mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Kabisa mkuu nilitaka niseme....Hapo Braeburn hakunaga ada ya Milioni 10 ada ndogo kabisa ni Milioni karibu 21
Angalia fees structure hii bila kuweka transport
Huyo dogo Naseeb Jr, yuko kwenye FS1 ambayo ni dollar 9390 kibongo bongo ni milioni 21
View attachment 2812674
View attachment 2812618
Achana na hizi shule za haoa bongo zilizojipachika majina ya international kimagumashi, Shule international haiwezi kufuata mtaala wa Necta.
International school zinazofuata mitaala ya kimataifa kama cambridge, Mwanafunzi anaweza kuhama Marekani leo hii na kesho akifika Tanzanja anaendelea na masomo kama kawaida.
Ni maalum zaidi kwa watoto wa mabalozi na watoto wa wafanyakazi wa mashirika ya kimataifa wanaohama hama nchi, ada za watoto wa mabalozi zinalipiwa na serikali zao, wale wa mashirika ada zinalipwa na mashirika yao.
Ada ya hizi shule ni ndefu sana endapo ukitaka kumsomesha mtoto wako kwa pesa zako mwenyewe, hapa waliozoeleka kusomesha ni wafanyabiashara na wanasiasa wenye pesa zao na exposure.
Ada ya mtoto wa chekechea pekee ni milioni 10 na nusu (10,500,000),
Faida za kusomesha shule hizi:
1. Mtoto anapata exposure ya kuishi na watu wa mataifa mbali mbali.
2.Mtoto anafundishwa kutema yai original la uingereza na marekani, asikudanganye mtu hizi shule za english medium tumezisoma ila tulichoambulia ni kuweza kuandika na kusoma kiingereza cha kawaida, kwenye kuzungumza tunaongea chenye lafudhi ya kibantu, mzungu akiongea wengi hawaelewi.
3. Mtoto ana chance kubwa ya kuja kusoma vyuo bora duniani kama Havard, Oxford, Cambridge, n.k.
4. kusafiri nje ya nchi kwajili ya trips.
5. watoto wanapata connections za watoto wenzao wazito, huwa zinawasaidoa sana hasa wakianza maisha ya kujitegemea, sehemu ambayo mtu unaweza kuchukua mwaka kuingia wao ni suala la kupiga simu tu.
6. Ajira zenye maokoto marefu, kwa wale wataoamua kufanya ajira mara nyingi hufanya kazi mashirika ya kimataifa kama UN, AU, EAC, Google, Microsoft, n.k. exposure wanayopata na connections walizonazo zinawabeba.
Hawafanyi mitihani yenu master ukiona huoni matokeo Yao maana yake upo upo kwenye ligi ndogo badosasa kwanini matokeo yao huwa hatuyaoni?
Braeburn siyo St bakhita pre& primary schoolUmefanya makosa kutaja shule anayosoma mtoto wa Diamond. Watu wenye nia mbaya wanaweza kum kidnap na kumtaka ransom kuutoka kwa wazazi wake. Naamini hata Braeburn School wakiona hii thread hawatapendezwa
Kwasababu ni matajiri hawana msukumo wa kuingia kwenye siasa na kufanya mambo makubwa.Uzi na kilichozungumzwa ni vitu viwili tofauti.
Unapoizungumzia "Elimu ni ufunguo wa maisha" sio lazima iwe ya International school... huenda Point yako ulitaka kutuhabarisha kwamba mtoto wa bwana Diamond anasoma Braeburn, sasa sijui tukuchinjie mbuzi au tukupigie makofi. Unajua mwenyewe
Hatuna Rais, Makamo, PM wala kigogo yoyote mwinginewe aliyesoma huko... na wanaishi ndani ya true definition of "Elimu ni ufunguo wa maisha"
Hayo mengine yote ni jeuri ya Pesa tu! Ila hatutakuja kupata rais alisoma IST na huko Braeburn. Kama unabisha subiri.
Safi sanaKuna mtu Dar hii hii wala afahamiki, ana biashara Hapo Kindondoni, anamlipia mwanae 35m a year! Nursery.
Kwani kuteka kukoje? Kuna kuteka kiholela na kijasiri? Mimi si shabiki wa Diamond lakini kwenye hilo siyo kitu kizuri ku revealBraeburn siyo St bakhita pre& primary school
Huwezi kwenda kuteka kiholela hapo
Kila mtoto anaesoma Braeburn ni mtoto wa kishua haswa pengine huyo Diamond ndo miongoni mwa maskini hapo kwahiyo kila mtoto hapo ni hela lakini jiulize kwanini hawaendi kutekaKwani kuteka kukoje? Kuna kuteka kiholela na kijasiri? Mimi si shabiki wa Diamond lakini kwenye hilo siyo kitu kizuri ku reveal
Sio poa Braeburn kusomesha uwe na kibunda, dogo atapata exposure akitoka hapo chuo moja kwa moja ni mambele hukoKabisa mkuu nilitaka niseme....
ninapoishi kuna shule ya braeburn nursery ada 33M/mwaka.
Wamepost wenyewe hiyo picha na jengo la shule hilo hapo.Umefanya makosa kutaja shule anayosoma mtoto wa Diamond. Watu wenye nia mbaya wanaweza kum kidnap na kumtaka ransom kuutoka kwa wazazi wake. Naamini hata Braeburn School wakiona hii thread hawatapendezwa
Watoto wanaosoma hizo shule kama IST ni wa wafanyabiashara wakubwa hawana njaa za kuingia kwenye msoto wa siasa mpaka watoboe.Hayo mengine yote ni jeuri ya Pesa tu! Ila hatutakuja kupata rais alisoma IST na huko Braeburn. Kama unabisha subiri.
