya nundu ya ng'ombe, nyama kuchanganyika na mafuta.
Basi kama hana sumu, yawezekana ni mambo ya mila.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia hutumia mechanism ya kuzalisha umeme pale anapokuwa ameshamtagert pray wake.Mkunga aina ya poraquê (Electrophorus electricus) anaweza zalisha volts 650 za umeme. Samaki huyu hutumia umeme kujikinga dhidi ya maadui zake. Anaweza kukua hadi kufikia urefu wa mita 1.8. Anaishi kwenye maji baridi na anapenda mazingira ya tope. Wale wanaoishi kwenye maji chumvi maarufu kama Ibrahimu huzalisha volts220 tu
Makazi ya samaki huyu ni kwenye tope, pigo moja la samaki mkunga linatosha kumfanya mtu akose nguvu na azame majini, akipiga mara tatu ana uwezo wa kumuua mwanadamu
Inasemekana kuwa wale tunawaita chunusi, ni huyu samaki anapompiga shoti mwanadamu na kufanya mtu azame majini na kufa. Na kwa kuwa samaki hawa huishi kwenye tobe, watu wengi wanataja chunusi huwa ni maeneo ya tope ambayo ndio makazi ya mkunga
Samaki huyu ni kiumbe aliyevunja rekodi ya kuzalisha umeme mwingi
Samaki huyu amevunja rekodi ya kuzalisha umeme mwingi kati ya viumbe wote
Sisi tunamjua ChunusiMkunga aina ya poraquê (Electrophorus electricus) anaweza zalisha volts 650 za umeme. Samaki huyu hutumia umeme kujikinga dhidi ya maadui zake. Anaweza kukua hadi kufikia urefu wa mita 1.8. Anaishi kwenye maji baridi na anapenda mazingira ya tope. Wale wanaoishi kwenye maji chumvi maarufu kama Ibrahimu huzalisha volts220 tu
Makazi ya samaki huyu ni kwenye tope, pigo moja la samaki mkunga linatosha kumfanya mtu akose nguvu na azame majini, akipiga mara tatu ana uwezo wa kumuua mwanadamu
Inasemekana kuwa wale tunawaita chunusi, ni huyu samaki anapompiga shoti mwanadamu na kufanya mtu azame majini na kufa. Na kwa kuwa samaki hawa huishi kwenye tobe, watu wengi wanataja chunusi huwa ni maeneo ya tope ambayo ndio makazi ya mkunga
Samaki huyu ni kiumbe aliyevunja rekodi ya kuzalisha umeme mwingi
Samaki huyu amevunja rekodi ya kuzalisha umeme mwingi kati ya viumbe wote
Electric eel, huyo samaki ni 'bad news'. Kuna video YouTube anampiga shoti mamba wa ukubwa wa wastani. Yule mamba alikufa ndani ya dakika 1. Ila kuna wahuni wanamvua na kumla. Wanamvutia mahali kwenye shimo la maji pembeni ya mto, akiingia tu, wanamtia marungu kadhaa, akifa ndio wanamshika sasa kuandaa kitoweo.
Hapana, naona majina tu yalifanana.
Hapana, naona majina tu yalifanana.
Wadau wa Nat geo wild tunatabasamu tu hapa!Ila kuna mmoja alishwahi kurecord volts 1200++!Niliona Nat geo wild na wakawa wanatest na kila mara wanapata reading to
Uongo mwingine bhana!!!!Chunusi ni mnyama aina ya jinni...linaloishi ndani ya mito,mabwawa na maziwa...huwa na muonekano wa mwanga mkali sana usiyovumilika kumtazama hakuna anayejua muonekano au sura ya chunusi.
Huishi kwa kunywa damu ya viumbe hai kama wanyama na binaadamu.
Tena kweli jana moro toka saa tisa mpaka saa tatu kasoro kulikuwa hakuna umeme wakati kuna mkunga ana umem3 wa kutoshaTanesco wawafuge kwa wingi nchi iwe na umeme wa uhakika
Analiwa vizuri tu, kule kwa akina Zitto huyu samaki anajulikana kama 'nyika'.Huyo samaki je analika ama