ELIMU: Gari yenye Cc 650 kutumia mafuta kuliko gari yenye Cc 1300

ELIMU: Gari yenye Cc 650 kutumia mafuta kuliko gari yenye Cc 1300

Mafundi mmekutana! Ila hata mimi nakukubalia hizo point zako, umeme unaozalishwa hauna uhusiano na ulaji wa mafuta zaidi ya kutumika sehemu nyingine.
Mimi nadhani mafuta yanatumika sana kama gari ina mzigo..unaeza kuta kirikuu ya cc650 ikala mafuta kuliko passo ya cc950 kwa sababu kirikuu inabebeshwa mzigo mkubwa au hata body yake ikawa nzito.
Vitu vingine ni balance ya mafuta na hewa. Hakuna kingine, labda iwe inatumia vyote umeme na petrol consecutively! Mleta mada kaja kufanya promo ya kuagiza magari au kutapeli watu akijifanya anaagizia watu magari.....mwizi mkubwa!
Na ww nkumalize hakuna passo ya cc950
 
Mimi Nilikuwa nafanya kazi mahali kama Dereva Binafsi, Boss wangu alikuwa na Gari mbili Moja ni LAND CRUISE VXR 2016 Na LANDCRUISE TX 2015 Model,
Tx ya Mwaka 2015, petrol Ni balaa haitumii ufunguo inawaka kwa Batani tu hata Hivyo nilishangaa sana licha ya kuwa na engine kubwa inatumia mafuta kidogo sana.
KAWE BEACH- BAGAMOYO ni Mafuta ya 30,000 kwenda na kurudi na yanabaki mengine ya Kwenda Sinza- na kurudi kawe, Licha ya Mafuta kuwa 2350 per litre.
2. KIBITI PWANI - KAWE mafuta nilitumia ya 50,000 kwenda na kurudi na njiani speed kama nakimbiza Amburance..
Kwahiyo naamini kabisa kwamba Kuna gari licha ya kuwa na Engine kubwa lakini umeme unazalishwa Na kutumika mwingi zaidi ya Mafuta.
 
Hivi mtu unauliza kama gari inakula mafuta sasa wew ulitaka ile maji wakati yenyewe inatumia mafuta
Hakuna gari inayokula mafuta Bali matumizi yako ya gari ndio kipimo sahihi cha ulaji wa mafuta
Mm na kaa mbezi ya kimala
Na wew unakaa mbezi ya kimala
Wew unatumia Haria mm natumia Suzuki Escudo
Weka lita 10 na mm niweke 10 twende poster nakirudi halafu uone hayomafuta Kama yanatofauti


Unakuta mtu Anazunguka tu mjini bila sababu mara huku Mara kule
Halafu baadae utasikia Sarah gari inakula mafuta
Kwa nini isile nawakati wew unazunguka tu
 
Hivi mtu unauliza kama gari inakula mafuta sasa wew ulitaka ile maji wakati yenyewe inatumia mafuta
Hakuna gari inayokula mafuta Bali matumizi yako ya gari ndio kipimo sahihi cha ulaji wa mafuta
Mm na kaa mbezi ya kimala
Na wew unakaa mbezi ya kimala
Wew unatumia Haria mm natumia Suzuki Escudo
Weka lita 10 na mm niweke 10 twende poster nakirudi halafu uone hayomafuta Kama yanatofauti


Unakuta mtu Anazunguka tu mjini bila sababu mara huku Mara kule
Halafu baadae utasikia Sarah gari inakula mafuta
Kwa nini isile nawakati wew unazunguka tu
...anazunguka tu mjini bila sababu.....!
 
Wewe ndio mpotoshaji mkuu. Hizo kilowatt au bhp ni kipimo cha nguvu ya gari. Haina uhusiano wowote na umeme. Wapotoshaji wengi ndio huwa wanasema eti gari hii au ile umeme umeme mwingi mafuta kidogo.

Gari zote hapo ulizotaja hamna hata moja inayotumia umeme kupata nguvu ya kutembea hizo zinatumia petrol. Umeme unatumika kuendesha mifumo mingine wala sio kusukuma engine.

