TANZIA Elias Kwandikwa, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa afariki dunia

TANZIA Elias Kwandikwa, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa afariki dunia

Umejibu vema sana na nnashukuru kwa mchango wako mkuu.
Kwanza kabisa, naomba nikutaarifu kwamba nilishaugua huu ugonjwa na nikapona, nnavyokwambia hofu inawamaliza watu na kufanya hali iwe mbaya zaidi nnaelewa nnachokisema.

Tokea mwaka huu uanze, umetumia usafiri wa public? Tafiti zilizosababisha tukaambiwa tutadondoka kama kuku na maiti zitazagaa si ni hizo hjzo projection za kisayansi? Na kimsingi kwa tunavyoishi na tafiti za kitaalam zinavyoelekeza, iliktakiwa tupukutike, tumeendelea kujazana bila kuzingatia tahadhari kama tulivyoambiwa na wataalam kwamba uongonjwa unaenea kwa hewa. Niambie kitu gani kimezuia tusipukutike kwa kasi kama tafiti zinavyoelekeza pale njia zilizopendekezwa zinapokiukwa.

Maana ya chanjo ni nini mkuu? Achilia mbali ya Covid-19, neno vaccination linamaanisha nini kwako kama mtafiti?

Hakuna mahali nimetaja kujifukiza...ili uelewe swali langu, naomba nieleze Covid-19 ni ugonjwa wa aina gani, dalili zake ni zipi na unaambukizwa kwa njia gani? Naomba urejee tafiti za kitaalam lakini pia utumie akili yako vizuri kwa sababu ntakurudisha kwenye maswali ya kawaida na hali halisi, uwe tayari kuhusianisha nadharia za utafiti na ntakayoyauliza baada ya maswali yako.

Nimeuliza hayo maswali sio kwamba nabeza hizo tahadhari au kutokuthamini kinga, swali ni kwamba, tunauelewa huu ugonjwa vizuri na tunatumia njia sahihi kupambana nao? Hapo ndio msingi wa maswali yote haya. Wengi sasa hivi dalili tulizoambiwa ndio za Covid 19 hatuzioni tena, watu hawakohoi, hawana mafua, ni homa, viungo kuuma, mahuti na kukutwa na mauti. Bado tunaambukizana kwa hewa?
Mkuu 'Monk" tusiweke huu mjadala uwe kama ni wa mabishano. Tueleze tu tunachokijua kwa uzoefu/elimu inavyotuonyesha kuhusu ugonjwa wenyewe.

Ngoja nikujibu tena hatua kwa hatua uliyoyaeleza hapa, kama ninavyoyajua mimi:
1. Mimi kadri nijuavyo, sijawahi ugua huu ugonjwa, lakini inawezekana pia nikawa nimeugua huu ugonjwa bila ya kujua kuwa ndio uliokuwa unanisumbua kipindi fulani, kwa sababu sikwenda kupima, lakini nilichukua tahadhari zote za kuzuia watu waliokuwa karibu nami nisiwaambukize.
Kwa vile sikwenda hospitali, na wala sikupimwa vipimo vyoyote, siwezi kukana/kukubali kwa hakika kwamba nilishaugua au sijawahi ugua ugonjwa huo.
Kumbuka, sio watu wote wanaoambukizwa huo ugonjwa wanapata dalili na ukali sawa juu ya ugonjwa wenyewe.
Kwa kumalizia hili- kuugua kwako huo ugonjwa, haikupi ufahamu ya ugonjwa huo kamilifu. Unachoweza wewe kueleza ni jinsi ulivyojisikia dalili zake, ambazo zinaweza kuwa ni tofauti na za mtu mwingine.

2. Matumizi ya "usafiri wa Public"- TAFITI ZI PI- mlizoambabiwa kwam mtado kuku?ndoka kama? Unaweza kuweka matokeo yoyote ya utafiti yaliyochapishwa kuonyesha kuwa tafiti hizo zilionyesha "watu wakidondoka kama kuku"? Hapa niseme wazi sielewi una maana gani.

