OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #41
Kwani shida yako hasa nini, halafu ukishajua quality ya chuo inakuaje?
Mbona sisi hatuhoji migpa mikubwaa mnayopeana huko kwenye saint zenu?
Acha choko choko dada, kama huna la kufanya tafuta mume uolewe sio unaamka asubuhi asubuhi na ge.nye za kuchokoa wanaume.
Kama jibu langu halijakutosha nenda kaulize pale pale chuoni, nadhani watakuwa na jibu mujarab.
tunataka kujua ubora wa chuo!!haya mengine ni hangover za daku ya kitimoto na bangi.pale wanasoma watu sio misukule,wengine hapa ni waajiri