Electrical eel samaki anayetoa umeme

Hatuwezi kuwafuga kwenye dimbwi tukawawekea nyimbo ya rayvany ya tetema wakawa wanatoa umeme tuunganishe kwenye grid
 

Kigoma pia wanapatikana lake tanganyika
 
Mkunga aina ya poraquê (Electrophorus electricus) anaweza zalisha volts 650 za umeme. Samaki huyu hutumia umeme kujikinga dhidi ya maadui zake. Anaweza kukua hadi kufikia urefu wa mita 1.8. Anaishi kwenye maji baridi na anapenda mazingira ya tope. Wale wanaoishi kwenye maji chumvi maarufu kama Ibrahimu huzalisha volts220 tu

Makazi ya samaki huyu ni kwenye tope, pigo moja la samaki mkunga linatosha kumfanya mtu akose nguvu na azame majini, akipiga mara tatu ana uwezo wa kumuua mwanadamu

Inasemekana kuwa wale tunawaita chunusi, ni huyu samaki anapompiga shoti mwanadamu na kufanya mtu azame majini na kufa. Na kwa kuwa samaki hawa huishi kwenye tobe, watu wengi wanataja chunusi huwa ni maeneo ya tope ambayo ndio makazi ya mkunga

Samaki huyu ni kiumbe aliyevunja rekodi ya kuzalisha umeme mwingi

Samaki huyu amevunja rekodi ya kuzalisha umeme mwingi kati ya viumbe wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…