"Projections", ni tofauti kabisa na matokeo ya utafiti, kwa hiyo unachanganya mambo tofauti kabisa hapa.
Hata hivyo inanibidi nikueleze kwamba COVID-19 ni ugonjwa mpya. Ni ugonjwa ambao haujawahi kutokea na ukashambulia watu na tafiti juu yake zikafanyika.
Hizo 'projections' unazozungumzia hapa zina/zilitokana na uzoefu wa magonjwa mengine ya milipuko kama ilivyoonyesha COVID-19 ilipokuwa inaanza.
Hakuna sayansi yoyote iliyokuwa imefanyika juu ya COVID-19 yenyewe, kwa sababu haikuwahi kutokea. Hayo yote ya kuvaa barakoa, matumizi ya sanitizer, maji tiririka,n.k.; yote hayo ni njia za kawaida zilizofanyiwa utafiti juu ya matumizi yake kwenye magonjwa ya milipuko kama Ebola na mengineyo.

Kwa hiyo, COVID-19, ilikuwa haifahamiki, na hadi leo hii bado tafiti zinaendelea kujua mengi juu yake. Fahamu pia kwamba, Corona iliyoanzia Wuhan, sasa hivi siyo tishio kubwa kama hii ya Delta iliyoibukia India, ambayo ni kali zaidi. Pamoja na hayo yote, nimekueleza huko juu, hali ilivyokuwa mbaya Ulaya na Marekani, ambako watu maelfu kwa maelfu walikuwa wakiathirika. Hapa kwetu, nimekueleza, hatujui kinga yetu ilitokana na kitu gani kiasi kwamba katika wimbi lile la kwanza sisi tuliponea chupuchupu, na ndio nikatoa shukrani kwa Muumba kwa kutuepusha na janga lile. Utafiti unatakiwa kufanyika, tujue, sisi tuliepuka vipi ile hali iliyotokea Ulaya na Marekani? Corona wetu hapa alikuwa ni dhaifu kuliko yule wa sehemu zile? Au Joto letu hapa ndiyo ilikuwa kinga yetu? HATUJUI, mpaka tufanye utafiti.

Ngoja niliachie hili hapa, maana nalo litakuwa gazeti refu. Lakini kama bado huoni ninachoeleza, basi huenda sijielezi vizuri kwako.

3. Unauliza, maana ya chanjo ni nini? Ni kukinga dhidi ya maambukizi na mashambulizi ya viini vinavyosababisha ugonjwa. Unaniuliza swali hili kama kejeli, au unataka ubishi juu yake?
Sasa kwa vile chanjo ya COVID-19 haizuii moja kwa moja maambukizi, ndiyo tuseme kwamba chanjo haifanyi kazi ipaswayo kufanya, hata kama wanaoambukizwa hawapati madhara makubwa kama wale ambao hawana chanjo kabisa? Hapa unatafuta ubishi, na sina muda huo.

4. Kama sasa hivi huzioni dalili za covid-19, kama ulivyoelezwa hapo mwanzo, fahamu kwamba COVID-19 ni ugonjwa mpya. Kuna mambo mengi ambayo bado hayafahamiki, kwa sababu tafiti juu yake bado zinaendelea. Pia ni muhimu utambue kwamba, COVID-19, kama inavyojulikana kuhusu magonjwa yanayosababishwa na Virusi, ana uwezo wa kujibadilisha mara kwa mara kutokana na mazingira tofauti tofauti ya maeneo anapojitokeza.

Inatosha.
 
Mkuu 'Monk" tusiweke huu mjadala uwe kama ni wa mabishano. Tueleze tu tunachokijua kwa uzoefu/elimu inavyotuonyesha kuhusu ugonjwa wenyewe.

