Zeemadeit
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 830
- 1,673
Mkuu umenikumbusha pilau moja nilikulaga kwenye msiba Dah lile pilau lilikua tamu sijawahi ona.Usiombe kukutana na ubwabwa wa kwenye msiba aseeh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umenikumbusha pilau moja nilikulaga kwenye msiba Dah lile pilau lilikua tamu sijawahi ona.Usiombe kukutana na ubwabwa wa kwenye msiba aseeh.
ukiona watu tunaenda kuongeza usituone walafiMkuu umenikumbusha pilau moja nilikulaga kwenye msiba Dah lile pilau lilikua tamu sijawahi ona.
Nimechekaa.ukiona watu tunaenda kuongeza usituone walafi
Ahsante sana,Mkuu Nimejalibu hili matokeo ni mazuri.Wali wa kwenye gesi ukitaka Uive vizurii bila kua na kiini pikia maji BARIDI.
Na hakikisha unatumia moto mdogoo baada ya maji kupungua/kuisha.
Napika hapa nikaona nishee.
Nafurahi kuskia hivyo.Hongera na wewe kwa kufanikiwa.Ahsante sana,Mkuu Nimejalibu hili matokeo ni mazuri.
Asante sana.
Mwezi wa kumi kuna nini mkuu?M nafikir mwezi wa 10 ndo huu tuleni bata t
Hamna mkuu charge huwa zinapenda kuji accumulate kwenye area ndogo ndomana ule nguzo ya radi huwa inakuwa imechongwa vizuri kule juuHaya ni maajabu mkuu
Inabidi nkachimbie na mimi
Kujua how vina ground hizo charger bila ya kwenda ground
Hamna mkuu charge huwa zinapenda kuji accumulate kwenye area ndogo ndomana ule nguzo ya radi huwa inakuwa imechongwa vizuri kule juuView attachment 2304428
Asante sana kwa nyuzi fupifupi na nzuri tunaongeza maarifa.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app