Elimu ya hii nchi ina balaa kubwa katika elimu. Hebu ona hizi Combination

Elimu ya hii nchi ina balaa kubwa katika elimu. Hebu ona hizi Combination

Nyuki Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2021
Posts
4,134
Reaction score
10,644
Kuna Tahsusi hata sielewi manufaa yake hasa ni yapi katika ujenzi wa Taifa
FB_IMG_1687803513608.jpg
 
Tuliwahi kusoma physics with chemistry na maisha yalisonga bila shida. Maisha ya bongo unatakiwa uende na beat tu.
Enzi za waziri Joseph Mungai,nashukuru sisi tuliendelea kama mwanzo kabla ya Mungai hivyo haikutuathiri baada ya kuingia waziri mingine yule mama( nimemsahau jina) na kutengua
 
Back
Top Bottom