Ngoja nikujibu tena hatua kwa hatua uliyoyaeleza hapa, kama ninavyoyajua mimi:
1. Mimi kadri nijuavyo, sijawahi ugua huu ugonjwa, lakini inawezekana pia nikawa nimeugua huu ugonjwa bila ya kujua kuwa ndio uliokuwa unanisumbua kipindi fulani, kwa sababu sikwenda kupima, lakini nilichukua tahadhari zote za kuzuia watu waliokuwa karibu nami nisiwaambukize.
Kwa vile sikwenda hospitali, na wala sikupimwa vipimo vyoyote, siwezi kukana/kukubali kwa hakika kwamba nilishaugua au sijawahi ugua ugonjwa huo.
Kumbuka, sio watu wote wanaoambukizwa huo ugonjwa wanapata dalili na ukali sawa juu ya ugonjwa wenyewe.
Kwa kumalizia hili- kuugua kwako huo ugonjwa, haikupi ufahamu ya ugonjwa huo kamilifu. Unachoweza wewe kueleza ni jinsi ulivyojisikia dalili zake, ambazo zinaweza kuwa ni tofauti na za mtu mwingine.

2. Matumizi ya "usafiri wa Public"- TAFITI ZI PI- mlizoambabiwa kwam mtado kuku?ndoka kama? Unaweza kuweka matokeo yoyote ya utafiti yaliyochapishwa kuonyesha kuwa tafiti hizo zilionyesha "watu wakidondoka kama kuku"? Hapa niseme wazi sielewi una maana gani.

"Projections", ni tofauti kabisa na matokeo ya utafiti, kwa hiyo unachanganya mambo tofauti kabisa hapa.
Hata hivyo inanibidi nikueleze kwamba COVID-19 ni ugonjwa mpya. Ni ugonjwa ambao haujawahi kutokea na ukashambulia watu na tafiti juu yake zikafanyika.
Hizo 'projections' unazozungumzia hapa zina/zilitokana na uzoefu wa magonjwa mengine ya milipuko kama ilivyoonyesha COVID-19 ilipokuwa inaanza.
Hakuna sayansi yoyote iliyokuwa imefanyika juu ya COVID-19 yenyewe, kwa sababu haikuwahi kutokea. Hayo yote ya kuvaa barakoa, matumizi ya sanitizer, maji tiririka,n.k.; yote hayo ni njia za kawaida zilizofanyiwa utafiti juu ya matumizi yake kwenye magonjwa ya milipuko kama Ebola na mengineyo.

Kwa hiyo, COVID-19, ilikuwa haifahamiki, na hadi leo hii bado tafiti zinaendelea kujua mengi juu yake. Fahamu pia kwamba, Corona iliyoanzia Wuhan, sasa hivi siyo tishio kubwa kama hii ya Delta iliyoibukia India, ambayo ni kali zaidi. Pamoja na hayo yote, nimekueleza huko juu, hali ilivyokuwa mbaya Ulaya na Marekani, ambako watu maelfu kwa maelfu walikuwa wakiathirika. Hapa kwetu, nimekueleza, hatujui kinga yetu ilitokana na kitu gani kiasi kwamba katika wimbi lile la kwanza sisi tuliponea chupuchupu, na ndio nikatoa shukrani kwa Muumba kwa kutuepusha na janga lile. Utafiti unatakiwa kufanyika, tujue, sisi tuliepuka vipi ile hali iliyotokea Ulaya na Marekani? Corona wetu hapa alikuwa ni dhaifu kuliko yule wa sehemu zile? Au Joto letu hapa ndiyo ilikuwa kinga yetu? HATUJUI, mpaka tufanye utafiti.

Ngoja niliachie hili hapa, maana nalo litakuwa gazeti refu. Lakini kama bado huoni ninachoeleza, basi huenda sijielezi vizuri kwako.

3. Unauliza, maana ya chanjo ni nini? Ni kukinga dhidi ya maambukizi na mashambulizi ya viini vinavyosababisha ugonjwa. Unaniuliza swali hili kama kejeli, au unataka ubishi juu yake?
Sasa kwa vile chanjo ya COVID-19 haizuii moja kwa moja maambukizi, ndiyo tuseme kwamba chanjo haifanyi kazi ipaswayo kufanya, hata kama wanaoambukizwa hawapati madhara makubwa kama wale ambao hawana chanjo kabisa? Hapa unatafuta ubishi, na sina muda huo.

