Elimu bure ambayo haimpi mtu Maarifa ina umuhimu gani?

Elimu bure ambayo haimpi mtu Maarifa ina umuhimu gani?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Serikali kuhusu Elimu bure waliamua kufanya siasa tupu , Watu wanamaliza hawajui hata kusoma vizuri na Kuandika

Juzi nimechart na wanawake kumi wapo chuo kikuu, nimechart nao lugha ya kingereza wote wamelalamika kuwa nawaumiza hawajui kingereza so wameomba nitumie Kiswahili au nitumie kihaya niseme hizi Elimu bure ni siasa tupu , unapewa Elimu bure ambayo haina faida katika career yako.


Pia nimewagusia kufungua Biashara ya upambaji bado hawaelewi wanadai upambaji sio Kazi yaani inasikitisha Sana, Lengo lao niwagusie mizagamuo tu and not about career.
 
Wakulaumiwa ni

Serikali

Wanasiasa

Wazazi

Wanafunzi
 
Wenye mamlaka wanajifanya kutoa elimu bure kwa watoto wa maskini, halafu wakati huo huo watoto wao wanawakimbizia kwenye mashule ya kulipia! Tena yale ya mamilioni ya shilingi!!

Kwa hali hii kama una akili timamu, lazima uchukue tahadhari.
 
Kwa siku MOJA ume-'chart' na wanawake 10, tena wote wasomi wa vyuo vikuu.!!

Kuchart ndo nini ewe msomi mjivuni?
 
Serikali kuhusu Elimu bure waliamua kufanya siasa tupu , Watu wanamaliza hawajui hata kusoma vizuri na Kuandika

Juzi nimechart na wanawake kumi wapo chuo kikuu, nimechart nao lugha ya kingereza wote wamelalamika kuwa nawaumiza hawajui kingereza so wameomba nitumie Kiswahili au nitumie kihaya niseme hizi Elimu bure ni siasa tupu , unapewa Elimu bure ambayo haina faida katika career yako.


Pia nimewagusia kufungua Biashara ya upambaji bado hawaelewi wanadai upambaji sio Kazi yaani inasikitisha Sana, Lengo lao niwagusie mizagamuo tu and not about career.
Matumizi ya lugha ni changamoto sio wakati huu wa elimu Bure tu Bali tangu kitambo, ila kuongezeka kwa wahitimu wenye vyeti vizuri ila uwezo duni ni janga kwa taifa
 
Back
Top Bottom