kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Km unataka kuteka labda ukateke maji... Ukateke watoto wa madon si watakuvunja pumbu kabla hujafika getiniKwanza huyo mtu anajitaka [emoji23][emoji1787]watoto wamabalozi wapo hapo afu ujiendee tu kuteka
Hasa ukizingatia ni kwa mwaka, hata ingekuwa ni 10m kwa mwezi asingeshindwa, hongera kwake kwa kumpeleka mtoto shule bora ambapo akimaliza elimu ya juu hatataka kuajiriwa popote atafanya ishu zakeMilioni 10 ndogo sana hiyo kwa Diamond Platnumz .
Kuna sheria za nchi lazima zifuatwe kwa kila taasisi haijalishi ni ya Tz ama ya nje.Ni kweli kabisa...mitoto huko
Inakuwa na tamaduni za kimagharibi
Mpaka inapitiliza
Suala la ushoga,kuvuta unga nk mtoto
Anaweza jifunzia huko
Siyo International school zote zinafundisha watoto nidhamu
Ova
Ana hela alizodhulumiwa na wanaouza jetAnahela gani mpaka mtoto wake atekwe?
Ukiona unam refer mwanasiasa kama mtu aliyefanikiwa,ujue upo katika shithole country tayari.Uzi na kilichozungumzwa ni vitu viwili tofauti.
Unapoizungumzia "Elimu ni ufunguo wa maisha" sio lazima iwe ya International school... huenda Point yako ulitaka kutuhabarisha kwamba mtoto wa bwana Diamond anasoma Braeburn, sasa sijui tukuchinjie mbuzi au tukupigie makofi. Unajua mwenyewe
Hatuna Rais, Makamo, PM wala kigogo yoyote mwinginewe aliyesoma huko... na wanaishi ndani ya true definition of "Elimu ni ufunguo wa maisha"
Hayo mengine yote ni jeuri ya Pesa tu! Ila hatutakuja kupata rais alisoma IST na huko Braeburn. Kama unabisha subiri.
[emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu nimecheka sana aisee,Utabaki hivyo hivyo na hizo kumi bora zako, mtu anamaliza chuo kikuu anaenda kujiajiri kulima matembele na mchicha.
[emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu nimecheka sana aisee,
Sent from my Pixel 4 using JamiiForums mobile app
We ni mshamba tuuMREMBO KIZIWI... HILO NALIJUA VIZURI, TUNGEJUANA NJE YA ID ZA JF INGEPENDEZA ZAIDI. 😊😊😊
USIMFUNDISHE MKUFUNZI.
#NAWASILISHA
Ni kweli lakini 😔Ukiona unam refer mwanasiasa kama mtu aliyefanikiwa,ujue upo katika shothole country tayari.
Diamond alitamani kumpeleka mwanae IST lakini mfuko haujaruhusu 😂 (Joking)Ndio watu husema usiseme hatuna hela sema sina hela
Mfano ada ya mwaka ya International School of.Tanganyika vidudu kwa mwaka ni shilingi milioni 43,chekechea milioni 62 kwa mwaka ,Msingi milionin72 kwa Mwaka angalia jedwali la ada hapo chini
Annual Tuition Fees (2023-2024 S.Y)
Grades Tanzanian Shillings (Millions) USD($) Early Childhood 1-2 42.59 16,700 Kindergarten - Grade 5 62.22 24,400 Grade 6 - 8 72.42 28,400 Grade 9 - 10 76.76 30,100 Grade 11 & 12 (IBDP 1&2) 88.23 34,600 *Subject to change depending on exchange rate. Current
Wapo wengi sana, sema ni vipanga. Nenda Instagram page ya Tansao ujionee.Hivi hakuna wanaosoma havard kupitia huu mtaala wa necta? Nauliiza tu Ila pia kila mtu anaenda anapoweza kikubwa usifanye kutaka sifa ama tukufahamu na tukupe heshima unasomesha Shule za gharama.
Ameshindwa kusomesha ist Ada huko Ni 90M kwa mwaka. Huko USA zipo mpaka za 150M kwa mwaka. Bado Naona amepeleka pa Bei rahisi mno ambalo hata mwalimu anaweza somesha mwanae
Kwani hao waliosoma huko Uraisi wanataka?Uzi na kilichozungumzwa ni vitu viwili tofauti.
Unapoizungumzia "Elimu ni ufunguo wa maisha" sio lazima iwe ya International school... huenda Point yako ulitaka kutuhabarisha kwamba mtoto wa bwana Diamond anasoma Braeburn, sasa sijui tukuchinjie mbuzi au tukupigie makofi. Unajua mwenyewe
Hatuna Rais, Makamo, PM wala kigogo yoyote mwinginewe aliyesoma huko... na wanaishi ndani ya true definition of "Elimu ni ufunguo wa maisha"
Hayo mengine yote ni jeuri ya Pesa tu! Ila hatutakuja kupata rais alisoma IST na huko Braeburn. Kama unabisha subiri.
Hizo ni international school sio English medium.acha waangaike tu akifika levo ya chuo atakutana na wenzie udsm au udom kwenye kunguni kule...
Sasa dayamond ana akili gani?🤣🤣ex muuza sisoTatizo la elimu ni kwamba yan wewe unasoma yale ambayo wenzako tayari anayajua na weng wao hayajawasaidia lolote(hususan ktk swala zima la ajira).note; akili ni ufunguo wa maisha na sio elimu
Fiche ujinga wako ndugu. Hii shule haifanyi mitihani ya NECTANa hio ni shule ambayo hata haipo kumi bora kitaifa..
Naongezea, mfano wa waliosoma huko ni looser SepetungaUzi na kilichozungumzwa ni vitu viwili tofauti.
Unapoizungumzia "Elimu ni ufunguo wa maisha" sio lazima iwe ya International school... huenda Point yako ulitaka kutuhabarisha kwamba mtoto wa bwana Diamond anasoma Braeburn, sasa sijui tukuchinjie mbuzi au tukupigie makofi. Unajua mwenyewe
Hatuna Rais, Makamo, PM wala kigogo yoyote mwinginewe aliyesoma huko... na wanaishi ndani ya true definition of "Elimu ni ufunguo wa maisha"
Hayo mengine yote ni jeuri ya Pesa tu! Ila hatutakuja kupata rais alisoma IST na huko Braeburn. Kama unabisha subiri.