Gari za umeme ni hybrids ambazo zinahio engine ya petrol na electric motor ambayo inaendesha gari ikiwa mwendo mdogo, ikiwa mwendo mkubwa petrol engine inatake over. Au kuna gari ambazo ni electric kabisa ambazo huwa zinachajiwa betri zake ambapo utaendesha mpaka betri ikikaribia kwisha unachaji tena.

Cc za gari sio sababu pekee ya gari moja kutumia mafuta kuliko ingine ila ulichosema na wewe umepotosha.
Huenda alichanganya fuel injection vs carburetor ndio kamaanisha inatumia umeme...

Ila sidhani kama from the 90s kuna gari za carburetor

Bado iko tatizo kwenye haya maelezo
 
kwa mfano bmw mini cooper.kina cc chache halafu dashbord inasoma 240km.

hapa lazima kuna umwagaji wa tui.
 
Wewe ndio mpotoshaji mkuu. Hizo kilowatt au bhp ni kipimo cha nguvu ya gari. Haina uhusiano wowote na umeme. Wapotoshaji wengi ndio huwa wanasema eti gari hii au ile umeme umeme mwingi mafuta kidogo.

Gari zote hapo ulizotaja hamna hata moja inayotumia umeme kupata nguvu ya kutembea hizo zinatumia petrol. Umeme unatumika kuendesha mifumo mingine wala sio kusukuma engine.

Gari za umeme ni hybrids ambazo zinahio engine ya petrol na electric motor ambayo inaendesha gari ikiwa mwendo mdogo, ikiwa mwendo mkubwa petrol engine inatake over. Au kuna gari ambazo ni electric kabisa ambazo huwa zinachajiwa betri zake ambapo utaendesha mpaka betri ikikaribia kwisha unachaji tena.

Cc za gari sio sababu pekee ya gari moja kutumia mafuta kuliko ingine ila ulichosema na wewe umepotosha.
Mkuu acha kubisha unajua mfumo wa vvti kwa Toyota unavyofanya kazi? Kama ungejua wala usingebisha
 
Sababu ya kwanza ya gari kama Pajero Mini na Terious Kid kutumia mafuta mengi zaidi ukilinganisha na gari nyingine nilizotaja haswa kutoka Toyota ni teknolojia. Teknolojia ya mfumo wa mafuta iliyotuika kwenye Mini au Terious Kidi ni ya kizamani ambayo gari hutumia mafuta zaidi katika kujiendesha, wakati hizi gari nyingine hutumia nguvu ya umeme zaidi katika uendeshaji wa gari. Mfano, Toyota Tercel ya mwaka 1996 yenye Cc 1330 huweza kuzalisha kilowati 66 ambayo huweza kuzungusha injini kwa mzunguko wa 5500 rpm, hivyo utaona kua tercel imetumia umeme mwingi zaidi katika kutengeneza mzunguko wa injini wakati Mini au Terious Kid ambazo nyingi zina mfumo wa zamani wa mafuta ujulikanao kama caburator huzalisha 37 kilowati ambayo huzungusha injini kwa mzunguko wa 7500 rpm.
Aisee, mzee umevunja vunja sana hapo.

Ni hivi, iIi injini ya gari ifanye kazi vizuri (efficient) inatakiwa kuwa na uwiano mzuri kati ya mwendo na mzunguko wa injini (revolution per minute - rpm). Kwa kiasi kikubwa uwiano huu hufanywa na transmission (gearbox).

Hata hivyo tukiweka kila kitu sawa, kama unasafiri kwa mwendo mkubwa au unapanda mlima, injini ndogo itatumia mafuta mengi kuliko injini kubwa kwa kuwa injini ndogo itabidi izunguke sana (high rpm) ili kutengeneze msukumo sahihi (torque) kuiwezesha gari kwenda mwendo huo.
 
Mkuu acha kubisha unajua mfumo wa vvti kwa Toyota unavyofanya kazi? Kama ungejua wala usingebisha
Ni wazi wewe ni wale wale nafikiri hilo neno vvti ndio linakuzuzua. Btw sibishani na mtu yeyote. Haya nipe elimu ya vvti.
 
Back
Top Bottom