Thewildlife_tz
Senior Member
- Apr 23, 2019
- 127
- 85
Watanganyika wana 12v ya kawaida wao ni warefu kiasii wanakupa shoti tuu
Kwaiyo na hao wa tanganyika wapo ivo ivo kama hao wa nje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyo na hao wa tanganyika wapo ivo ivo kama hao wa nje
Sawa bwana mkuu ila mi cnaga imani kabisa na watu weupe vitu vyao vinakuaga vya zaidi zaidi tuWatanganyika wana 12v ya kawaida wao ni warefu kiasii wanakupa shoti tuu
Ha ha sawa sawa sometimes wanazingua kama hzi species za ligerSawa bwana mkuu ila mi cnaga imani kabisa na watu weupe vitu vyao vinakuaga vya zaidi zaidi tu
Video vipi mkuu mbna atuoni
Hatuwezi kuwafuga kwenye dimbwi tukawawekea nyimbo ya rayvany ya tetema wakawa wanatoa umeme tuunganishe kwenye grid
Ndio maana Mungu alitoa maelekezo ya nini tule na nini tusile,ila walafi wanabugia kila kitu
Walawi 11
huyo mamba yae mbwiga sana, angepata short angemwachia sasa yeye akaendelea kung'ang'aniaAhaa ndio hyoo ngoja niupload video.. ni blaa sana anauwa sana mamba
huyo mamba yae mbwiga sana, angepata short angemwachia sasa yeye akaendelea kung'ang'ania
ELECTRIC EEL
Huyu ni samaki mwenye umeme yani mwili wake unatengeneza umeme wenye nguvu ya volt 600.
Wanapatikana bara la Amerca kusini
Kisayansi wanaitwa "Electrophorus electricus" hawa samaki wala nyama yaani carnivores wanaurefu wa futi 5-8
Miili yao imeundwa na organs zipatazo 6000 ambazo ndani yake zina cell ziitwazo "electrocytes" special kwa ajili ya kugenerate umeme ambao hutumika kukamatia prey na kujikinga na predators
Wanaishi kwenye mabwawa na maji katika mito ya amerca kusini chakula chao kikuu ni samaki na ndege
hawaoni vizuri hvyo muda wa chakula hutoa kama volt kumi kuijua direction ya prey pale atakapopigwa shoti
Wanaua sana mamba na samaki wengine kwasababu mamba anapokamata hupigwa shoti mfululizo ambapo husababisha kifo hata binadamu pia walishauliwa na hawa samaki kwa kuendelea kumshika wakati wa shoti ambapo hupoozesha mapigo ya moyo
Uzao wao ni wa tofauti sana na samaki wengine wakati wa kutaga mayai jike hutaga kufikia mayai 17,000 na hutotoa watoto wapatao 1200 na muda wote kiota kinakua kimezungukwa na ulinzi ambao ni mate ya dume
Wanaishi miaka 10-15
VIDEO (download kwa chini ya maelezo)
Huyo ndo electrical eel ni samaki ambae hana noma usimpomgusa, sasa mamba hasa hawa alligator hawajui kwamba huyu ni umeme unaotembea mamba akajua msosi umejileta
umeona kilichompata? (Download video)
amekula shoti za kutosha mpka kafa hapo hapo ndani ya sekunde 30 hapo ndio eel katoa volt 600
Umeme tu wakaida wa volt 220 wa (tanesco) unaua sasa jiulize huu wa samaki ambao ni 600-650 volt inakuaje??
.
Lakini sehemu za brazili wanamla ila wanamuua na kumuacha baada ya masaa nane..
Follw us on instagram Thewildlife_tzView attachment 1081515
Wanaitwa nyika....mkunga ni aina nyingine,hao Nyika ukute wakati unakokota nyavu na yeye yumo utaipata shida yake unaweza ukaiachia nyavuHa ha nashukurh kwa exprience ni kweli anatoa volt 12 ni hatari sana wanawaita mkunga nafikri
Wanaitwa nyika....mkunga ni aina nyingine,hao Nyika ukute wakati unakokota nyavu na yeye yumo utaipata shida yake unaweza ukaiachia nyavu
Kigoma pia wanapatikana lake tanganyika