Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni mawazo ya kimasikiniNa huu ndio ukweli usiopingika wa maisha: Usiwasomeshe watoto wako kuwa matajiri, wafundishe kumjua Mungu,Yeye atawapa utajiri. Kwa njia hiyo watakuwa na furaha ya kweli. Kwa njia hiyo pia watakapokuwa wakubwa watajua thamani ya vitu na sio bei.
Kila mtu hujikuna anapojipataView attachment 2812618
View attachment 2812721
Achana na hizi shule za haoa bongo zilizojipachika majina ya international kimagumashi, Shule international haiwezi kufuata mtaala wa Necta.
International school zinazofuata mitaala ya kimataifa kama cambridge, Mwanafunzi anaweza kuhama Marekani leo hii na kesho akifika Tanzanja anaendelea na masomo ya jana kama kawaida.
Ni maalum zaidi kwa watoto wa mabalozi na watoto wa wafanyakazi wa mashirika ya kimataifa wanaohama hama nchi, ada za watoto wa mabalozi zinalipiwa na serikali zao, wale wa mashirika ada zinalipwa na mashirika yao.
Ada ya hizi shule ni ndefu sana endapo ukitaka kumsomesha mtoto wako kwa pesa zako mwenyewe, hapa waliozoeleka kusomesha ni wafanyabiashara na wanasiasa wenye pesa zao na exposure (unaweza kuwa na pesa ila kama huna exposure ama kuzungukwa na watu wenye exposure utaishia kusomesha shule za Necta)
Ada ya mwaka kwa chekechea ni dola 8,395, kwa pesa za kitanzania ukizidisha kwa shilingi 2,500 ni takribani shilingi milioni 21.
Faida za kusomesha shule za international:
- Mtoto anapata exposure ya kuishi na watu wa mataifa mbali mbali, shuleni kuna waarabu, wahindi, wachina, wabrazil, wanaijeria, n.k.
- Darasa moja halizidi wanafunzi 20
- Mtoto anafundishwa kuongea lugha za kimataifa kama kiingereza, kifaransa na spanish kwa ufasaha, kama ni yai wanatema lile original (hata Wema Sepetu pamoja na utukutu wake yai analicharaza), asikudanganye mtu hizi shule za english medium tumezisoma ila tulichoambulia ni kuweza kuandika na kusoma kiingereza kwa level ya kawaida sana, kwenye kuzungumza tunapata sana taabu kwa hizi lafudhi za kibantu (ze boi, ze geli, do zis) na ndio maana mzungu wa Marekani au Uingereza akiongea wengi hawaelewi inakuwa ni kuotea tu baadhi ya maneno
- Mtoto ana chance kubwa ya kuja kusoma vyuo bora duniani kama Havard, Oxford, Cambridge, n.k.
- kusafiri nje ya nchi kwajili ya trips.
- watoto wanapata connections za watoto wenzao wazito, huwa zinawasaidoa sana hasa wakianza maisha ya kujitegemea, sehemu ambayo mtu unaweza kuchukua mwaka kuingia wao ni suala la kupiga simu tu.
- Kibiashara hizi shule ni nzuri kuwaandaa watoto kuja kusimamia biashara za familia ama kuanzisha zao, Kama baba ni tajiri wa mashamba ya maparachi anayouza kwa wakenya basi mtoto kwa connections na exposure atazopata huko anaweza kupata masoko ya ulaya moja kwa moja, kwenye kuanzisha biashara nako tumewaona watu kama kina Benjamin Fernandez wamekataa mishahara ya milioni 40 kaanza biashra zake kwa kudhaminiwa mitaji, sio kirahisi rahisi tu kupata wadhamini inabidi uwe na connections.
- Ajira zenye maokoto marefu, kwa wale wataoamua kufanya ajira mara nyingi hufanya kazi mashirika ya kimataifa kama UN, AU, EAC, Google, Microsoft, n.k. exposure wanayopata na connections walizonazo zinawabeba.
