Elimika hapa bure

Elimika hapa bure

Kuna miamba huwa inadhani hizi button ni kubonyeza tu. Sasa kaa hapa nikupige shule kidogo.

Hivi vyoo vinaitwa Dual flushing buttons au dual-flush toilets kwa lugha janja ya kimombo.

Ni vyoo vya kisasa vilivyokuwa modified ili kupunguza matumizi ya maji.

Lengo kuu la vyoo vya dual-flush ni kupunguza matumizi ya maji.

Kwa kutoa machaguo mawili ya kusukuma maji, mtumiaji anaweza kuchagua kiasi kinachofaa cha maji kulingana na aina ya taka.

Button kubwa hutoa takriban lita 6-9 za maji kwa taka ngumu—hii ndio ya sh¡t sasa kama ukienda kupuu.

Button ndogo inatoa lita 3-4.5 kwa taka ya majimaji— ya kojo.

Kwa kutumia button inayofaa unaweza kuokoa hadi lita 20,000 za maji kila mwaka.

Kupunguza matumizi ya maji kunaweza kukupunguzia gharama za bili za maji.

Wale mnaopenda kubonyeza zote mbili mkome mara moja 😀.
Bila shaka umepata kitu.

Credit: Twaha Mwaipaya FBView attachment 3133544
Dah! Mimi huwa natembea na zote mbili eti!! 😁
 
Wakileta vya auto flash basi tumekwisha😂
Hahahah tulifika mahali huko ughaibuni tulikuwa wanafunzi wa kibongo tukapewa lunch ya maana sana
Watu wakaanza kwenda chooni.. Maana ile lunch safi ikawa inasukuma vile vilivyokuwa tumboni vitoke
Guess what happened! 😀
Zile flush zilikuwa za kinyangema sana ni automatic ukinyanyuka tu zinaflush halafu hakuna kelele kama hizi za kwetu.. Aisee yale maji hayakuwa na nguvu ya kusukuma ile mizigo yetu😀
Kwahiyo ilikuwa ikimaliza inabidi ukae tena halafu unyanyuke . kuna mwana ilibidi arudie mara nne🤣
 
Hahahah tulifika mahali huko ughaibuni tulikuwa wanafunzi wa kibongo tukapewa lunch ya maana sana
Watu wakaanza kwenda chooni.. Maana ile lunch safi ikawa inasukuma vile vilivyokuwa tumboni vitoke
Guess what happened! 😀
Zile flush zilikuwa za kinyangema sana ni automatic ukinyanyuka tu zinaflush halafu hakuna kelele kama hizi za kwetu.. Aisee yale maji hayakuwa na nguvu ya kusukuma ile mizigo yetu😀
Kwahiyo ilikuwa ikimaliza inabidi ukae tena halafu unyanyuke . kuna mwana ilibidi arudie mara nne🤣
Hakua mpare kweli huyo😂😂😂
 
Kuna miamba huwa inadhani hizi button ni kubonyeza tu. Sasa kaa hapa nikupige shule kidogo.

Hivi vyoo vinaitwa Dual flushing buttons au dual-flush toilets kwa lugha janja ya kimombo.

Ni vyoo vya kisasa vilivyokuwa modified ili kupunguza matumizi ya maji.

Lengo kuu la vyoo vya dual-flush ni kupunguza matumizi ya maji.

Kwa kutoa machaguo mawili ya kusukuma maji, mtumiaji anaweza kuchagua kiasi kinachofaa cha maji kulingana na aina ya taka.

Button kubwa hutoa takriban lita 6-9 za maji kwa taka ngumu—hii ndio ya sh¡t sasa kama ukienda kupuu.

Button ndogo inatoa lita 3-4.5 kwa taka ya majimaji— ya kojo.

Kwa kutumia button inayofaa unaweza kuokoa hadi lita 20,000 za maji kila mwaka.

Kupunguza matumizi ya maji kunaweza kukupunguzia gharama za bili za maji.

Wale mnaopenda kubonyeza zote mbili mkome mara moja 😀.
Bila shaka umepata kitu.

Credit: Twaha Mwaipaya FBView attachment 3133544
"Wale mnaopenda kubonyeza zote mbili mkome mara moja 😀".
Na wewe utukome, sisi tuuze maji wewe unataka kutuvurugia faida tunayoipata, wewe mwenzetu angalau unauza mitishamba sisi hatukuingilii.
 
Elimu ya maana toka kwa kada wa Chadema. Itawasaidia pia wana ccm kuokoa bill ya maji japo huenda hawalipi bill za maji.

Chawa Tlaatlaah na Etwege wa Ikungi, Singida ambaye pia ni shabiki mkubwa wa Tundu Lissu wamepata darasa toka kwa mwanachadema.
 
Elimu ya maana toka kwa kada wa Chadema. Itawasaidia pia wana ccm kuokoa bill ya maji japo huenda hawalipi bill za maji.

Chawa Tlaatlaah na Etwege wa Ikungi, Singida ambaye pia ni shabiki mkubwa wa Tundu Lissu wamepata darasa toka kwa mwanachadema.
elimu kubwa zaid iko hapa gentleman na sio vinginevyo 🐒
 

Attachments

  • ‎@6’2_Jay‎20241019‎_Phoenix.mp4
    1.8 MB
Kuna miamba huwa inadhani hizi button ni kubonyeza tu. Sasa kaa hapa nikupige shule kidogo.

Hivi vyoo vinaitwa Dual flushing buttons au dual-flush toilets kwa lugha janja ya kimombo.

Ni vyoo vya kisasa vilivyokuwa modified ili kupunguza matumizi ya maji.

Lengo kuu la vyoo vya dual-flush ni kupunguza matumizi ya maji.

Kwa kutoa machaguo mawili ya kusukuma maji, mtumiaji anaweza kuchagua kiasi kinachofaa cha maji kulingana na aina ya taka.

Button kubwa hutoa takriban lita 6-9 za maji kwa taka ngumu—hii ndio ya sh¡t sasa kama ukienda kupuu.

Button ndogo inatoa lita 3-4.5 kwa taka ya majimaji— ya kojo.

Kwa kutumia button inayofaa unaweza kuokoa hadi lita 20,000 za maji kila mwaka.

Kupunguza matumizi ya maji kunaweza kukupunguzia gharama za bili za maji.

Wale mnaopenda kubonyeza zote mbili mkome mara moja 😀.
Bila shaka umepata kitu.

Credit: Twaha Mwaipaya FBView attachment 3133544
Asante studio 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom