Eleza chochote unachokijua ili watu waongeze ujuzi

Eleza chochote unachokijua ili watu waongeze ujuzi

IMG_4265.jpg

Ni plane tiller
Hi inatumika kwenye ndege
Rubani ataisukuma kwenda kushoto akiwa analengo la kupeleka ndege kushoto au kinyume chake
Ikiwa aridhini bado
Zinatofautiana kimuonekano na kila toleo la ndege
Japo kazi ni moja.
 
IMG_4266.jpg

Ushakiuliza kwanini gurudumu za formula 1 hazina kashata
Hazina kashata ili tyre surface yote igandamize aridhini ili gari iweze ku accelerate kwa haraka
Pia na kuzuia maji kujipenyeza katikati ili gari isivute pembeni.
 
View attachment 1897298
Ni plane tiller
Hi inatumika kwenye ndege
Rubani ataisukuma kwenda kushoto akiwa analengo la kupeleka ndege kushoto au kinyume chake
Ikiwa aridhini bado
Zinatofautiana kimuonekano na kila toleo la ndege
Japo kazi ni moja.
View attachment 1897320
Ushakiuliza kwanini gurudumu za formula 1 hazina kashata
Hazina kashata ili tyre surface yote igandamize aridhini ili gari iweze ku accelerate kwa haraka
Pia na kuzuia maji kujipenyeza katikati ili gari isivute pembeni.
[emoji3516]
MKUU,
KWEMA KABISA HAPO MABIBO, N.I.T?
 
[emoji3516]
MKUU,
KWEMA KABISA HAPO MABIBO, N.I.T?

[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu huwezi amini hata hiyo mabibo siojui



Anyway tulizoea kua kwenye gari pedal ya acceleration inakua na cable ambyo dereva akikanyaga inaenda kwenye engine inavuta kitu gani kile sikifahamu kwakua me sio fundi magari ila nnahisi ni kwenye car breta[emoji848][emoji848] nme refer kwenye pikpik
Kisha gari itaongeza speed
IMG_4300.jpg

Hi hapa juu ni electonics accelerator yenyewe inafanya kazi kwa mfumo wa signal
Unapokanyaga unaunganisha baadhi ya waya na waya
Hivyo taarifa inaenda kwenye computer
Kisha computer itapeleka taarifa kwenye engine

Wajuzi wa mambo waingie hapa watupe somo........
IMG_4301.jpg

Nikaifananisha na hi potentiometer
Ya radio
Ukizungusha unaongeza na kupunguza resistance ndio maan sauti inakua kubwa au ndogo[emoji848]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu huwezi amini hata hiyo mabibo siojui



Anyway tulizoea kua kwenye gari pedal ya acceleration inakua na cable ambyo dereva akikanyaga inaenda kwenye engine inavuta kitu gani kile sikifahamu kwakua me sio fundi magari ila nnahisi ni kwenye car breta[emoji848][emoji848] nme refer kwenye pikpik
Kisha gari itaongeza speedView attachment 1900172
Hi hapa juu ni electonics accelerator yenyewe inafanya kazi kwa mfumo wa signal
Unapokanyaga unaunganisha baadhi ya waya na waya
Hivyo taarifa inaenda kwenye computer
Kisha computer itapeleka taarifa kwenye engine

Wajuzi wa mambo waingie hapa watupe somo........
View attachment 1900182
Nikaifananisha na hi potentiometer
Ya radio
Ukizungusha unaongeza na kupunguza resistance ndio maan sauti inakua kubwa au ndogo[emoji848]
Yaa hiyo nayo inafanya kazi mfanano wa boton ya volume ya mashine fulani
 
Hili ni aircraft wing .hivyo vichuma kama nyaya vinaitwa static discharger kazi yake kubwa ni kama waya wa earth .
Kumbuka ndege inapopita angani kwa kasi tuseme spidi ya 420knots , ndege inatengeneza electric charges .na hizi charges zikijitengeneza kwenye uso wa ndege (surface) inaleta hitilafu kwenye vifaa vya kuongozea ndege vilivyopo ndani (onboard navigation communication) kwa hiyo hivi vi electric discharger kazi yake ni ku discharge hizo electric charge mbali na ndege .
Credit:Quora.com
Screenshot_20210315-101820.jpg
 
Back
Top Bottom