Erick Martie
JF-Expert Member
- Jun 6, 2015
- 301
- 339
Hili ni aircraft wing .hivyo vichuma kama nyaya vinaitwa static discharger kazi yake kubwa ni kama waya wa earth .
Kumbuka ndege inapopita angani kwa kasi tuseme spidi ya 420knots , ndege inatengeneza electric charges .na hizi charges zikijitengeneza kwenye uso wa ndege (surface) inaleta hitilafu kwenye vifaa vya kuongozea ndege vilivyopo ndani (onboard navigation communication) kwa hiyo hivi vi electric discharger kazi yake ni ku discharge hizo electric charge mbali na ndege .
Credit:Quora.com View attachment 1901827
Kadri unavyojiongezea (kunywa/kula) dozi ya dawa nje ya utaratibu wa kitaalamu (kujiongezea dozi kubwa), either ya kutuliza maumivu au nyinginezo kwa ajili ya kujitibu haraka,
Ni kwamba hauongezi kupona haraka (potency) bali unajiongezea sumu ya dawa hiyo mwilini (Toxicity).
Uchawi mkuu uko kwenye macho na midimo ya watu.. Mikono ni vitendea kazi, miguu ni vibebeoDunia ina mengi ambayo yapo kwenye mazingira yetu ya kila siku,ila wengine wanajua wewe haujui.
Wewe unajua wengine hawajui,
Share unacho kijua tuongeze ujuzi.
Karibu.
Upo hata maandiko yanakiriNikajua unataka kusema haupo kabisa[emoji23][emoji23]
Upo hata maandiko yanakiriView attachment 1907538
So unauosha halafu unatia kwenye sufuria yako yenye maji baridi na kuinjika kwenye jiko ?Wali wa kwenye gesi ukitaka Uive vizurii bila kua na kiini pikia maji BARIDI.
Na hakikisha unatumia moto mdogoo baada ya maji kupungua/kuisha.
Napika hapa nikaona nishee.
Mkuu Uzi mzuri Sana Ila hivi viwaya mbona kwenye ndege nyingine havipo?Hili ni aircraft wing .hivyo vichuma kama nyaya vinaitwa static discharger kazi yake kubwa ni kama waya wa earth .
Kumbuka ndege inapopita angani kwa kasi tuseme spidi ya 420knots , ndege inatengeneza electric charges .na hizi charges zikijitengeneza kwenye uso wa ndege (surface) inaleta hitilafu kwenye vifaa vya kuongozea ndege vilivyopo ndani (onboard navigation communication) kwa hiyo hivi vi electric discharger kazi yake ni ku discharge hizo electric charge mbali na ndege .
Credit:Quora.com View attachment 1901827
Mie hua nauosha na ukaanga kidogo kwenye mafuta then natia maji baridi. Ila hata kwa kuweka kwenye maji baridi moja kwa moja pia inawezekana.So unauosha halafu unatia kwenye sufuria yako yenye maji baridi na kuinjika kwenye jiko ?
AiseMie hua nauosha na ukaanga kidogo kwenye mafuta then natia maji baridi. Ila hata kwa kuweka kwenye maji baridi moja kwa moja pia inawezekana.
Wali wa kwenye gesi ukitaka Uive vizurii bila kua na kiini pikia maji BARIDI.
Na hakikisha unatumia moto mdogoo baada ya maji kupungua/kuisha.
Napika hapa nikaona nishee.
Ooh, sawa nilitaka kujua... coz bila kuukaanga, nadhan hauwezi kuwa mtamu na wenye ladha nzuriMie hua nauosha na ukaanga kidogo kwenye mafuta then natia maji baridi. Ila hata kwa kuweka kwenye maji baridi moja kwa moja pia inawezekana.
Usiombe kukutana na ubwabwa wa kwenye msiba aseeh.Wali wa kwenye gesi ukitaka Uive vizurii bila kua na kiini pikia maji BARIDI.
Na hakikisha unatumia moto mdogoo baada ya maji kupungua/kuisha.
Napika hapa nikaona nishee.