TANZIA Elias Kwandikwa, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa afariki dunia

TANZIA Elias Kwandikwa, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa afariki dunia

Ni kweli kafariki mida ya saa 10:15PM usiku wa leo sass sijajua kwanini Moderator wamefuta nyuzi zetu
 
Waziri wa Ulinzi Mh.Elius Kwandikwa hatukonae Tena.
R.I.P Kwandikwa
ridhiwani_kikwete-___CSFbR38rK7m___-.jpeg
 
ALUMZIKE KWA AMANI MPENDWA WETU,JAPO NDO MARA YA KWANZA NAMUONA MTU HUYU
 
Haya ndio madhara ya kuchanja chanjo pasipo kufanyiwa utafiti hizi chanjo zitakuwa na negative effects zaidi ya positive effects tutegemee kupoteza watu zaidi...
Alichanja ?

may ndio kutafuta story kende wewe?
 
Back
Top Bottom