4. Kama sasa hivi huzioni dalili za covid-19, kama ulivyoelezwa hapo mwanzo, fahamu kwamba COVID-19 ni ugonjwa mpya. Kuna mambo mengi ambayo bado hayafahamiki, kwa sababu tafiti juu yake bado zinaendelea. Pia ni muhimu utambue kwamba, COVID-19, kama inavyojulikana kuhusu magonjwa yanayosababishwa na Virusi, ana uwezo wa kujibadilisha mara kwa mara kutokana na mazingira tofauti tofauti ya maeneo anapojitokeza.

Inatosha.

Sijajua hadi sasa hivi unakubali kipi na unakataa kipi.

Kwa nadhsria zako unakubali kwamba kitaalam na taditi zinazoendelea zinathibitisha kubadikika badilika kwa virus, I have just asked very basic questions.

Ni sawa kutumia njia zile zile kwa kirusi kinachobadilika?

Kama ugonjwa wenyewe unakiri ni mpya na mambo mengi hayajafahamika ku uhusu, kwanini uone hoja yangu ya kusema inahitajika utafiti wa kina zaidi kuona kama mbinu na tahadhari tunazotumia kupambana na huu ugonjwa zina tija?

Nimefurahi kwamba unakiri uwezekano wa wewe kuugua hata kama haukuthibitisha kwa vipimo lakini unasema ulichukua tahadhari stahiki kuepusha maambukizi.
Kuna wengi waliugua na hawakujua na kutokana na shughuli zao, wameendelea kujichanganya na watu bila hizo tahadhari. Wengi wamepona hata bila kujua kama waliwahi kuugua.

Kama ugonjwa wenyewe bado unafanyiwa tafiti zaidi kuuelewa, hali kadhalika kuna mengi zaidi ya kutafiti kuhusu chanjo.

Linganisha uhalisia na theories.
 
Mkuu 'Monk" tusiweke huu mjadala uwe kama ni wa mabishano. Tueleze tu tunachokijua kwa uzoefu/elimu inavyotuonyesha kuhusu ugonjwa wenyewe.

Ngoja nikujibu tena hatua kwa hatua uliyoyaeleza hapa, kama ninavyoyajua mimi:
1. Mimi kadri nijuavyo, sijawahi ugua huu ugonjwa, lakini inawezekana pia nikawa nimeugua huu ugonjwa bila ya kujua kuwa ndio uliokuwa unanisumbua kipindi fulani, kwa sababu sikwenda kupima, lakini nilichukua tahadhari zote za kuzuia watu waliokuwa karibu nami nisiwaambukize.
Kwa vile sikwenda hospitali, na wala sikupimwa vipimo vyoyote, siwezi kukana/kukubali kwa hakika kwamba nilishaugua au sijawahi ugua ugonjwa huo.
Kumbuka, sio watu wote wanaoambukizwa huo ugonjwa wanapata dalili na ukali sawa juu ya ugonjwa wenyewe.
Kwa kumalizia hili- kuugua kwako huo ugonjwa, haikupi ufahamu ya ugonjwa huo kamilifu. Unachoweza wewe kueleza ni jinsi ulivyojisikia dalili zake, ambazo zinaweza kuwa ni tofauti na za mtu mwingine.

2. Matumizi ya "usafiri wa Public"- TAFITI ZI PI- mlizoambabiwa kwam mtado kuku?ndoka kama? Unaweza kuweka matokeo yoyote ya utafiti yaliyochapishwa kuonyesha kuwa tafiti hizo zilionyesha "watu wakidondoka kama kuku"? Hapa niseme wazi sielewi una maana gani.