Mawazo ya kimasikini haya yanayohubiriwa na wachungaji wanaokusanya sadaka zenu kununulia V8 huku nyie waumini mpo hoi.Na huu ndio ukweli usiopingika wa maisha: Usiwasomeshe watoto wako kuwa matajiri, wafundishe kumjua Mungu,Yeye atawapa utajiri. Kwa njia hiyo watakuwa na furaha ya kweli. Kwa njia hiyo pia watakapokuwa wakubwa watajua thamani ya vitu na sio bei.
Mil 20 kwa Mwaka si pesa ndefu kwa huyo Jamaa, ila kwa Mimi kapuku.. aisee huo ni mkopo wa miaka 8 nakatwa kila mwezi mpk hela ya watu irudi..🤣
Na wewe upo nyuma sana hivi mtu wa international school habari za kumi bora zinahusiana nini? Wale wanaenda kuelimika siyo kukaririNa hio ni shule ambayo hata haipo kumi bora kitaifa..
Incharge huna AKILI KIJIKO we jamaa!Na wewe upo nyuma sana hivi mtu wa international school habari za kumi bora zinahusiana nini? Wale wanaenda kuelimika siyo kukariri
Afurican bway jamaa si kakubeba wewe kwenye lisongi lako la bora kuinjoiiii! Asa mbona unamsagia kunguniHuwez kushindana na muuza unga
Hao humwezi Kutana popote labda kanisani mkuuacha waangaike tu akifika levo ya chuo atakutana na wenzie udsm au udom kwenye kunguni kule...
Kivipi wakati hawatumii mtaala wa NECTA? We jamaa una uhakika wa kupata milo mitatu kwa siku?Na hio ni shule ambayo hata haipo kumi bora kitaifa..
Mkuu huko tuendako watoto wa hawa viongozi wa sasa ndo wanaenda kuwa viongozi wa hili taifa na kwa taarifa yako ni kuwa sio upinzani wala CCM ni kwamba vigogo wote wanasomesha watoto hizi shule kali. Kama huamini fuatilia UVCCM ya sasa viongozi wake ni kina nani... tayari wa kishua Jokate ni boss UWT. Mbowe nae anamrithisha chama mwanae aitwae James ambaye kasoma Nje. Acha hizo fikra zilizopitwa na wakatiUzi na kilichozungumzwa ni vitu viwili tofauti.
Unapoizungumzia "Elimu ni ufunguo wa maisha" sio lazima iwe ya International school... huenda Point yako ulitaka kutuhabarisha kwamba mtoto wa bwana Diamond anasoma Braeburn, sasa sijui tukuchinjie mbuzi au tukupigie makofi. Unajua mwenyewe
Hatuna Rais, Makamo, PM wala kigogo yoyote mwinginewe aliyesoma huko... na wanaishi ndani ya true definition of "Elimu ni ufunguo wa maisha"
Hayo mengine yote ni jeuri ya Pesa tu! Ila hatutakuja kupata rais alisoma IST na huko Braeburn. Kama unabisha subiri.
we mama huna hata haya. Kwanza hata Mume huna!Kivipi wakati hawatumii mtaala wa NECTA? We jamaa una uhakika wa kupata milo mitatu kwa siku?
Jomba matusi ni ishara ya akili ndogo sana.we mama huna hata haya. Kwanza hata Mume huna!
usiku wa manane unazengea vijana wadogo wakuzagamue
Sio kwamba Fikra zimepitwa na wakati... hilo la vigogo kusomesha shule kali watoto wao nalijua pia.Mkuu huko tuendako watoto wa hawa viongozi wa sasa ndo wanaenda kuwa viongozi wa hili taifa na kwa taarifa yako ni kuwa sio upinzani wala CCM ni kwamba vigogo wote wanasomesha watoto hizi shule kali. Kama huamini fuatilia UVCCM ya sasa viongozi wake ni kina nani... tayari wa kishua Jokate ni boss UWT. Mbowe nae anamrithisha chama mwanae aitwae James ambaye kasoma Nje. Acha hizo fikra zilizopitwa na wakati