Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilijua hili nikiwa form 1 mwaka 1978Kweli hili ndio unalijua leo?
Wapo samaki zaidi ya aina tano wanaotoa umeme range ya 10 to 600 voltage wanaitwa strongly electric fish na weak electric fish Nafikiri huyu eel ambaye ndio kati ya waliopo kwenye strong electric fish amegundulika miaka hiyo ya 90nilijua hili nikiwa form 1 mwaka 1978
Mtofautishe voltage na current ni kweli eel electrical fish yupo
Sent using Jamii Forums mobile app
Du Muhenga wa kiwango Cha juu kabisanilijua hili nikiwa form 1 mwaka 1978
Mtofautishe voltage na current ni kweli eel electrical fish yupo
Sent using Jamii Forums mobile app
nachukia sana aina hii ya upotoshaji. Huyo samaki hana uwezo wa kuzalisha umeme wa kuua mtu.Mmeamkaje? Kweli Mungu Anaumba.From Natgeo Tv Wanetoa Documentary Ya Samaki Umewe Yani Electric Eel.Ukimgusa Anakupiga Shoti Ufe Kabisa Unazikwa.
Yes mkuu unaweza ukaongezea hapo..Ndo umemaliza
Mi sina ufaham kuhusu uyo samakiYes mkuu unaweza ukaongezea hapo..