ELIMU: Gari yenye Cc 650 kutumia mafuta kuliko gari yenye Cc 1300

ELIMU: Gari yenye Cc 650 kutumia mafuta kuliko gari yenye Cc 1300

Wewe ndio mpotoshaji mkuu. Hizo kilowatt au bhp ni kipimo cha nguvu ya gari. Haina uhusiano wowote na umeme. Wapotoshaji wengi ndio huwa wanasema eti gari hii au ile umeme umeme mwingi mafuta kidogo.

Gari zote hapo ulizotaja hamna hata moja inayotumia umeme kupata nguvu ya kutembea hizo zinatumia petrol. Umeme unatumika kuendesha mifumo mingine wala sio kusukuma engine.

Gari za umeme ni hybrids ambazo zinahio engine ya petrol na electric motor ambayo inaendesha gari ikiwa mwendo mdogo, ikiwa mwendo mkubwa petrol engine inatake over. Au kuna gari ambazo ni electric kabisa ambazo huwa zinachajiwa betri zake ambapo utaendesha mpaka betri ikikaribia kwisha unachaji tena.

Cc za gari sio sababu pekee ya gari moja kutumia mafuta kuliko ingine ila ulichosema na wewe umepotosha.
Mkuu uko sahihi, mleta maada anajaribu kupotosha watu makusudi au hajui anachoongea.
 
kwa mfano bmw mini cooper.kina cc chache halafu dashbord inasoma 240km.

hapa lazima kuna umwagaji wa tui.
Gari inaendeshwa na msukumo wa pistons ambazo zinasukumwa na mlipuko kati ya oxygen na mafuta. Ili iwe na nguvu inabidi msukumo huu uwe mkubwa. Je msukumo(mlipuko) huu unakuwaje mkubwa?
1. kuwa na cc nyingi :mfano kila carina ya 1.8 itakuwa na nguvu kuliko carina ya 1.6
2.kuongeza mafuta na oxygen kwenye combustion chamber. hii hufanywa kwa kuweka turbo charger au super charger. maanake ni kuwa gari ya cc2000 yenye turbo inakuwa na nguvu kuliko gari ya cc2000 isiyo na turbo. Na usishangae gari ya cc2000 yenye turbo inakuwa na nguvu kuliko gari ya cc2500 isiyo na turbo
 
Mimi Nilikuwa nafanya kazi mahali kama Dereva Binafsi, Boss wangu alikuwa na Gari mbili Moja ni LAND CRUISE VXR 2016 Na LANDCRUISE TX 2015 Model,
Tx ya Mwaka 2015, petrol Ni balaa haitumii ufunguo inawaka kwa Batani tu hata Hivyo nilishangaa sana licha ya kuwa na engine kubwa inatumia mafuta kidogo sana.
KAWE BEACH- BAGAMOYO ni Mafuta ya 30,000 kwenda na kurudi na yanabaki mengine ya Kwenda Sinza- na kurudi kawe, Licha ya Mafuta kuwa 2350 per litre.
2. KIBITI PWANI - KAWE mafuta nilitumia ya 50,000 kwenda na kurudi na njiani speed kama nakimbiza Amburance..
Kwahiyo naamini kabisa kwamba Kuna gari licha ya kuwa na Engine kubwa lakini umeme unazalishwa Na kutumika mwingi zaidi ya Mafuta.
Huwa nasikitika sana nikiona mtu ni dereva by profession halafu hana clue ya vitu vidogo. Huo umeme unazalishwa na nini? Kuna generator humo au ? Gari za sasa hivi zina effiency nzuri kwenye mafuta kutokana na kukuwa kwa teknolojia. Gari inaweza kuwa cc4500 hybrid maanake ina electric motor inayotumika wakati gari iko kwenye mwendo mdogo kwahio mafuta hayaendi kabisa.
 
Mimi Nilikuwa nafanya kazi mahali kama Dereva Binafsi, Boss wangu alikuwa na Gari mbili Moja ni LAND CRUISE VXR 2016 Na LANDCRUISE TX 2015 Model,
Tx ya Mwaka 2015, petrol Ni balaa haitumii ufunguo inawaka kwa Batani tu hata Hivyo nilishangaa sana licha ya kuwa na engine kubwa inatumia mafuta kidogo sana.
KAWE BEACH- BAGAMOYO ni Mafuta ya 30,000 kwenda na kurudi na yanabaki mengine ya Kwenda Sinza- na kurudi kawe, Licha ya Mafuta kuwa 2350 per litre.
2. KIBITI PWANI - KAWE mafuta nilitumia ya 50,000 kwenda na kurudi na njiani speed kama nakimbiza Amburance..
Kwahiyo naamini kabisa kwamba Kuna gari licha ya kuwa na Engine kubwa lakini umeme unazalishwa Na kutumika mwingi zaidi ya Mafuta.
Kweli
 
Alichikiongea jamaa ni sahihi ila amefanya misconception katika kupresent.

