Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Crap
Zanzibar mbunge mteule wa Konde kupitia CCM amejiuzulu, tayari kuna uchaguzi mdogo hapo.
Huku Tanganyika kuna tetesi waziri kafariki, napo pananukia uchaguzi mdogo.
Hii siku ya leo ikoje jamani?!!!