Masawe tena?!!Huyu c ndiye aliyetapeliwa na massawe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masawe tena?!!Huyu c ndiye aliyetapeliwa na massawe
Mwache mwendazake apumzikeHamna Ulinzi aliyokuwa anautoa.
R.I.P
Wameanza Tena!!!
Wakati wa kuzindua jiwe la msingi pale lugaro tuliambiwa amepewa majukumu mengine
Kwani huyo kafa kutokana na chanjo?Haya ndio madhara ya kuchanja chanjo pasipo kufanyiwa utafiti hizi chanjo zitakuwa na negative effects zaidi ya positive effects tutegemee kupoteza watu zaidi...
Delta variant?
Pole zao wafiwa.
Duh hakika mbona bado kijana sana huyu jamaa?
Ndio maana tunawaambia tendeni haki muishi kwa amani na muondoke kwa amani.
Huyu kafa bila kashifa yoyote na alikiwa unpopular maana hakuwa muongeaji na mtu wa matamko sana na inaonekana alikuwa sana karibu na Magufuli.
Msalimie Magufuli mwambie huku Matozo kama yote na wakina Mbowe na sabaya wapo gerezani.
Umekifa ukiwa bado kijana
Tuchukue hatua covid ipo serious!!
R.I.P
Uvico ya sasa inatafuna vijanaDuh hakika mbona bado kijana sana huyu jamaa?
Ndio maana tunawaambia tendeni haki muishi kwa amani na muondoke kwa amani.
Huyu kafa bila kashifa yoyote na alikiwa unpopular maana hakuwa muongeaji na mtu wa matamko sana na inaonekana alikuwa sana karibu na Magufuli.
Msalimie Magufuli mwambie huku Matozo kama yote na wakina Mbowe na sabaya wapo gerezani.
Umekifa ukiwa bado kijana
Tuchukue hatua covid ipo serious!!
R.I.P
Na alivyo obese vile….hmm!Itakuwa hiyo hiyo. Na huyo mama anayetanga tanga huku na kule anahatarisha maisha yake.