Elimu na pesa zikiwa kwa mwanamke, heshima haina nafasi

Ndo maana walitusomesha ili tusinyanyasike....mimi bibi yangu hana sikio moja mpaka sasa alimfuma babu na kimada akazira hakupika skan babu kurudi anakuta msosi tee eti bibi kajinunisha alilambwa panga la sikio
Mwanaume anatafuta sana hela ili akizipata atulie na mwanamke

wakati mwanamke anaamini akipata pesa ndio fursa ya kujiweka mbali na wanaume

Scars [emoji120]
 
Na maranyingi huwa ni akili, ndiyo maana walisema wanaume ishini na wake zenu kwa akili sasa wengi wanatumia nguvu na ubabe.
Pamoja na kupewa mwongozo na sir God waishi na sisi kwa akili, bado kuna wakulungwa wanaseme eti wanawake hawana akili, hawajawahi kugundua kitu....hihihiii nacheka kIsuKUMa
 
Halafu mke akikufanyia yote hayo ndiyo hutachepuka [emoji848][emoji848]
Kwanza mwanaume kutochepuka ni ufala. Mwanaume unakuwaje na mwanamke mmoja bwana wewe??!!

Ata wewe mwanaume hudumia mke wako ipasavyo lakini kamwe usijidanganye kuwa hata chepuka. Hamna mbususu yako peke yakodunia ya sasa. Wanawake wenyewe hawa tunaoa breki pum.bu🀣🀣🀣🀣🀣
 
Duuh huwa sikubaliani na mitazamo yako ila napenda the way uko rational na unakubaliana na ukweli kwamba mla vya watu na vyake huliwa. Siyo wenzio wanaotaka kula vya wenzao tu ila vya kwao hawataki viliwe.
 
Duuh huwa sikubaliani na mitazamo yako ila napenda the way uko rational na unakubaliana na ukweli kwamba mla vya watu na vyake huliwa. Siyo wenzio wanaotaka kula vya wenzao tu ila vya kwao hawataki viliwe.
Asante kwa kulitambua hilo.
Binadamu tunakuwa na matarajionya ajambu sana some times ndio tatizo
 
tatizo wanawake wenye elimu ndogo na kipato duni ukimpata/akikupata hakawii kukuroga na malimbwata na chuma ulete juu, we jaribu kudate na hawa wavaa madera uone kazi

utajuta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Carlos The Jackal
 
Kuna ka mwananke kako apa jiran angu cjui anauza chakul magomeni jmn Ana mdomo mbaya akianza kubwatuka utasikia ngoja nikatafute mayai ya kienyeji cjui nipate na chai ya maziwa au anasem nimechoka kukah nyumb za kupanga ila mwak mzima
 
Ni ukweli mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…