Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,451
Corona bandia imeangusha serikali nzima.Hivi vifo vya viongozi wetu kuanzia cha mkuu wa nchi vinawalakini kuna kitu nyuma yao ila watu wanatembelea Corona ndo maana majaliwa kapoa sana siku hizi toka ende madudu ya hazina na mwendokasi sijui walimtisha kidogo.
Kuna watu wanatumia mgongo wa corona kuangusha serikali.Explain
Delta Force ivamie pale Makore itunyanyulie mtu mmoja n ije hapa OhioAisee vigogo tu huu mwaka huu na mwaka jana kuanzia term ya pili tanzania ineshuhudia vifo vya watu wazito
YesSamahani Boss ukiwa mgonjwa huruhusi kuchanja...
Naaamini mkuu mtaani huku kama hii corona ingekua relevant kama tunavyoona kwenye media za mabeberu tungezika na kusafirisha wengi ila wanaokufa ni matajiri kinachoniogopeshaKuna watu wanatumia mgongo wa corona kuangusha serikali.
Believe me!
Lipo jambo linakuja. Tuendelee kutizama.Naaamini mkuu mtaani huku kama hii corona ingekua relevant kama tunavyoona kwenye media za mabeberu tungezika na kusafirisha wengi ila wanaokufa ni matajiri kinachoniogopesha
Ila sijaelewa tu kuwa ilikuwaje alipomaliza Advanced Diploma kisha akaenda kufanya Masters Degree yake.Moja ya watu waliokufa bila kashifa, mtu muungwana sana sana.
Msalimie Magufuli mwambie huku Matozo kama yote.
Covid bwana haya bwana!!
Maombi ya akina Mwamakula yameanza kujibiwa, tutaelewana tu.
Wasomi ingilieni kati muhas wanafanya nini? Sijaona hata wanaadika andiko lolote la covid elimu ya tanzania tunapigwa sanaaaaDelta Force ivamie pale Makore itunyanyulie mtu mmoja n ije hapa Ohio
Pole sana Vicky. R.I.P Kwandikwa.Ninamfahamu tokea anasoma Shybush tukiwa wadogo kabisa. Hadi alipopata uwaziri hakuwa na makuu kijana wa watu. 😭.
Mungu atuepushe tusio na hatia nilikua nasoma ripoti ya republican ambayo sio rasmi kuhusu corona inatisha lengo la kutengenezwa lilikua kuua watu ndio naona sasa nadhani hewa imechafuliwa sasa inabidi tununueLipo jambo linakuja. Tuendelee kutizama.
Wale wanaoona system inawatesa wala hawaoni uchungu viongozi wa serikali wakifa kwani wanaamini ni malipo ya madhila wanayopatiwa, nchi iko katika mpasuko mkubwa japo kuna wanaojifanya huo mpasuko si lolote si chochote kwa kuwa wao ndiyo wameshika mpini.Na kaskazini wanaaanguka sana jamani au mwenyekiti anaijua hii siri? Unajua imekua kawaida sana sasa hivi kuskia mtu kafa yan hushtuki tupige goti tusali dakika za lala salama hizi ndugu
Halafu mkuu wao alichaguliwa mfanyakazi bora Mei Mosi.. hakuna wanachofanya zaidi ya kutengeneza lile chujio la kujifukiza.Wasomi ingilieni kati muhas wanafanya nini? Sijaona hata wanaadika andiko lolote la covid elimu ya tanzania tunapigwa sanaaaa
TISS.Ila sijaelewa tu kuwa ilikuwaje alipomaliza Advanced Diploma kisha akaenda kufanya Masters Degree yake.
Tafadhalii mliosoma na Kufika huko Vyuo Vikuu ( tofauti na Sisi akina GENTAMYCINE ) mtudadavulie kidogo hapa na kwamba inawezekana vipi Kitaaluma?
Otherwise pole kwa Familia yake, Wapiga Kura wake, Serikali ya Tanzania, Chama Tawala cha CCM, Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan na Watanzania wote kwa Ujumla kutokana na Msiba huu mkubwa na mzito.
May His Soul Rest In Eternal Peace.
Hivi huyu mama mnamuelewa? NaogopaWale wanaoona system inawatesa wala hawaoni uchungu viongozi wa serikali wakifa kwani wanaamini ni malipo ya madhila wanayopatiwa, nchi iko katika mpasuko mkubwa japo kuna wanaojifanya huo mpasuko si lolote si chochote kwa kuwa wao ndiyo wameshika mpini.
Huu mpasuko utazidi kuongezeka kadri siku zinavyosonga kwani radicalism inazidi kuongezeka kila uchwao.
Ngoja tuendelee ku zoom huku tukisheta popcorn.
Kwa hiyo hata kifo cha Kaka yake mwenyekiti wenu pia ni maombi ya Mwamakula? !!Hakuna amani kwa wezi wa kura. Na bado