Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha🤣🤣🤣Alafu baadaye umezeeka unamwambia mtoto akupeleke checkup India anakwambia hana hela
yaleyale tu..Hao huwakuti UDSM au UDOM, labda Kairuki kidogoo
Wazazi pia vizuri kuzijua hizo shule vizuri zingineni huitwa International School lakini huwa na matokeo mabaya sana mitihani ya. Kimataifa ya CambridgeUnapaswa ufahamu kuwa Feza hiyohiyo unayoijua wewe Kuna upande wa pili wanafata mtaala wa Cambridge na ada zao huwa ndefu pia.
Yaani, we acha tu...😂Sema kweliii.
Ukisoma mtaala wa Cambridge yaani ndio unakuwa so powerful ama just Ile human ego distinguished in classic.yaani mfano mathematics amaa physics Ni mbali na hii ya necta,hii mie nimeuliza nielezewe. Mie Kuna watu wamemaliza hapa necta wakaenda Oxford , Cambridge,Yale, Massachusetts,havard ,mit, hapo huwa inakuwaje wanduguUnapaswa ufahamu kuwa Feza hiyohiyo unayoijua wewe Kuna upande wa pili wanafata mtaala wa Cambridge na ada zao huwa ndefu pia.
Ndiyo maana Wazee wengine wanatoa laana kwa Watoto wao 🤪Ha🤣🤣🤣
Hatari sana, ndiyo maana tunazaa kwa bajeti 😅Mie atlas tu pale ,kichwa inawaka moto
Bora uzae watoto wachache uwapeleke kwenye hizo shule.Bora hata wee umepeleka huko, wengine wanapeleka kwenye kidumu na ufagio.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uzi wote huu umeandika kisa mtoto wa Chibu au kuna lingine??View attachment 2812618
View attachment 2812721
Achana na hizi shule za hapa bongo zilizojipachika majina ya international kimagumashi, Shule international haiwezi kufuata mtaala wa Necta hata kama ni Feza boys.
International school zinazofuata mitaala ya kimataifa kama cambridge, Mwanafunzi anaweza kuhama Marekani leo hii na kesho akifika Tanzanja anaendelea na masomo ya jana kama kawaida.
Ni maalum zaidi kwa watoto wa mabalozi na watoto wa wafanyakazi wa mashirika ya kimataifa wanaohama hama nchi, ada za watoto wa mabalozi zinalipiwa na serikali zao, wale wa mashirika ada zinalipwa na mashirika yao.
Ada ya hizi shule ni ndefu sana endapo ukitaka kumsomesha mtoto wako kwa pesa zako mwenyewe, hapa waliozoeleka kusomesha ni wafanyabiashara na wanasiasa wenye pesa zao na exposure (unaweza kuwa na pesa ila kama huna exposure ama kuzungukwa na watu wenye exposure utaishia kusomesha shule za Necta)
International schools ni levels nyingine, hata marekani wana shule zao za serikali na private kama huku kwetu lakini hazifikii international.
Ada ya mwaka kwa chekechea ni dola 8,395, kwa pesa za kitanzania ukizidisha kwa shilingi 2,500 ni takribani shilingi milioni 21.
Faida za kusomesha shule za international:
- Mtoto anapata exposure ya kuishi na watu wa mataifa mbali mbali, shuleni kuna waarabu, wahindi, wachina, wabrazil, wanaijeria, n.k.
- Darasa moja halizidi wanafunzi 20
- Mtoto anafundishwa kuongea lugha za kimataifa kama kiingereza, kifaransa na spanish kwa ufasaha, kama ni yai wanatema lile original (hata Wema Sepetu pamoja na utukutu wake yai analicharaza), asikudanganye mtu hizi shule za english medium tumezisoma ila tulichoambulia ni kuweza kuandika na kusoma kiingereza kwa level ya kawaida sana, kwenye kuzungumza tunapata sana taabu kwa hizi lafudhi za kibantu (ze boi, ze geli, do zis) na ndio maana mzungu wa Marekani au Uingereza akiongea wengi hawaelewi inakuwa ni kuotea tu baadhi ya maneno
- Mtoto ana chance kubwa ya kuja kusoma vyuo bora duniani kama Havard, Oxford, Cambridge, n.k.
