TANZIA Elias Kwandikwa, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa afariki dunia

Dah hakubahatika kupata JJ
 
Poleni sana wanafamilia, nilijuana na Kwandika nikiwa naa kazi maalum anzi akiwa NAOT alikuwa mtu mwema sana, akili kubwa
 
Poleni sana kwa ndugu wa marehemu especially familia ya marehemu. Duniani tu wapitaji na wasafiri. Tunatafuta mji ujao.
 
Hv mbowe akifa muda huu c raia watasema serikali imeua.? Je mtafurahia.?
Mtu anafurahi pale anapokufa mtesi wake au mshirika wa mtesi wake.
Akifa Mbowe wakati yuko mikononi mwa serikali obviously zigo la lawama lazima liwadondokee kwani serikali ina historia ya kufanya mashambulizi ya kuua na mengine hawakufanikiwa, serikali ina historia za kupoteza watu, kuua watu, kutesa watu yaani kwa kifupi serikali haiaminiki pale linapokuja suala la usalama au hata uhai wa mtu yoyote asiye kibaraka wao yaani mtu asiyefungamana na mrengo wao kisiasa.
Serikali imemuhujumu sana Mbowe kuanzia kiuchumi mpaka hizi hujuma zinazofanyika sasa za kumbambikia kesi kwa sababu za kisiasa, hivyo wanaweza kabisa kuwa na njama za kumuua ila njia ya kumuua bila ya kuonekana hawahusiki ndiyo bado hawajaipata.
 
Rip Elias.
 
maisha ya duniani ni mafupi sana ila binadaamu tunajisahau sana kama vile tutaishi milele.
unakuta watu wana gombana au hata kuuwana kisa cheo!! madaraka!!, watu wana rogana, wana fitiniana, wanapigana majungu kisa mtu afukuzwe kazi!! n.k n.k.
bora Mungu aliumba kifo maaana kifo ndio mwisho wa jeuri ya binaadamu.
kifo ni funzo kubwa kwa ss tulio hai.
apumzike kwa amani
 
Zimesaidia nini wakati tunaona watu wanaitwa tena (wale waliokamilisha chanjo zote) kuja kudungwa tena eti wanaita ni "booster" baada ya kuona Delta inachana chana kinga zote za chanjo za awali! Islael wameanza, UK wapo njiani yaani watu tunakuwa tunashinda kwenye foleni za kuchanjwa na kuboost chanjo, na kureactivate chanjo.......
 
Tatizo la Mzungu anataka mwili wa Binaadamu uishi kwa Madawa yake aliyokutengenezea huko viwanda, yaani siku hizi watu hata machungwa hawali wao ni kununuwa vitamin c pharmacy na anakunywa basi kamaliza!!
 
Hivi unajipaka sanitizer au unatumia sanitizer! Tuweke sawa!
"Unajipaka" - inawezekana ukawa umechanganya maana ya "sanitizer' na vitu vingine. Sanitizer, ni neno la kiingereza linalomaanisha 'kusafisha/kuua vimelea kama bakteria kwa kutumia kemikali. Hii hainywewi mdomoni wala kudungwa kwa sindano. inapakwa juu ya ngozi au kitu kinachosafishwa.

"unatumia sanitizer" - inawezekana hapa una maana ya kuinywa kwa mdomo. Hapana. Sanitizer hainywewi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…