"Projections", ni tofauti kabisa na matokeo ya utafiti, kwa hiyo unachanganya mambo tofauti kabisa hapa.
Hata hivyo inanibidi nikueleze kwamba COVID-19 ni ugonjwa mpya. Ni ugonjwa ambao haujawahi kutokea na ukashambulia watu na tafiti juu yake zikafanyika.
Hizo 'projections' unazozungumzia hapa zina/zilitokana na uzoefu wa magonjwa mengine ya milipuko kama ilivyoonyesha COVID-19 ilipokuwa inaanza.
Hakuna sayansi yoyote iliyokuwa imefanyika juu ya COVID-19 yenyewe, kwa sababu haikuwahi kutokea. Hayo yote ya kuvaa barakoa, matumizi ya sanitizer, maji tiririka,n.k.; yote hayo ni njia za kawaida zilizofanyiwa utafiti juu ya matumizi yake kwenye magonjwa ya milipuko kama Ebola na mengineyo.

Kwa hiyo, COVID-19, ilikuwa haifahamiki, na hadi leo hii bado tafiti zinaendelea kujua mengi juu yake. Fahamu pia kwamba, Corona iliyoanzia Wuhan, sasa hivi siyo tishio kubwa kama hii ya Delta iliyoibukia India, ambayo ni kali zaidi. Pamoja na hayo yote, nimekueleza huko juu, hali ilivyokuwa mbaya Ulaya na Marekani, ambako watu maelfu kwa maelfu walikuwa wakiathirika. Hapa kwetu, nimekueleza, hatujui kinga yetu ilitokana na kitu gani kiasi kwamba katika wimbi lile la kwanza sisi tuliponea chupuchupu, na ndio nikatoa shukrani kwa Muumba kwa kutuepusha na janga lile. Utafiti unatakiwa kufanyika, tujue, sisi tuliepuka vipi ile hali iliyotokea Ulaya na Marekani? Corona wetu hapa alikuwa ni dhaifu kuliko yule wa sehemu zile? Au Joto letu hapa ndiyo ilikuwa kinga yetu? HATUJUI, mpaka tufanye utafiti.

Ngoja niliachie hili hapa, maana nalo litakuwa gazeti refu. Lakini kama bado huoni ninachoeleza, basi huenda sijielezi vizuri kwako.

3. Unauliza, maana ya chanjo ni nini? Ni kukinga dhidi ya maambukizi na mashambulizi ya viini vinavyosababisha ugonjwa. Unaniuliza swali hili kama kejeli, au unataka ubishi juu yake?
Sasa kwa vile chanjo ya COVID-19 haizuii moja kwa moja maambukizi, ndiyo tuseme kwamba chanjo haifanyi kazi ipaswayo kufanya, hata kama wanaoambukizwa hawapati madhara makubwa kama wale ambao hawana chanjo kabisa? Hapa unatafuta ubishi, na sina muda huo.

4. Kama sasa hivi huzioni dalili za covid-19, kama ulivyoelezwa hapo mwanzo, fahamu kwamba COVID-19 ni ugonjwa mpya. Kuna mambo mengi ambayo bado hayafahamiki, kwa sababu tafiti juu yake bado zinaendelea. Pia ni muhimu utambue kwamba, COVID-19, kama inavyojulikana kuhusu magonjwa yanayosababishwa na Virusi, ana uwezo wa kujibadilisha mara kwa mara kutokana na mazingira tofauti tofauti ya maeneo anapojitokeza.

Inatosha.
Mkuu Kalamu,
Katika namba2 hapo kuwa hujui katika wimbi la kwanza sisi tuliponea wapi,? Mimi kwa akili yangu ya kawaida nadhani ni umaskini wetu ndio ulisaidia!!!!

kwa nini umasikini,
Nikiangalia mazingira ambayo tunaishi, kusema kweli ndio mazingira halisi ambayo Mwenyezi Mungu alitaka tuishi au alijua ndio tutayoishi mpaka tujitsmbue wenyewe,

kivipi,
Mimi nimeishi America kidogo,
Nakumbuka nilikuwa naweza kukaa hata mwezi bila kupiga brush kiatu kwa sababu mvua ni kiasi sana( hapa nipo tayari kukisolewa), labda ni eneo nililokuwa nikiishi,

sasa hapa kwetu vumbi ndio kwao kila siku nikienda kufanya mazoezi yaani ni vumbi mpaka nasema leo nitaugua, sasa maana yake ni kwamba ile kinga yetu ya mewili ambayo Mwenyezi Mungu alitupa inamanisha ipo na tahadhali muda wote,
Kwa hiyo mifumo wetu wa kinga haujalala,

ukiangalia nchi hata za Arabuni hazikupigwa haswa kutokana na vilivile kule vumbi ni sawa na kwetu huku vilevile.

