raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kufikia 2025 tutapiga chaguzi za marudio for atleast 72% ya majimbo yote.
Tunaangalia pale kongwa
Baada ya kutapeliwa ndo msiba ukatokea mkuu!!!!Alitapeliwa na Mt w chini hii ni hatare kwa usalama wa nchi
Jamaa pale Picha ya ndege Kibaha kawekeza mbayaAmeondolewa na kikosi kazi kinachafanya kazi ya kusafisha uchafu wote wa màgufool
Kafa kafajesababu ya kifo chake mungu kamuita
WapiJamaa pale Picha ya ndege Kibaha kawekeza mbaya
WapiJamaa pale Picha ya ndege Kibaha kawekeza mbaya
Piga simu IkuluHabari wakuu
Tangu zimetoka taarifa za kifo cha waziri wetu wa ulinzi ndugu yetu mh. Elias Kwandikwa, nimekuwa nikisoma taarifa mbalimbali zinazohusiana na kifo chake lakini sijaona kisababishi kifo ni nini. Au pengine taarifa hiyo imeshatolewa ila imenipitia kushoto sijaipata.. Tafadhari mwenye kujuwa kwa uhakika anijuze mimi na wengine tulio nyuma ktk hili.
Covax FacilitiesDelta variant?
Pole zao wafiwa.
Mmh! Vipi?RIP kamaradi