Elimu pekee haitoshi kuleta Maendeleo au Mafanikio ya mtu mmoja mmoja

Elimu pekee haitoshi kuleta Maendeleo au Mafanikio ya mtu mmoja mmoja

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Watu ukiwasikiliza story zao zimejaa uongo sana.

Elimu ya zamani na ya sasa hakuna utofauti wowote nasema, maana jaribu kuwaangalia hao waliosoma zamani, ni mambo gani wamelifanyia hili Taifa?

Nchi inakwama kwa kukosa watu wenye akili na fikra pana na sio Elimu, vijana wanalaumiwa bure tu.
 
Back
Top Bottom