Ahsante, nimeandika kwa akili zangu za Mtaa I sio kisomi.
Kwa hiyo msipoteze muda kunishambulia
 
Sijajua hadi sasa hivi unakubali kipi na unakataa kipi.

Kwa nadhsria zako unakubali kwamba kitaalam na taditi zinazoendelea zinathibitisha kubadikika badilika kwa virus, I have just asked very basic questions.

Ni sawa kutumia njia zile zile kwa kirusi kinachobadilika?

Kama ugonjwa wenyewe unakiri ni mpya na mambo mengi hayajafahamika ku uhusu, kwanini uone hoja yangu ya kusema inahitajika utafiti wa kina zaidi kuona kama mbinu na tahadhari tunazotumia kupambana na huu ugonjwa zina tija?

Nimefurahi kwamba unakiri uwezekano wa wewe kuugua hata kama haukuthibitisha kwa vipimo lakini unasema ulichukua tahadhari stahiki kuepusha maambukizi.
Kuna wengi waliugua na hawakujua na kutokana na shughuli zao, wameendelea kujichanganya na watu bila hizo tahadhari. Wengi wamepona hata bila kujua kama waliwahi kuugua.

Kama ugonjwa wenyewe bado unafanyiwa tafiti zaidi kuuelewa, hali kadhalika kuna mengi zaidi ya kutafiti kuhusu chanjo.

Linganisha uhalisia na theories.
Nikiri moja kwa moja kwamba sikuelewi unataka nini.

1. Ni kipi nimekikataa na kipi nimekikubali? Sijasema kwamba ugonjwa ni mpya na mambo mengi juu yake hayafahamiki, unataka nisemeje?
Nimekataa kwamba tafiti hazifanyiki?

2. "Ni sawa kutumia njia zile zile kwa kirusi kinachobadilika"? - Njia zile zile zipi? Kutumia barakoa, maji tiririka,n'k? Nani kakuambia kwamba hazifanyi kazi? Umeona utafiti gani unaoonyesha kwamba njia hizo hazifai kwa COVID-19 kwa vile tui ni ugonjwa mpya! Kwani kutumia hizo njia kunazuia kuendelea kufanya tafiti kuhusu uwezekano wa kupata njia mpya, specific kwa COVID-19, na hata pengine kwa hayo magonjwa mengine ya milipuko?
Kama ugonjwa wenyewe unakiri ni mpya na mambo mengi hayajafahamika ku uhusu, kwanini uone hoja yangu ya kusema inahitajika utafiti wa kina zaidi kuona kama mbinu na tahadhari tunazotumia kupambana na huu ugonjwa zina tija?
3. Nionyeshe kwenye maandishi yangu nilipoandika maneno yanayoeleza kama haya yako uliyoandika hapo juu.
Na pia naomba uniwekee hizo "mbinu na tahadhari tunazotumia kupambana na huu ugonjwa" ambazo una mashaka juu yake kuwa na tija. Nakuomba tafadhari zitaje hizo njia hapa.

4. Nimekataa wapi kwamba kuna waliougua na hawakujuwa kwamba ugonjwa tayari wanao na ndio wanaowaambukiza wengine. Hebu nionyeshe katika maandiko yangu hapa niliposema hivyo.

