johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Zanzibar mbunge mteule wa Konde kupitia CCM amejiuzulu, tayari kuna uchaguzi mdogo hapo.
Huku Tanganyika kuna tetesi waziri kafariki, napo pananukia uchaguzi mdogo.
Hii siku ya leo ikoje jamani?!!!
Huku Tanganyika kuna tetesi waziri kafariki, napo pananukia uchaguzi mdogo.
Hii siku ya leo ikoje jamani?!!!