The Genius JF-Expert Member Joined May 29, 2018 Posts 822 Reaction score 2,095 Mar 14, 2022 Thread starter #21 Sakasaka Mao said: Kwa udadavuzi wa mada yako hii, imenifanya nishinde bila raha kutokana na mapungufu niliyonayo!! Click to expand... Umenifanya nicheke
Sakasaka Mao said: Kwa udadavuzi wa mada yako hii, imenifanya nishinde bila raha kutokana na mapungufu niliyonayo!! Click to expand... Umenifanya nicheke
Bondpost JF-Expert Member Joined Oct 16, 2011 Posts 7,019 Reaction score 10,455 Mar 14, 2022 #22 jkipaji said: Ila kumbuka kuna Mawakili kibao tu wanashiriki kwenye haya mauzo ya kiujanjanjaa tu,na mwisho wa siku nao wanakuta wanashitakiwa!! Click to expand... Hata mapadri na masheikh wapo ambao wanafanya madhambi yao nyuma ya utumishi wa dini zao hilo halikwepeki.
jkipaji said: Ila kumbuka kuna Mawakili kibao tu wanashiriki kwenye haya mauzo ya kiujanjanjaa tu,na mwisho wa siku nao wanakuta wanashitakiwa!! Click to expand... Hata mapadri na masheikh wapo ambao wanafanya madhambi yao nyuma ya utumishi wa dini zao hilo halikwepeki.
jerryempire JF-Expert Member Joined Jan 4, 2017 Posts 5,530 Reaction score 9,550 Mar 15, 2022 #23 The Icebreaker said: Mkuu mbona mihuri ipo chini ya picha badala ya kua juu ya picha? naomba kuelimishwa. Click to expand... hyo syo issue kubwa sabab wengine hufnyaga hizo biashara wakiwa hawana passport so baadae huambatanisha na pia muhimu zaid ni hyo mihuri kuwepo na sahihi zao pamoja na mashahidi
The Icebreaker said: Mkuu mbona mihuri ipo chini ya picha badala ya kua juu ya picha? naomba kuelimishwa. Click to expand... hyo syo issue kubwa sabab wengine hufnyaga hizo biashara wakiwa hawana passport so baadae huambatanisha na pia muhimu zaid ni hyo mihuri kuwepo na sahihi zao pamoja na mashahidi