Eleza chochote unachokijua ili watu waongeze ujuzi

Eleza chochote unachokijua ili watu waongeze ujuzi

IMG_8719.jpg

Gari za umeme hazina mfumo wa gear kama gari zingine zinazotumia engine za mafuta

Hivyo ni sawa na kusema EV (electrical vehicle )
HAZINA GEAR BOX
Bali zina selector tu


Additionally knowledge [emoji1314][emoji1314]Kwa wale waliosoma physics wanaelewa
Au unaweza jaribu mwenyewe kwa motor hata za redio na betri ya simu yako
Mota ina nyaya mbili
+ na -
Au hasi na chanya
Ukichukua waya wa +(chanya) ukaweka kwenye battery sehemu ya +
Kisha ukichukua waya wa _ ukaweka sehemu ya -
Motor itazunguka kwenda mbele yaani mzunguko wake utatokea jicho la kushoto kwenda kulia
Ila ukigeuza waya za battery tu mzunguko wake utakua kinyume!

Hivyo selector hiyo kazi yake ni kuhamisha line(waya) za umeme kwa kuzigeuza (poralty )
 
Dunia ina mengi ambayo yapo kwenye mazingira yetu ya kila siku,ila wengine wanajua wewe haujui.

Wewe unajua wengine hawajui,

Share unacho kijua tuongeze ujuzi.

Karibu.
Uchawi is real
 
Nilikuwa mchawi
Tuambie kitu kimoja au viwili unafikiri uchawi unaweza kusaidia jamii kwa ujumla, na vipi uchawi ni tricks tuu au ni zaidi ya hapo, tupe ukweli kuhusu uchawi ambao sio rahisi kuamini kwa asiyejua? tufundishe kitu kimoja interesting kuhusu uchawi kinachoweza kumsaidia mtu wa kawaida bila kumuumiza mwingine
 
Tuambie kitu kimoja au viwili unafikiri uchawi unaweza kusaidia jamii kwa ujumla, na vipi uchawi ni tricks tuu au ni zaidi ya hapo, tupe ukweli kuhusu uchawi ambao sio rahisi kuamini kwa asiyejua? tufundishe kitu kimoja interesting kuhusu uchawi kinachoweza kumsaidia mtu wa kawaida bila kumuumiza mwingine
Ukiniambia faida za madawa ya kulevya nitakuambia faida za uchawi
 
Ukiniambia faida za madawa ya kulevya nitakuambia faida za uchawi
Uzuri nimewahi kuyatumia, unajisikia vizuri sana na inakufanya unakuwa na furaha sana, no stress maisha yanakuwa rahisi sana na unasahau shida zote za hii dunia
 
View attachment 2600820
Gari za umeme hazina mfumo wa gear kama gari zingine zinazotumia engine za mafuta

Hivyo ni sawa na kusema EV (electrical vehicle )
HAZINA GEAR BOX
Bali zina selector tu


Additionally knowledge [emoji1314][emoji1314]Kwa wale waliosoma physics wanaelewa
Au unaweza jaribu mwenyewe kwa motor hata za redio na betri ya simu yako
Mota ina nyaya mbili
+ na -
Au hasi na chanya
Ukichukua waya wa +(chanya) ukaweka kwenye battery sehemu ya +
Kisha ukichukua waya wa _ ukaweka sehemu ya -
Motor itazunguka kwenda mbele yaani mzunguko wake utatokea jicho la kushoto kwenda kulia
Ila ukigeuza waya za battery tu mzunguko wake utakua kinyume!

Hivyo selector hiyo kazi yake ni kuhamisha line(waya) za umeme kwa kuzigeuza (poralty )
Lakini gear sio kwa reverse pekee vp kwa kazi zingine kama milima ,tope na nk
 
Ushawahi ona hii?
Mfano tyre ya gari ikiwa kwenye speed kama inakua inarudi nyuma?
Cheki hi
IMG_0841.GIF

Ushawahi jiuliza kwanini unaiona hivyo?

Majibu ni kua..

Inahusiana na jinsi macho yako yanavyoweza kuchakata habari kwa haraka. Gurudumu linazunguka haraka kuliko ubongo wako unavyoweza kuchakata taarifa pia akili ina athirika, na kuifanya ionekane kana kwamba inarudi nyuma.
 
Back
Top Bottom