Asante mtoa taarifaView attachment 2812618
Achana na hizi shule za haoa bongo zilizojipachika majina ya international kimagumashi, Shule international haiwezi kufuata mtaala wa Necta.
International school zinazofuata mitaala ya kimataifa kama cambridge, Mwanafunzi anaweza kuhama Marekani leo hii na kesho akifika Tanzanja anaendelea na masomo kama kawaida.
Ni maalum zaidi kwa watoto wa mabalozi na watoto wa wafanyakazi wa mashirika ya kimataifa wanaohama hama nchi, ada za watoto wa mabalozi zinalipiwa na serikali zao, wale wa mashirika ada zinalipwa na mashirika yao.
Ada ya hizi shule ni ndefu sana endapo ukitaka kumsomesha mtoto wako kwa pesa zako mwenyewe, hapa waliozoeleka kusomesha ni wafanyabiashara na wanasiasa wenye pesa zao na exposure.
Ada ya mtoto wa chekechea pekee ni milioni 10 na nusu (10,500,000),
Faida za kusomesha shule hizi:
1. Mtoto anapata exposure ya kuishi na watu wa mataifa mbali mbali.
2.Mtoto anafundishwa kutema yai original la uingereza na marekani, asikudanganye mtu hizi shule za english medium tumezisoma ila tulichoambulia ni kuweza kuandika na kusoma kiingereza cha kawaida, kwenye kuzungumza tunaongea chenye lafudhi ya kibantu, mzungu akiongea wengi hawaelewi.
3. Mtoto ana chance kubwa ya kuja kusoma vyuo bora duniani kama Havard, Oxford, Cambridge, n.k.
4. kusafiri nje ya nchi kwajili ya trips.
5. watoto wanapata connections za watoto wenzao wazito, huwa zinawasaidoa sana hasa wakianza maisha ya kujitegemea, sehemu ambayo mtu unaweza kuchukua mwaka kuingia wao ni suala la kupiga simu tu.
6. Ajira zenye maokoto marefu, kwa wale wataoamua kufanya ajira mara nyingi hufanya kazi mashirika ya kimataifa kama UN, AU, EAC, Google, Microsoft, n.k. exposure wanayopata na connections walizonazo zinawabeba.
Hivi mtoto Mwigulu,si niliona yupo Feza,hivi kwanini hamleti huku Kayumba,au hajui umuhimu wa Kayumba kwenye kutuletea marais?Uzi na kilichozungumzwa ni vitu viwili tofauti.
Unapoizungumzia "Elimu ni ufunguo wa maisha" sio lazima iwe ya International school... huenda Point yako ulitaka kutuhabarisha kwamba mtoto wa bwana Diamond anasoma Braeburn, sasa sijui tukuchinjie mbuzi au tukupigie makofi. Unajua mwenyewe
Hatuna Rais, Makamo, PM wala kigogo yoyote mwinginewe aliyesoma huko... na wanaishi ndani ya true definition of "Elimu ni ufunguo wa maisha"
Hayo mengine yote ni jeuri ya Pesa tu! Ila hatutakuja kupata rais alisoma IST na huko Braeburn. Kama unabisha subiri.
Watu mashuhuri wengi wenye nafasi kubwa serikalini na kwenye nchi hawanaga hizo mambo.... Shule yao kubwa ni Feza. Zamani walikuwa wanapeleka watoto Shaaban Robert labda na Aga-khan na Al-muntazir.Hivi mtoto Mwigulu,si niliona yupo Feza,hivi kwanini hamleti huku Kayumba,au hajui umuhimu wa Kayumba kwenye kutuletea marais?
Magu seminari,Mkapa seminari,Nyerere n.k. sijui wapi huko,labda itokee bahati.
Nani alikwambia wanaoingia kwenye Siasa wanasota sana mpaka watoboe?! πππWatoto wanaosoma hizo shule kama IST ni wa wafanyabiashara wakubwa hawana njaa za kuingia kwenye msoto wa siasa mpaka watoboe.
Tayari pesa wamezikuta nyumbani wanaenda kusoma kuja kuendeleza biashara za familia.
Mfano ni Mohammed Dewji ni alumnus wa IST
Noma sana!Uzi na kilichozungumzwa ni vitu viwili tofauti.
Unapoizungumzia "Elimu ni ufunguo wa maisha" sio lazima iwe ya International school... huenda Point yako ulitaka kutuhabarisha kwamba mtoto wa bwana Diamond anasoma Braeburn, sasa sijui tukuchinjie mbuzi au tukupigie makofi. Unajua mwenyewe
Hatuna Rais, Makamo, PM wala kigogo yoyote mwinginewe aliyesoma huko... na wanaishi ndani ya true definition of "Elimu ni ufunguo wa maisha"
Hayo mengine yote ni jeuri ya Pesa tu! Ila hatutakuja kupata rais alisoma IST na huko Braeburn. Kama unabisha subiri.
Noma sana!Uzi na kilichozungumzwa ni vitu viwili tofauti.
Unapoizungumzia "Elimu ni ufunguo wa maisha" sio lazima iwe ya International school... huenda Point yako ulitaka kutuhabarisha kwamba mtoto wa bwana Diamond anasoma Braeburn, sasa sijui tukuchinjie mbuzi au tukupigie makofi. Unajua mwenyewe
Hatuna Rais, Makamo, PM wala kigogo yoyote mwinginewe aliyesoma huko... na wanaishi ndani ya true definition of "Elimu ni ufunguo wa maisha"
Hayo mengine yote ni jeuri ya Pesa tu! Ila hatutakuja kupata rais alisoma IST na huko Braeburn. Kama unabisha subiri.