Miaka ya nyuma mifumo ya fuel injection ilikuwa ni full mechanical ambapo kwa sehemu kubwa walikuwa wanatumia Carburator. Kiasi kikubwa cha mafuta kilikuwa kinapotelea kwenye carburator hivyo hata kama gari ina Engine capacity ndogo lazima ionekane inakula mafuta.

Recently umekuja mfumo wa Electronic fuel Injection (EFI). Huu ni mfumo ambao ni computerized yaani unauwa na sensors, actuators na ECU. Ni mfumo wa injection ambao una efficiency kubwa sababu mafuta na hewa vitaingia kwenye engine katika amount ambayo inahitajika tu.

Kwa maelezo hayo siyo kitu cha ajabu kukuta gari ya cc 1000 ambayo ni inatumia carburator inakula mafuta zaidi au sawa na gari ya 1400cc ambayo inatumia EFI.

Nadhani nimeeleweka.
Wewe ndio mpotoshaji mkuu. Hizo kilowatt au bhp ni kipimo cha nguvu ya gari. Haina uhusiano wowote na umeme. Wapotoshaji wengi ndio huwa wanasema eti gari hii au ile umeme umeme mwingi mafuta kidogo.

Gari zote hapo ulizotaja hamna hata moja inayotumia umeme kupata nguvu ya kutembea hizo zinatumia petrol. Umeme unatumika kuendesha mifumo mingine wala sio kusukuma engine.

Gari za umeme ni hybrids ambazo zinahio engine ya petrol na electric motor ambayo inaendesha gari ikiwa mwendo mdogo, ikiwa mwendo mkubwa petrol engine inatake over. Au kuna gari ambazo ni electric kabisa ambazo huwa zinachajiwa betri zake ambapo utaendesha mpaka betri ikikaribia kwisha unachaji tena.

Cc za gari sio sababu pekee ya gari moja kutumia mafuta kuliko ingine ila ulichosema na wewe umepotosha.
 
Alichikiongea jamaa ni sahihi ila amefanya misconception katika kupresent.

Miaka ya nyuma mifumo ya fuel injection ilikuwa ni full mechanical ambapo kwa sehemu kubwa walikuwa wanatumia Carburator. Kiasi kikubwa cha mafuta kilikuwa kinapotelea kwenye carburator hivyo hata kama gari ina Engine capacity ndogo lazima ionekane inakula mafuta.

Recently umekuja mfumo wa Electronic fuel Injection (EFI). Huu ni mfumo ambao ni computerized yaani unauwa na sensors, actuators na ECU. Ni mfumo wa injection ambao una efficiency kubwa sababu mafuta na hewa vitaingia kwenye engine katika amount ambayo inahitajika tu.

Kwa maelezo hayo siyo kitu cha ajabu kukuta gari ya cc 1000 ambayo ni inatumia carburator inakula mafuta zaidi au sawa na gari ya 1400cc ambayo inatumia EFI.

Nadhani nimeeleweka.
Uko sahihi. Lakini kwa sasa hivi na gari alizotaja hamna ambayo sio EFI.
 
Mimi Nilikuwa nafanya kazi mahali kama Dereva Binafsi, Boss wangu alikuwa na Gari mbili Moja ni LAND CRUISE VXR 2016 Na LANDCRUISE TX 2015 Model,
Tx ya Mwaka 2015, petrol Ni balaa haitumii ufunguo inawaka kwa Batani tu hata Hivyo nilishangaa sana licha ya kuwa na engine kubwa inatumia mafuta kidogo sana.
KAWE BEACH- BAGAMOYO ni Mafuta ya 30,000 kwenda na kurudi na yanabaki mengine ya Kwenda Sinza- na kurudi kawe, Licha ya Mafuta kuwa 2350 per litre.
2. KIBITI PWANI - KAWE mafuta nilitumia ya 50,000 kwenda na kurudi na njiani speed kama nakimbiza Amburance..
Kwahiyo naamini kabisa kwamba Kuna gari licha ya kuwa na Engine kubwa lakini umeme unazalishwa Na kutumika mwingi zaidi ya Mafuta.
Wewe nawe unachanganya watu. Kama gari siyo hybrid basi nguvu ya kuendesha gari inatoka kwenye Engine.

Ila gari ambalo mifumo yake ni mechanical linakula mafuta zaidi ukicompare na gari ambalo mifumo yake ni electronic. Assume hizo gari zote mbili zinafana vitu vyote except mifumo ya kuinject mafuta
 
Mimi Nilikuwa nafanya kazi mahali kama Dereva Binafsi, Boss wangu alikuwa na Gari mbili Moja ni LAND CRUISE VXR 2016 Na LANDCRUISE TX 2015 Model,
Tx ya Mwaka 2015, petrol Ni balaa haitumii ufunguo inawaka kwa Batani tu hata Hivyo nilishangaa sana licha ya kuwa na engine kubwa inatumia mafuta kidogo sana.
KAWE BEACH- BAGAMOYO ni Mafuta ya 30,000 kwenda na kurudi na yanabaki mengine ya Kwenda Sinza- na kurudi kawe, Licha ya Mafuta kuwa 2350 per litre.
2. KIBITI PWANI - KAWE mafuta nilitumia ya 50,000 kwenda na kurudi na njiani speed kama nakimbiza Amburance..
Kwahiyo naamini kabisa kwamba Kuna gari licha ya kuwa na Engine kubwa lakini umeme unazalishwa Na kutumika mwingi zaidi ya Mafuta.
Nakuunga mkono,ziko gari cc kubwa ila consumption ndogo,ila pia kuna factors nyingi zinachangia ulaji wa mafuta mfano mzigo,matairi e.g upana,upepo mdogo n.k,ukanyagaji wa mafuta,ukubwa wa gari,service,land terrain,upepo,matumizi ya AC,gear unayotembelea n.k...
 
