Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Motivation speakers wa Afrika hasa Tanzania ni waganga njaa, Pangu pakavu tia mchuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IQ kubwa ya kuelewa mambo magumu magumu na mepesi mepesiMkuu,
kuwa TO inahusiana nini na maswala ya fedha??
Mm naomba unilipie ila hy pesa ipitie kwangu kwanzaAsante kwa taarifa kiongozi,. Uzuri ni kwamba Watakaokuja hawana mda wa kuandika upuuzi hapa,.
So hizi toxic comments wala zisikukatishe tamaa,.
Haya anayetaka nimlipie aseme asaidiwe ili mpunguze makasiriko
Wewe umeona watu walikua wanahoji au walikua wanamdhihaki,. Sometimes read between the linesKwa hiyo watu wasihoji, weak people hawataki kuwa criticised.
Hizi ni porojo za kupiga watu tu wala hamna kingine.
Chuo kikuu aka opt akaenda UDSM hapo Business school wakati angeweza kwenda kusoma medicine....
Naona hamko serious na hela nyinyi😂Mm naomba unilipie ili hy pesa ipitie kwangu kwanza
Nimesha tolea ufafanuzi comment no #63Vinahusianaje sasa.
Nimemwacha tu mkuu,. Maana anataka kutafuta attention kupitia mimi badala adeal na madaHahah huu mpambano umeisha
C umesema unatulipia mkuuNaona hamko serious na hela nyinyi😂
Badala mtaje namba mnaanza kubwabwaja,. Wabongo buanaC umesema unatulipia mkuu
Nimekuelewa mkuu ✌️Hakuna sehemu yeyote niliyomsema vibaya mleta mada,hata hiyo comment yangu uliyoiquote,wala haihusiani na ushauri unaoutoa.
Elimu ya pesa, elimu muhimu kabisa ambayo ni wachache mnoo wamebahatika kuipata.....na ukiipata unafanikiwa.
Wanajf najua nyie matajiri naombeni mnichangie niende 😔😔😔
Natanguliza shukrani
Angekuwa na hizo akili nyingi basi angeona ni bora zaidi kutoa hiyo elimu ya kifedha bure. Angekuwa mwanaharakati. Angeanzisha kampeni labda kuipeleka hiyo elimu mashuleni na vyuoni...IQ kubwa ya kuelewa mambo magumu magumu na mepesi mepesi
Kua TO maana yake aliweza kupata A kwenye masomo zaidi ya SABA O-LEVEL
Akaenda kusoma PCB na huko akakinukisha balaa
Chuo kikuu aka opt akaenda UDSM hapo Business school wakati angeweza kwenda kusoma medicine
Ni mtu ambae angepata kazi kirahisi Ila aliamua kuwekeza kwenye kujiajir na kuajir wengine
Kwa kuhitimisha jamaa anajua Mambo ya FINANCE Sana in practical way
Ndio uhusiano uliopo kati ya kuwa TO na fedha siyo?IQ kubwa ya kuelewa mambo magumu magumu na mepesi mepesi
Kua TO maana yake aliweza kupata A kwenye masomo zaidi ya SABA O-LEVEL
Akaenda kusoma PCB na huko akakinukisha balaa
Chuo kikuu aka opt akaenda UDSM hapo Business school wakati angeweza kwenda kusoma medicine
Ni mtu ambae angepata kazi kirahisi Ila aliamua kuwekeza kwenye kujiajir na kuajir wengine
Kwa kuhitimisha jamaa anajua Mambo ya FINANCE Sana in practical way
😳JamaniWewe una shillingi ngapi Benki mpaka uje utufundishe sisi?. Bila kuweka bank statement tuone salio lako wewe mtoa mada/ muendesha semina itakuwa ni sawa na comedy tu.
Kama unazo fedha kweli kutokana na uelewa wako basi fanya semina isiwe na kiingilio! Iwe BURE
Sawa nakutumia namba pmBadala mtaje namba mnaanza kubwabwaja,. Wabongo buana
Akikujibu unitag mzee wanguView attachment 3086483
Mbona mleta mada ni MD? Amewezaje kuwa MD bila kusoma Medicine?
Au na wewe unachawika tu bila kuwa na facts sawasawa?
Nyuma ya keyboard kila mtu ni mbabe hakuna mnyonge
Haha,. SawaSawa nakutumia namba pm