Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Niko good,. Mungu ni mwemaBarikiwa,waendeleaje lakini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko good,. Mungu ni mwemaBarikiwa,waendeleaje lakini?
Hakuna anayekuwa attacked, kama ambavyo wewe umesimama upande wa mleta mada, wengine wanasimama kinyume chake.Sawa,. Ila kama mleta mada ametarajia yote kwanini mfeel attacked na comment ya mtu??
Ntumie hela nikapate elimu tajiri......
Alisoma medicine MUHASChuo kikuu aka opt akaenda UDSM hapo Business school wakati angeweza kwenda kusoma medicine
kwani hujui kuwa elimu bora ni hile unaenda kununua ???Wewe una shillingi ngapi Benki mpaka uje utufundishe sisi?. Bila kuweka bank statement tuone salio lako wewe mtoa mada/ muendesha semina itakuwa ni sawa na comedy tu.
Kama unazo fedha kweli kutokana na uelewa wako basi fanya semina isiwe na kiingilio! Iwe BURE
Nlikua nafua.....😹Hupokei simu...
-Kaveli-
fact mkuu ,though kias anachotaka kinalenga kwamb yupo kibiashara zaidi so ni kuwadidimiza kabisa waliokuwa na lengo la kukuza mtajiVita vya panga,haviingiliwi na fimbo. Ilata mda elimu ya fedha umeongea point sana nikupe pongezi.
Ila umekuja kualibu kitu kimoja tu ambacho wananchi wenye hasira Kali hawataki. Kiwango Cha pesa ulichosema kwenye semina yako ni kikubwa sana na si Kila mmoja wetu anaweza kuwa nayo.
Unapolenga kitu jaribu kuweka na madaraja ya kiingilio kwa watu wenye uwezo mkubwa ki fedha na sisi wa Hali ya chini ili wote tufaidike na elimu yako. Asante
Naomba unilipie dada. Hiyo hela tuma kwenye mamba hii...Asante kwa taarifa kiongozi,. Uzuri ni kwamba Watakaokuja hawana mda wa kuandika upuuzi hapa,.
So hizi toxic comments wala zisikukatishe tamaa,.
Haya anayetaka nimlipie aseme asaidiwe ili mpunguze makasiriko
Uzuri mimi naishi karibu na Mbezi Garden na nazijua conference rooms zote, kama atapata hao watu nitajuwa. Na nitarudi kwenye comment yako ili tuone kwelie kama mawazo yetu ni TOXICAsante kwa taarifa kiongozi,. Uzuri ni kwamba Watakaokuja hawana mda wa kuandika upuuzi hapa,.
So hizi toxic comments wala zisikukatishe tamaa,.
Haya anayetaka nimlipie aseme asaidiwe ili mpunguze makasiriko
Athibitishe basi kama yeye amefuzu kwa kutuwekea Bank statements hapa!! Mwamposa atupige, Kiboko ya wachawi atupige, na huyu naye anataka kutupiga.kwani hujui kuwa elimu bora ni hile unaenda kununua ???
hakuna kitu cha bure bro unanunua maarifa,unachakata maarifa,then idea inakuja unaanza kuuza maarifa uliyo nunua
nadhania sisi waafrica ni watu wa negativity sana
Sista hata bure hawatoenda hao mpaka waambiwe SUPU NA CHAPATI BUREAkitangaza bure tutajaa hadi kuvunja milango 😹