You are right sir! Background?? So it turns out that you know me better right?Nikiri moja kwa moja kwamba sikuelewi unataka nini.
1. Ni kipi nimekikataa na kipi nimekikubali? Sijasema kwamba ugonjwa ni mpya na mambo mengi juu yake hayafahamiki, unataka nisemeje?
Nimekataa kwamba tafiti hazifanyiki?....
Ukisikia vichwa panzi maana yake ndiyo hiyo.Mtaka: Hali si nzuri Dodoma, chukueni tahadhari dhidi ya Covid-19
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka amewataka wakazi wa Dodoma kuchukua hatua za tahadhari dhidi ya ugonjwa wa corona kwa sababu hali si nzuri mkoani humo.www.mwananchi.co.tz
Ukisikia vichwa panzi maana yake ndiyo hiyo.
Yaani WANAKURUPUKA tu Mkuu bila hata ya kutafakari kwa kina.
Utaratibu wa serikali.Kwa nini?
Na kongamano LA chokochokoHiyo ni mikusanyiko ya Lazima?
So what ?Napendekeza marehemu apewe heshima tajwa hapo juu kama kumbukumbu ya kuongoza wizara hiyo nyeti.
N.B intake ni depo ya askari wapya wa JWTZ na Operesheni ni depo ya askari wapya wa JKT.
Two wrongs don't make a rightNa kongamano la chokochoko
[emoji23][emoji23][emoji23]duh nimechekaNdio legacy au?
Si wamechanja jamani na tahadhari wanachukuaNgoja waendelee kukusanya watu. Corona haipo.
Jamani chanjo si tayari ipo?Hali ni mbaya sana. Vifo vingi sana. Serikali iko kimya.
Eti wametolewa hofu.
Kutolewa hofu yaonekana ni kutokujali watu kufa hadi mtu aguswe moja kwa moja ambao ni upumbafu wa hali ya juu sana.
Mlolongo wote huo wa nini kwa Kuandikwa asiyejulikana popote ?Mwili wa hayati Kwandikwa aliyekuwa Waziri wa ulinzi utaagwa jijini Dar es salaam, jijini Dodoma na mkoani Shinyanga ambako atazikwa.
Source: ITV habari
Kinadharia chanjo ipo: