Elimu ni ufunguo wa Maisha, Diamond anamsomesha mtoto wake Braeburn International school, chekechea ada milioni 20

Elimu ni ufunguo wa Maisha, Diamond anamsomesha mtoto wake Braeburn International school, chekechea ada milioni 20

Ni kweli kabisa...mitoto huko

Inakuwa na tamaduni za kimagharibi

Mpaka inapitiliza

Suala la ushoga,kuvuta unga nk mtoto

Anaweza jifunzia huko

Siyo International school zote zinafundisha watoto nidhamu

Ova
Kuna sheria za nchi lazima zifuatwe kwa kila taasisi haijalishi ni ya Tz ama ya nje.

Suala la maadili lipo kwa mtu binafsi zaidi, watoto wote wa shule za kata na private wana maadili ?
 
Uzi na kilichozungumzwa ni vitu viwili tofauti.

Unapoizungumzia "Elimu ni ufunguo wa maisha" sio lazima iwe ya International school... huenda Point yako ulitaka kutuhabarisha kwamba mtoto wa bwana Diamond anasoma Braeburn, sasa sijui tukuchinjie mbuzi au tukupigie makofi. Unajua mwenyewe

Hatuna Rais, Makamo, PM wala kigogo yoyote mwinginewe aliyesoma huko... na wanaishi ndani ya true definition of "Elimu ni ufunguo wa maisha"

Hayo mengine yote ni jeuri ya Pesa tu! Ila hatutakuja kupata rais alisoma IST na huko Braeburn. Kama unabisha subiri.
Ukiona unam refer mwanasiasa kama mtu aliyefanikiwa,ujue upo katika shithole country tayari.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu nimecheka sana aisee,

Sent from my Pixel 4 using JamiiForums mobile app
Asilimia 90 ya watu wanaomaliza shule kwenye hizi elimu za 'kumi bora' na mpaka kufika chuo kikuu na kumaliza hawana uwezo binafsi wa kujieleza na kujiamini katika lugha zote kikiwepo na hiki kiswahili chetu.

Sasa utakaa hapa utajisifia na 'kumi bora' zinazozalisha watu wasioweza kushindana hata na wasomi wa hapo Kenya?

Wasomi wetu wakipelekwa kwenye majukwaa ya kimataifa huko wanajikanyaga, wote tuliona maprofesa wakishindwa hata kujieleza vizuri mbele ya vitoto vidogo tu vya kizungu kwenye kesi za mikataba ya madini huko.

Bora Diamond aliyeamua kumpeleka mtoto wake kwenye elimu sahihi inayoendana na soko kwa sasa.
 
Ndio watu husema usiseme hatuna hela sema sina hela

Mfano ada ya mwaka ya International School of.Tanganyika vidudu kwa mwaka ni shilingi milioni 43,chekechea milioni 62 kwa mwaka ,Msingi milionin72 kwa Mwaka angalia jedwali la ada hapo chini

Annual Tuition Fees (2023-2024 S.Y)​

GradesTanzanian Shillings (Millions)USD($)
Early Childhood 1-242.5916,700
Kindergarten - Grade 562.2224,400
Grade 6 - 872.4228,400
Grade 9 - 1076.7630,100
Grade 11 & 12 (IBDP 1&2)88.2334,600
*Subject to change depending on exchange rate. Current
Diamond alitamani kumpeleka mwanae IST lakini mfuko haujaruhusu 😂 (Joking)
 
Hivi hakuna wanaosoma havard kupitia huu mtaala wa necta? Nauliiza tu Ila pia kila mtu anaenda anapoweza kikubwa usifanye kutaka sifa ama tukufahamu na tukupe heshima unasomesha Shule za gharama.
Ameshindwa kusomesha ist Ada huko Ni 90M kwa mwaka. Huko USA zipo mpaka za 150M kwa mwaka. Bado Naona amepeleka pa Bei rahisi mno ambalo hata mwalimu anaweza somesha mwanae
Wapo wengi sana, sema ni vipanga. Nenda Instagram page ya Tansao ujionee.
1700089057803.png
 
Uzi na kilichozungumzwa ni vitu viwili tofauti.

Unapoizungumzia "Elimu ni ufunguo wa maisha" sio lazima iwe ya International school... huenda Point yako ulitaka kutuhabarisha kwamba mtoto wa bwana Diamond anasoma Braeburn, sasa sijui tukuchinjie mbuzi au tukupigie makofi. Unajua mwenyewe

Hatuna Rais, Makamo, PM wala kigogo yoyote mwinginewe aliyesoma huko... na wanaishi ndani ya true definition of "Elimu ni ufunguo wa maisha"

Hayo mengine yote ni jeuri ya Pesa tu! Ila hatutakuja kupata rais alisoma IST na huko Braeburn. Kama unabisha subiri.
Kwani hao waliosoma huko Uraisi wanataka?
Yaani mtoto wa Bakhresa aache kusimamia biashara za baba ake za ma trilioni, aje kusimangana na CCM kuutaka Uraisi?

#YNWA
 
Tatizo la elimu ni kwamba yan wewe unasoma yale ambayo wenzako tayari anayajua na weng wao hayajawasaidia lolote(hususan ktk swala zima la ajira).note; akili ni ufunguo wa maisha na sio elimu
 
Uzi na kilichozungumzwa ni vitu viwili tofauti.

Unapoizungumzia "Elimu ni ufunguo wa maisha" sio lazima iwe ya International school... huenda Point yako ulitaka kutuhabarisha kwamba mtoto wa bwana Diamond anasoma Braeburn, sasa sijui tukuchinjie mbuzi au tukupigie makofi. Unajua mwenyewe

Hatuna Rais, Makamo, PM wala kigogo yoyote mwinginewe aliyesoma huko... na wanaishi ndani ya true definition of "Elimu ni ufunguo wa maisha"

Hayo mengine yote ni jeuri ya Pesa tu! Ila hatutakuja kupata rais alisoma IST na huko Braeburn. Kama unabisha subiri.
Naongezea, mfano wa waliosoma huko ni looser Sepetunga
 
Back
Top Bottom