- kusafiri nje ya nchi kwajili ya trips.
- watoto wanapata connections za watoto wenzao wazito, huwa zinawasaidoa sana hasa wakianza maisha ya kujitegemea, sehemu ambayo mtu unaweza kuchukua mwaka kuingia wao ni suala la kupiga simu tu.
- Mtoto anapata moto mkali vibaya mno akisoma hizo shule hawezi kuridhika anavyoitwa wa kishua na rafiki zake wa kibongo, anaingia rasmi kwenye tabaka la malengo ya kuingiza walau milioni 20 kwa mwezi ili aweze kuja kuendana na wenzake, sio kuwaza mishahara ya milioni 3
- Kibiashara ni shule zinazoweza kukuza biashra za familia, Kama baba ni tajiri wa mashamba ya maparachi anayouza kwa wakenya basi mtoto kwa connections na exposure anaweza kupata masoko ya ulaya moja kwa moja na hata kuanzisha kiwanda cha bidhaa, kusoma hizi shule ni sawa na mtu alieishi sana Dar anaenda kijijini anaweza kuona fursa kibao.
- kwenye kuanzisha biashara kwa wale wasio na biashara za familia zinawasadia, wana uwezekano mkubwa wa kupata wadhamini / grants hasa katika nchi zetu hizi masikini, wana connections za wenzao wa mashirika ya kimataifa na wana exposure, Mfano ni Benjamin Fenandes app yake ni ya kawaida tu lakini imejipatia misaada ya pesa ndefu sana, na hivi sasa kaihamishia huko Kenya, connections na kuwa na exposure ya kuishi nchi zingine kunasaidia.
- Ajira zenye maokoto marefu, kwa wale wataoamua kufanya ajira mara nyingi hufanya kazi mashirika ya kimataifa kama UN, AU, EAC, Google, Microsoft, n.k. exposure wanayopata, kuzicharaza lugha za kimataifa na connections walizonazo zinawabeba.
Na kwa hiyo katiba ni uongo kabisa inavyoelekeza kuwa mtu kugombea urais anatakiwa kuwa na miaka 40 na pia awe na akili timamu.. kumbe kuna masharti mengine yapo😄Sio kwamba Fikra zimepitwa na wakati... hilo la vigogo kusomesha shule kali watoto wao nalijua pia.
Hunielewi na huwezi kunielewa na hautanielewa. Nchi kuongozwa na kiongozi wa aina fulani kunataka protokali mzee ambazo katu hutakaa ukazijua wewe mwananchi wa kawaida.
Tuombeane uhai uone kama nchi itakujwa kuongozwa na waliosoma IST na Braeburn... unafkiri sisi ni mazwazwa sana? 😀😀😀
Wataishia hukohuko ilipopataja, kuwa Rais kuna nidhamu zake bwamdogo. Huwezi katu kuyajua hayo mpaka uwe kwenye game
Sana,Kila mtoto anaesoma Braeburn ni mtoto wa kishua haswa pengine huyo Diamond ndo miongoni mwa maskini hapo kwahiyo kila mtoto hapo ni hela lakini jiulize kwanini hawaendi kuteka
Suala la ulinzi limezingatiwa labda akatekwe akiwa mikononi kwa babaake
AahaaaaBilashaka hao huwezi kuwakuta kwenye halmashauri.
Hata Mimi ,nampingaaaMawazo ya kimasikini haya yanayohubiriwa na wachungaji wanaotembeea ma V8 huku waumini hawana uhakika hata wa mlo wa usiku.
Maarifa ni muhimu na Mungu nae ni Muhimu
Ko,dogo anaandaliwa kuwa prof. wa ushgNice,,,,Hivi hii shule sindio ilikutwa na vitabu vinavyohamasisha ushoga au
Vitabu vile vilikuwa vinauzwa madukani.Nice,,,,Hivi hii shule sindio ilikutwa na vitabu vinavyohamasisha ushoga au
Never ever!!!mfano watoto wa bakhressa na Mo dewjiBilashaka hao huwezi kuwakuta kwenye halmashauri.