Elimu hii muhimu sana hukufundishwa shuleni, ipate hapa

Elimu hii muhimu sana hukufundishwa shuleni, ipate hapa

IQ kubwa ya kuelewa mambo magumu magumu na mepesi mepesi
Kua TO maana yake aliweza kupata A kwenye masomo zaidi ya SABA O-LEVEL

Akaenda kusoma PCB na huko akakinukisha balaa

Chuo kikuu aka opt akaenda UDSM hapo Business school wakati angeweza kwenda kusoma medicine

Ni mtu ambae angepata kazi kirahisi Ila aliamua kuwekeza kwenye kujiajir na kuajir wengine

Kwa kuhitimisha jamaa anajua Mambo ya FINANCE Sana in practical way
Nakubali Makirita ni level nyingine ila wasifu wako umekosea mahala, jamaa kasoma Medicine.

Vilevile nilimuona BoT kati ya wale Certified Financial educators.

Mimi profession yangu ni money management, lakini nisingekua na hii elimu basi ningejifunza kwa huyu jamaa, kiukweli yupo bright na anajua anachoongea

Humu Jf kumeshakua tu kichaka cha jobless, ndo maana hata mimi kila muda utakuta naongelea ujinga tu ili kurefresh, ukileta mada kama hizi watakaokuwa serious wala hawatocomment bali watachukua namba au wakufuate PM,

JF ya miaka ile ilikua moto sana, watu walikua na akili, japo wengine wakaishia kujazwa kule Jangid plaza na yule Sir Jeff na toka hio event jf haijawa the same
 
Nakubali Makirita ni level nyingine ila wasifu wako umekosea mahala, jamaa kasoma Medicine.

Vilevile nilimuona BoT kati ya wale Certified Financial educators.

Mimi profession yangu ni money management, lakini nisingekua na hii elimu basi ningejifunza kwa huyu jamaa, kiukweli yupo bright na anajua anachoongea

Humu Jf kumeshakua tu kichaka cha jobless, ndo maana hata mimi kila muda utakuta naongelea ujinga tu ili kurefresh, ukileta mada kama hizi watakaokuwa serious wala hawatocomment bali watachukua namba au wakufuate PM,

JF ya miaka ile ilikua moto sana, watu walikua na akili, japo wengine wakaishia kujazwa kule Jangid plaza na yule Sir Jeff na toka hio event jf haijawa the same
Nakubaliana na wewe nakubali kusahihishwa pia 🙏

Uandishi mzur keep it up mkuu
 
Back
Top Bottom