Iko hivi ke sisi ni wajanja sana, ndivo tulivo, naishi kwa kukusoma weye unachotaka ni nini! nikijua unataka heshima ni rahisi tu kukupa kwa muda ninao utaka mie!! fanya yooote ufanyayo ajili ya familia yako!
Lkn na ke atakuwa na Plan B'' yake kamwe me hutaijua! ke wa siku hizi hawabweteki make hukawiii kumuolea mke mwingine! pamoja na kukuheshimu sana!..akili mukichwa ukiona unaheshimiwa sanaaa ujue unaibiwa!
na kweli lazima niwe na Nyumba yangu binafsi km ke!....kupitia hela yako wewe me hiyo hiyo!....lazima mikuroge tuu utake usitake ili ulewe zaidi!..na unipe manufaa zaidi!
me unaejifanya kuheshimiwa siku ukiona mwanao wa kiume mkubwa amaefika chuo kikuu anza kuchimba kaburi lako utake usitake kabla hujaoa mke mwingine utaingia humooo!
na hakuna wa kuniuliza wala fyoo!...nakupeleka kiulainiiii kama unabisha Nenda Machame/Marangu nk! uone Muziki wa wanawake wa kichaga walivo ucheza!.....usipojifunza kitu hapo utakuwa mburula sana!
Mleta Mada lazima una kauchoyo flani hivi! ndani ya moyo unataka me wenzako wasifaidi hela za wanawake matajiri .....wenzako walisha jua kitambooo!! sana.
Remmy Ongalla asingekuwa na mke msomi/tajiri Ulaya angeisikia tu! sikia sasa nikwambie Bora uoe Mke mwenye Elimu na Pesa mingi mingi kukuzidi ili uishi maisha marefuuu! mpaka ushangae!.....
Eti unaogopa kusimangwa na mwanamke? mwache akusimange kwani nini bana! saana unampiga kimoja hapo hapo sebuleni baasi kwisha habari zake,
ke mwingine anakusimanaga zaidi maksudi tu, sababu yuko on heat! anataka mambo faster! eti me unalia umesimngwa yaani ngekuwa karibu ningekupiga kofi hilo mpaka unye!
me wengi walio kamilika hasa!! kale ka mdomo! domo! ka mwanamke ndo chachandu ile ya mapenzi raha ya Maisha bin kubwela!
Wenzako, wakipigwa vikofi/kujambiwa/kukojolewa/ wakisemwa/simangwa na wake zao! ndo wana nenepa kwa furahaaaa! na amani km zoote! kwa sababu ndo ke wote walivyo umbwa! ...
ukiona ke yuko tofauti na hizo tabia za kukunanga/simanga basi jua kabisa ni mgonjwa wa kisukari cha maini au kichaa hautafaidi mambo mazuri!
Nakupa mfano tu wa. mbuzi, ngo'mbe kuku mtetea anavyo msumbua jogoo kumkimbiza weeee!!...basi na nyie ndo ivo vio mtufukuzie kwa jashooo! kilio! ukitushindwa ina maana jogoo anakuzidi akili!
ajabu Dume zima LILILOENDA JANDO unalia kabisaa mpaka JF unalalama!, unakimbia nyumba kisa simango la mke? tena kiumbe yule wenzako wanasema ni dhaifu?...basi weye mleta mada utakuwa dhaifu zaidi!
Moderator Thread nyingine km hii muwe mnazipiga pin make zina dhalilisha sana Wanaume! kuna watoto wa kiume wanajifunza pia kupitia humu humu! mke fighter ndo mwenyewe! Km MUHESHIMIWA RAIS wetu!
kwanza km ke Ana Mali kukuzidi, anasomesha watoto wake ambao pia ni wako!.....weye unakula misele tu km zoote! badala ya kumshukuru Mungu amekupa kiumbe anaye tafuta vizuri eti weye unamkimbia? Loool!!
Mambo mengine Me muwe mnaona aibu kuyaleta humu! km vepi basi weye ndo utafute zaidi na zaidi yake ale asaze yeye! kabisaaa unalia lia na viji million vya mwanamke??
kwa hiyo hata Mama kuwa pale alipo umenuna siyo? make siyo dume yule!