Elimu hii muhimu sana hukufundishwa shuleni, ipate hapa

Elimu hii muhimu sana hukufundishwa shuleni, ipate hapa

Nilikuaga nakuona una akili sana ila leo ndio nimeamini kua una inferiority complex kama wengine wanavyosema
Kipimo chako cha kumjua mwenye akili sana ni kipi?
Unaongelea akili za kwenye jambo gani? unaongelea akili zipi?

Sijawahi kumuomba mtu anione nina akili wala sihitaji hilo,kwahiyo mtu akiwa tofauti kimtazamo na wewe anakua hana akili?

Hiyo inferiority complex niliyo nayo ipo kwenye jambo gani?

gt the fvk away from me.
 
Kipimo chako cha kumjua mwenye akili sana ni kipi?
Unaongelea akili za kwenye jambo gani? unaongelea akili zipi?

Sijawahi kumuomba mtu anione nina akili wala sihitaji hilo,kwahiyo mtu akiwa tofauti kimtazamo na wewe anakua hana akili?

Hiyo inferiority complex niliyo nayo ipo kwenye jambo gani?

gt the fvk away from me.
Ona sasa😂😂😂😂

Hapa kweli kazi ipo,. Jaribu upate chai kwanza pengine ukirudi utaona ulikua unapoteza mda kuandika yote haya
Ni maoni yangu tu lakini
 
Ona sasa😂😂😂😂

Hapa kweli kazi ipo,. Jaribu upate chai kwanza pengine ukirudi utaona ulikua unapoteza mda kuandika yote haya
Ni maoni yangu tu lakini
Huna akili ya kujibu maswali yangu,umebaki kujichekesha chekesha tu,
Sio kila mwanaume hapa jf atakubabaikia kama hao wanaokuanzishia vi thd,na hili ndio tatizo lenu,ukiheshimiwa kidogo tu na watu wakakujali,unaanza dharau.
 
Huna akili ya kujibu maswali yangu,umebaki kujichekesha chekesha tu,
Sio kila mwanaume hapa jf atakubabaikia kama hao wanaokuanzishia vi thd,na hili ndio tatizo lenu,ukiheshimiwa kidogo tu na watu wakakujali,unaanza dharau.
Hii comment yako ndio imeeleza kila kitu sasa maana ulikua unazunguka sanaaa,.
How comes mwanaume unamuonea wivu mwanamke eti kisa anaanzishiwa threads na kuheshimiwa na watu?🤔🤔

Inafikirisha,. Au na wewe ndio walewale ulishaaga mashindano zamani isije nikawa najichosha kumweka sawa mpinzani wangu😄🫵🏾🫵🏾

Haya niambie kwanza wapi na nimemdharau nani,. Maana hii ligi uliyoianzisha naiweza vizuri sana ila tu usireport kwa mods nikala ban
 
Labda kweli,. Ila sidhani kama unauwezo huo wa kusimamia kucha hadi azaliwe mtu,.

Wewe sio mzima,. Comments zako zinaeleza kila kitu
Ni kawaida yenu kutokujiamini
Uzima wangu anaujua Mamako,muulize kwa upole,hawezi kukuficha,

Pia usichoke kuzunguka kwenye nyuzi zote za JF ili kujibu msg unazoziita za kipuuzi dhidi ya member wanaoleta mada.
 
Uzima wangu anaujua Mamako,muulize kwa upole,hawezi kukuficha,

Pia usichoke kuzunguka kwenye nyuzi zote za JF ili kujibu msg unazoziita za kipuuzi dhidi ya member wanaoleta mada.
Ona sasa😂😂,. Nikuache kwanza uandike nakuja kukujibu,. Andika tu yote usiache kitu
Me ninywe kwanza chai ,. Na wewe nakusihi ule kabisa ili tukija tuwe na nguvu za kuandika
 
Ona sasa😂😂,. Nikuache kwanza uandike nakuja kukujibu,. Andika tu yote usiache kitu
Me ninywe kwanza chai ,. Na wewe nakusihi ule kabisa ili tukija tuwe na nguvu za kuandika
Uje na familia yako yote,kama hawana simu wanunulie uwafungulie ID hapa JF ili wakusaidie coz nitakubadilishia dozi kila baada ya muda,peke yako dozi itakuzidia,

Usisahau kumuomba mleta mada posho coz unajitoa kweli kweli,au ndio upo mawindoni?
 
Vita vya panga,haviingiliwi na fimbo. Ilata mda elimu ya fedha umeongea point sana nikupe pongezi.

Ila umekuja kualibu kitu kimoja tu ambacho wananchi wenye hasira Kali hawataki. Kiwango Cha pesa ulichosema kwenye semina yako ni kikubwa sana na si Kila mmoja wetu anaweza kuwa nayo.

Unapolenga kitu jaribu kuweka na madaraja ya kiingilio kwa watu wenye uwezo mkubwa ki fedha na sisi wa Hali ya chini ili wote tufaidike na elimu yako. Asante
 
Back
Top Bottom