TANZIA Elias Kwandikwa, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa afariki dunia

TANZIA Elias Kwandikwa, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa afariki dunia

Kijana mwisho miaka mingapi?
Duh hakika mbona bado kijana sana huyu jamaa?

Ndio maana tunawaambia tendeni haki muishi kwa amani na muondoke kwa amani.

Huyu kafa bila kashifa yoyote na alikiwa unpopular maana hakuwa muongeaji na mtu wa matamko sana na inaonekana alikuwa sana karibu na Magufuli.

Msalimie Magufuli mwambie huku Matozo kama yote na wakina Mbowe na sabaya wapo gerezani.


Umekifa ukiwa bado kijana

Tuchukue hatua covid ipo serious!!

R.I.P
 
Duh hakika mbona bado kijana sana huyu jamaa?

Ndio maana tunawaambia tendeni haki muishi kwa amani na muondoke kwa amani.

Huyu kafa bila kashifa yoyote na alikiwa unpopular maana hakuwa muongeaji na mtu wa matamko sana na inaonekana alikuwa sana karibu na Magufuli.

Msalimie Magufuli mwambie huku Matozo kama yote na wakina Mbowe na sabaya wapo gerezani.


Umekifa ukiwa bado kijana

Tuchukue hatua covid ipo serious!!

R.I.P
Uvico ya sasa inatafuna vijana
 
Back
Top Bottom