ELIMU YA HISA: Simba wakipata bil40 za Azam basi 49% ni za Mo Dewji

ELIMU YA HISA: Simba wakipata bil40 za Azam basi 49% ni za Mo Dewji

hiram

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2013
Posts
266
Reaction score
393
Mfanyabiashara Mo Dewji anamiliki asilimia 49 ya hisa za Simba, Kama Simba watapata dili la kama la Yanga la bilioni 41 basi moja kwa moja asilimia 49 ya pesa hiyo itakwenda kwa Mo Dewji ambayo ni sawa na bilioni 20 na milioni tisa.

Hisa ni nini? Hisa ni namna ya kuchanga mtaji wa biashara ambapo biashara hiyo ikifanyika basi wanahisa wanagawana faida au hasara itakayotokana na biashara hiyo.
 
Mfanyabiashara Mo Dewji anamiliki asilimia 49 ya hisa za Simba, Kama Simba watapata dili la kama la Yanga la bilioni 41 basi moja kwa moja asilimia 49 ya pesa hiyo itakwenda kwa Mo Dewji ambayo ni sawa na bilioni 20 na milioni tisa
Hisa ni nini? Hisa ni namna ya kuchanga mtaji wa biashara ambapo biashara hiyo ikifanyika basi wanahisa wanagawana faida au hasara itakayotokana na biashara hiyo.
Iseee!!kumbe bado [emoji196][emoji196][emoji196]wa JaNgWani wanateseka Sana.
 
Unapotosha au umedanganywa. Watagawana faida halisi sio mapato ghafi. Hivi utopolo mnaexposure ya shule kweli?
Mapato mbalimbali yakiingia club itafanya matumizi ya kibiashara na kiutawala, halafu watalipa kodi kwenye faida ghafi, itabaki faida halisi au hasara hiyo ndo inagawanwa kwa percent zilizokubaliwa nao.
Ndo maana washabiki wa utopolo kutwa mnadanganywa na viongozi wenu na Wala hamfikiriagi. Jisomeeni basi mfute ujinga wenu.
 
Unapotosha au umedanganywa. Watagawana faida halisi sio mapato ghafi. Hivi utopolo mnaexposure ya shule kweli?
Mapato mbalimbali yakiingia club itafanya matumizi ya kibiashara na kiutawala, halafu watalipa kodi kwenye faida ghafi, itabaki faida halisi au hasara hiyo ndo inagawanwa kwa percent zilizokubaliwa nao.
Ndo maana viongozi wa utopolo kutwa mnadanganywa na viongozi wenu na Wala hamgikiriagi. Jisomeeni basi mfute ujinga wenu.
Kwa hiyo simba watapata zoooote siyo
 
Unapotosha au umedanganywa. Watagawana faida halisi sio mapato ghafi. Hivi utopolo mnaexposure ya shule kweli?
Mapato mbalimbali yakiingia club itafanya matumizi ya kibiashara na kiutawala, halafu watalipa kodi kwenye faida ghafi, itabaki faida halisi au hasara hiyo ndo inagawanwa kwa percent zilizokubaliwa nao.
Ndo maana washabiki wa utopolo kutwa mnadanganywa na viongozi wenu na Wala hamfikiriagi. Jisomeeni basi mfute ujinga wenu.

Umechanganua vizuri kabisa
 
Mfanyabiashara Mo Dewji anamiliki asilimia 49 ya hisa za Simba, Kama Simba watapata dili la kama la Yanga la bilioni 41 basi moja kwa moja asilimia 49 ya pesa hiyo itakwenda kwa Mo Dewji ambayo ni sawa na bilioni 20 na milioni tisa.

Hisa ni nini? Hisa ni namna ya kuchanga mtaji wa biashara ambapo biashara hiyo ikifanyika basi wanahisa wanagawana faida au hasara itakayotokana na biashara hiyo.
Watu mnagawana mtaji au faida?

Pesa ya udhamini ni mtaji au faida?
 
Mfanyabiashara Mo Dewji anamiliki asilimia 49 ya hisa za Simba, Kama Simba watapata dili la kama la Yanga la bilioni 41 basi moja kwa moja asilimia 49 ya pesa hiyo itakwenda kwa Mo Dewji ambayo ni sawa na bilioni 20 na milioni tisa.

Hisa ni nini? Hisa ni namna ya kuchanga mtaji wa biashara ambapo biashara hiyo ikifanyika basi wanahisa wanagawana faida au hasara itakayotokana na biashara hiyo.
 
Mimi kama shabiki wa Simba yanayonihusu ni Simba iwe na wachezaji bora/usajili bora na timu ifanye vema ndani na nje ya nchi,facilities zote za timu kama viwanja,stahiki bora kwa wachezaji n,k.
mambo ya mgao wa pesa kati ya timu na muwekezaji aunihusu kwasabubu mashabiki hatupewi hizo fedha mikononi.
 
Mfanyabiashara Mo Dewji anamiliki asilimia 49 ya hisa za Simba, Kama Simba watapata dili la kama la Yanga la bilioni 41 basi moja kwa moja asilimia 49 ya pesa hiyo itakwenda kwa Mo Dewji ambayo ni sawa na bilioni 20 na milioni tisa.

Hisa ni nini? Hisa ni namna ya kuchanga mtaji wa biashara ambapo biashara hiyo ikifanyika basi wanahisa wanagawana faida au hasara itakayotokana na biashara hiyo.
ni kweli lakini haipo kiivyo unavyofikiri.
mgawo unafanyika baaada ya shughuli zote kufanyika yaani mapato na matumizi na sehemu ya fedha ya uendeshaji kutengwa halafu wana hisa wanakubaliana kutoa kiasi fulani kwa ajiri ya kugawana na ndipo yeye anaweza pata 49% ya sehemu ya faida waliyokubaliana kugawana.
lakini ikumbukwe hata ikitokea hasara ufidiaji ni ulele.
Kiukweli hawa watu hawakutakiwa kupewa Hisa nyingi kiasi hiki bali wangepewa hata 20% na 30% zikawa kwa wanachama na wapenzi kisha club ikabaki na 50% hapo ingekuwa sawa
 
Mimi kama shabiki wa Simba yanayonihusu ni Simba iwe na wachezaji bora/usajili bora na timu ifanye vema ndani na nje ya nchi,facilities zote za timu kama viwanja,stahiki bora kwa wachezaji n,k.
mambo ya mgao wa pesa kati ya timu na muwekezaji aunihusu kwasabubu mashabiki hatupewi hizo fedha mikononi.
Safi sana!! Wewe ndiyo mbumbumbu halisi sasa!!! Umejieleza vizuri.
 
Back
Top Bottom