5. Kwani huna habari kwamba tafiti kuhusu chanjo bado zinaendelea? Ni wapi nilipoeleza kwamba chanjo zilizopo sasa hivi ndio tosha kabisa kuudhibiti huu ugonjwa? Lakini matokeo ya tafiti ambazo zimekwishafanyika tayari yanaonyesha kwamba chanjo zilizopo (ambazo bado utafiti unaendelea), zinafanya kazi nzuri kutokana na matokeo yanayopatikana kwa waliochanjwa na ambao hawajachanjwa.

Naona huna lolote ulilonalo uhakika, unazuazuatu taarifa kuendeleza ubishi.

6. Nilinganishe "uhalisia na theories zipi" unaelewa maana ya maneno unavyoyatumia? Ni theory (nadharia) ipi niliyoiweka hapa katika maandiko yangu

Kifupi ngoja niseme hivi. Nadhani background yako haipo kabisa kwenye maswala ya kisayansi maana maandishi yako yanaonyesha hivyo. Unajaribu tu kueleza maswala ambayo huna msingi wa kuyaeleza kwa kukosa uelewa juu yake.

Nafunga huu mjadala, kwa sababu sioni jipya juu yake.
 
Mkuu Kalamu,
Katika namba2 hapo kuwa hujui katika wimbi la kwanza sisi tuliponea wapi,? Mimi kwa akili yangu ya kawaida nadhani ni umaskini wetu ndio ulisaidia!!!!

kwa nini umasikini,
Nikiangalia mazingira ambayo tunaishi, kusema kweli ndio mazingira halisi ambayo Mwenyezi Mungu alitaka tuishi au alijua ndio tutayoishi mpaka tujitsmbue wenyewe,

kivipi,
Mimi nimeishi America kidogo,
Nakumbuka nilikuwa naweza kukaa hata mwezi bila kupiga brush kiatu kwa sababu mvua ni kiasi sana( hapa nipo tayari kukisolewa), labda ni eneo nililokuwa nikiishi,

sasa hapa kwetu vumbi ndio kwao kila siku nikienda kufanya mazoezi yaani ni vumbi mpaka nasema leo nitaugua, sasa maana yake ni kwamba ile kinga yetu ya mewili ambayo Mwenyezi Mungu alitupa inamanisha ipo na tahadhali muda wote,
Kwa hiyo mifumo wetu wa kinga haujalala,

ukiangalia nchi hata za Arabuni hazikupigwa haswa kutokana na vilivile kule vumbi ni sawa na kwetu huku vilevile.

Ahsante, nimeandika kwa akili zangu za Mtaa I sio kisomi.
Kwa hiyo msipoteze muda kunishambulia
Uwezekano huo upo mkuu, lakini njia pekee ya kujuwa kwamba sisi hatukushambuliwa sana kwa sababu ya "usugu"?, "ustahimilivu" wa miili yetu kutokana na mazingira tunayoishi, hayo ni maswala ya kufanyia utafiti ili kuyajuwa.

Hiyo ni fursa kwa vijana wetu ambao sasa wamo mashuleni,. Mbona litakuwa jambo jema sana kama tukigundua kwamba miili yetu ina kinga fulani dhidi ya aina ya magonjwa haya ya milipuko kutokana na hali ya mazingira yetu tunayoishi?
Tunaweza hata kuanzisha vituo vya wazungu kuwa wanakuja kuishi humo ili kuwajengea miili yao na wao kinga kama hizo!!!
Si itapendeza sana nasi kutoa mchango wa maana kama huo katika nyanja ya afya!
 
Mwili wa hayati Kwandikwa aliyekuwa Waziri wa ulinzi utaagwa jijini Dar es salaam, jijini Dodoma na mkoani Shinyanga ambako atazikwa.

Source: ITV habari
 
Huu utamaduni wa kishamba wa kutembeza maiti uachwe mara moja.

Mbona hatuacho kuwa vituko?

Jambo jingine muhimu,Hebu tuwe serious na jitijada za kudhibiti korona.
Tunafanyaje upuuzi wa kukusanyana kuagaaga maiti tukiwa katikati ya changamoto hii ya korona? Tuache mizaha. Tuonyeshe uongozi.
 
Back
Top Bottom