Ila mijitu ya utopolo asilimia kubwa ni mijinga,yule mzungu aliewahi kuwa kocha wao hakukosea kuyaita majitu haya nyani na yana bweka kama mbwa mzungu alikuwa sahihi sana.
Hayajui chochote kuhusu hisa,unakuta muanzisha uzi ni linyani limoja la utopolo limeshiba karanga linatema tu shudu.
kwa akili zake alijawahi hata kusoma kwenye magazeti mfano:Crdb yapata faida ya bilion kadhaa yaamua kugawa asilimia Fulani ya faida kama gawio kwa wanahisa wake?! Mijitu ya utopolo inadhani pesa ikiingia tu kwenye timu ni kugawana tu!!!mijitu ya utopolo mingi haina shule ndio maana inadanganywa na GSM inabaki kushangilia tu ujinga,Gsm ni kit sponsor wa utopolo,lakini kaingia mpaka ndani ndio anasajili,anaweka timu kambi,gsm ndio kila kitu yanamtangaza na kumshangilia kuliko main sponsor ambae ni sportpesa.
Gsm aliyadanganya mautopolo ameingia sijui mkataba na la liga kwa niaba ya yanga,hayajiulizi uyo gsm ni nani mpaka apate mandate ya kusaini mkataba na la liga kwa niaba ya utopolo?!!yaani leo adidas asaini mkataba wa makubaliano yeyote kwa niaba ya madrid kwakuwa yeye ni kit sponsor?!;au ulhsport leo asaini mkataba wa makubaliano yeyote ya kiutawala kwa niaba ya Simba SC kwakua ni kit sponsor?!! Miutopolo ni minyani kweli haijitambui hata kidogo
Leo gsm ambae kit sponsor kayaandalia rasimu ya mabadiliko kwa niaba yao yanashangilia tu,na yana uongozi baada uongozi wao ndio uandae na kusimamia mabadiliko yote, lakini maajabu ya dunia kit sponsor ndie anaratibu kila kitu,sawa tunajua utopolo ni majinga lakini hata kujiuliza!! uyu tumemueka atuuzie tu mashati yetu inakuaje ndio atupangie kila kitu?! Hayajiulizi yako kama majinga...basi majinga mengi utopoloni.