Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Ninamfahamu tokea anasoma Shybush tukiwa wadogo kabisa. Hadi alipopata uwaziri hakuwa na makuu kijana wa watu. 😭.Pole sana Kwa msiba mkubwa uliowafika, inaelekea ulimfahamu kwa karibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninamfahamu tokea anasoma Shybush tukiwa wadogo kabisa. Hadi alipopata uwaziri hakuwa na makuu kijana wa watu. 😭.Pole sana Kwa msiba mkubwa uliowafika, inaelekea ulimfahamu kwa karibu.
Huyu si ndio ametapeliwa kizembe zembe kabisa na MassaweMoja ya watu waliokufa bila kashifa, mtu muungwana sana sana.
Msalimie Magufuli mwambie huku Matozo kama yote.
Covid bwana haya bwana!!
Chanjo ni vijidudu vilevile vya ugonjwa ila vimekarabatiwa kitaalam ili viingizwe kwenye mwili kufanya kazi ya kuulinda mwili, haitakiwi mgonjwa achanjwe kwa sababu tayari ana vimelea vya ugonjwa kwa hiyo anapochanjwa inakua kama umemuongezea vijidudu zaidi na hatopata kinga zaidi ya kuzidiwa.Ukiwa mgonjwa huruhusiwi kuchanjwa, sijui ni kwa sababu zipi lakini huo ndiyo ukweli.
Na KaweKufikia 2025 tutapiga chaguzi za marudio for atleast 72% ya majimbo yote.
Tunaangalia pale kongwa
Mbona wanaokufa wana 99% ya kujizuia wanapesa wana access ya huduma nzuri za afya? Kuna namna hapa sio hii covid mtaaani huku tunapumuliana lakini wapiVery possible
Nina wasiwasi sana na huu ugonjwa wanaokufa wananafasi kutetea maisha yao kwa asilimia kubwa mnoo hivi kwa maskini kama mimi itakuaje?Kuna haja utafiti kufanyika kujua kama kovid tunayoambiwa tujikinge kwa barakoa, sanitizer na kunawa mikono ndio njia sahihi ya kupunguza maambukizi?
Kwa namna gani chanjo inasaidia kupunguza madhara na maambukizi ya kovid?
Tubadili namna ya kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi au tubaki na zilezile za awali?
Mwisho, kuna haja ya kutafuta namna ya kuounguza hofu na wasiwasi, hii inaweza kuleta madhara makubwa kuliko hata ugonjwa wenyewe.
Duh,miaka 55 kijana?Ninamfahamu tokea anasoma Shybush tukiwa wadogo kabisa. Hadi alipopata uwaziri hakuwa na makuu kijana wa watu. [emoji24].
usifanye watu tudhani foul play maana wizara nyeti ile watu wajiangalie korona isije ikawa ndo kifungashioSio ngoma. Jamani hapa nalia Sukuma gang mwenzangu katuacha 😭.Basi Samia wizara ya Ulinzi ataweka Mzanzibari mwenzake.
Ana uzee gani kwa mfano?.Duh,miaka 55 kijana?
Ndo hivyo babu.
mbona hakuonekana akichanjwa ?Johnson ameanza kazi [emoji16][emoji16][emoji16]
RIP KWAKE. MUNGU AMREHEMU.
POLE RAIS NA WAFIWA WOTE WALIOFIKWA NA MSIBA.