JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Nimepita huku kijiweni Baba mmoja hapa Dar anadai kutozwa Elfu4 kwa wiki kwa ajili ya chakula, 500 kwa ajili ya maji, 500 kwa ajili ya mlinzi, na alilipa 1,000 kwa ajili ya kitasa cha mlango (Kiliharibika wakatakiwa kuchangia). JUMLA 6,000.
Baba huyu anadai anakaa na watoto 3 na kila mtoto analipia 5,000 kwa wiki (4,000 chakula, 500 Maji, 500 Mlinzi).
Hivyo kufanya malipo kuwa 150,000 kwa kila mtoto kwa mwaka (wiki 30 za masomo mara 5,000). Ukizidisha kwa watoto watatu atalipa jumla ya 450,000. Je, elimu Bure bado ipo, Amehoji Huyu Baba?
Nilimuuliza wote ni watoto wake? Akasema mmoja wa kwakwe wengine ni wa ndugu zake.
Baba huyu anadai anakaa na watoto 3 na kila mtoto analipia 5,000 kwa wiki (4,000 chakula, 500 Maji, 500 Mlinzi).
Hivyo kufanya malipo kuwa 150,000 kwa kila mtoto kwa mwaka (wiki 30 za masomo mara 5,000). Ukizidisha kwa watoto watatu atalipa jumla ya 450,000. Je, elimu Bure bado ipo, Amehoji Huyu Baba?
Nilimuuliza wote ni watoto wake? Akasema mmoja wa kwakwe wengine ni wa ndugu zake.