Ukiacha izo gari ulizoweka hapo zipo nyingine zenye cc650 zinazotumia mafuta kidogo?????
ZIPO NYINGI SANA MKUU

Daihatsu Mira
1565431166064.png


Suzuki Alto
1565431225159.png


Subaru R2
1565431273010.png


Daihatsu Move
1565431346239.png


Mitsubishi eK Wagon
1565431400638.png


Nissan Otti
1565431448446.png


Suzuki Lapin
1565431487979.png
 
ndio boss. passo na raum haswa raum ni nzuri kwa mafuta na inatunza thamni ya pesa yako na pia unaweza kwendea safari ndefu ya kati
 
Ningependa kufahamu gari zenye cc 1000 mpaka 1450 ambazo si ghali, utumiaje wake wa mafuta ni nafuu pia spea zake upatikanaji wake uwe nafuu pia resell value yake isiyoisha kirahisi

Pia kirikuu zenye cc 650 je ulaji wake wa mafuta na teknolojia yake ikoje
Samahani kwa kuchelewa kujibu boss.

Gari hizo ni kama vile Toyota Passo, Vitz, Porte, Ractis, Nissan Note, Toyota Bb, Fun Cargo, Sienta, Platz, Raum na Mitsubish zenye Cc chini ya 1400 zenye injini ya GDi.
 
Mimi naomba sifa za Suzuki carry tofauti
Bei
Ubora
Mafuta
Suzuki Carry kwa kuagiza inafika kwa 8m, ni gari ndogo kwa ajili ya shughuli ndogo ndogo za ubebaji mizigo, haihitaji mzigo mzito kwa kua pia chasis yake ni rahisi kukatika na haihitaji njia mbovu sana kwa kua inawahi kuchoka na hata kuua turbo kwa zile zenye turbo na pia huweza kuharibu gia box na 4while yake mapema iwapo inatumika sana njia mbovu.

Hii ni kwa mizigo ya mjini mjini, ukizingatia service inakaa japo haina maisha marefu sana kama ilivyo kwa toyota hilux, kwa mafuta sio mbaya maana lita moja huenda wastani wa km 18 mpaka 21.
 
Acha kututia moyo, gari unanunua milioni 3 lakini hadi unaitoa port ni 14m, si mambo ya ajabu haya?
Kwa kweli ushuru uko juu. Muhim sana kabla hujaamua kuagiza gari flani uhakikishe umeipigia hesabu vizuri ili isije kukusumbua kwenye ushuru. Faham ushuru kabla ya kuagiza
 
Mimi Nilikuwa nafanya kazi mahali kama Dereva Binafsi, Boss wangu alikuwa na Gari mbili Moja ni LAND CRUISE VXR 2016 Na LANDCRUISE TX 2015 Model,
Tx ya Mwaka 2015, petrol Ni balaa haitumii ufunguo inawaka kwa Batani tu hata Hivyo nilishangaa sana licha ya kuwa na engine kubwa inatumia mafuta kidogo sana.
KAWE BEACH- BAGAMOYO ni Mafuta ya 30,000 kwenda na kurudi na yanabaki mengine ya Kwenda Sinza- na kurudi kawe, Licha ya Mafuta kuwa 2350 per litre.
2. KIBITI PWANI - KAWE mafuta nilitumia ya 50,000 kwenda na kurudi na njiani speed kama nakimbiza Amburance..
Kwahiyo naamini kabisa kwamba Kuna gari licha ya kuwa na Engine kubwa lakini umeme unazalishwa Na kutumika mwingi zaidi ya Mafuta.
Shukrani kwa mfano huo hai kabisa. Technolojia imebadirika na kwa gari za hybrid mafuta ni kidogo zaidi.
 
Aisee, mzee umevunja vunja sana hapo.

Ni hivi, iIi injini ya gari ifanye kazi vizuri (efficient) inatakiwa kuwa na uwiano mzuri kati ya mwendo na mzunguko wa injini (revolution per second - rpm). Kwa kiasi kikubwa uwiano huu hufanywa na transmission (gearbox).

Hata hivyo tukiweka kila kitu sawa, kama unasafiri kwa mwendo mkubwa au unapanda mlima, injini ndogo itatumia mafuta mengi kuliko injini kubwa kwa kuwa injini ndogo itabidi izunguke sana (high rpm) ili kutengeneze msukumo sahihi (torque) kuiwezesha gari kwenda mwendo huo.
Shukrani boss
 
Back
Top Bottom