ELIMU YA HISA: Simba wakipata bil40 za Azam basi 49% ni za Mo Dewji

ELIMU YA HISA: Simba wakipata bil40 za Azam basi 49% ni za Mo Dewji

Mkuu unaona faida gani kudanganya? Nilidhani unatuletea kweli “Elimu” ya hisa kumbe blah blaha tu.Kwanza ni lini MO keshamiliki hizo hisa 49%? Yani kitu kiko kwa mchakato wewe tayari umekitolea maamuzi,na ni nani alikwambia kupata hiyo 41bn ni faida tayari? Unajua tofauti ya other Income na Net Profit kwenye Financial Statements? Tuna uzoefu pia wa kufanya kazi kwa Kampuni zinazoendeshwa kwa mfumo wa umiliki wa hisa,faida huwa haigawanywi hivyo kama unavyotaka kudanganya watu hapa.Punguza ushabiki kama kweli umeamua kutoa “elimu ya hisa”
Kwa hiyo sajili anazozifanya mpaka anateua akina Barbara kafanya kama nani, Rage akiwaambia ukweli, mnaishia kutukana.
 
Kwa hiyo sajili anazozifanya mpaka anateua akina Barbara kafanya kama nani, Rage akiwaambia ukweli, mnaishia kutukana.
Anavyotoa hela zake kuiendesha timu mbona husemi?
Nyie utopolo mtuache kabisa, timu tushampa kanjibai wetu na tumeridhika nyie nunueni mabasi wee ya mtumba. Kazi yetu kula pop corn na kuangalia pira biriani na pira gwaride
 
Unapotosha au umedanganywa. Watagawana faida halisi sio mapato ghafi. Hivi utopolo mnaexposure ya shule kweli?
Mapato mbalimbali yakiingia club itafanya matumizi ya kibiashara na kiutawala, halafu watalipa kodi kwenye faida ghafi, itabaki faida halisi au hasara hiyo ndo inagawanwa kwa percent zilizokubaliwa nao.
Ndo maana washabiki wa utopolo kutwa mnadanganywa na viongozi wenu na Wala hamfikiriagi. Jisomeeni basi mfute ujinga wenu.
bosi punguza munkari, kabla hata ya faida pale pale kwenye mtaji inajulikana kila mtu yake ni shilingi ngapi, kuitia pesa hiyo kwenye matumizi hakuifanyi iwe ya simba 100%
 
Watu mnagawana mtaji au faida?

Pesa ya udhamini ni mtaji au faida?
kama mmechanga mtaji kisha mkaongezewa mtaji tena ule mtaji unapaswa kugawanywa kwa uwiano sahihi, ili ikipatikana faida ijulikane ya nani ni ngapi
 
Mimi kama shabiki wa Simba yanayonihusu ni Simba iwe na wachezaji bora/usajili bora na timu ifanye vema ndani na nje ya nchi,facilities zote za timu kama viwanja,stahiki bora kwa wachezaji n,k.
mambo ya mgao wa pesa kati ya timu na muwekezaji aunihusu kwasabubu mashabiki hatupewi hizo fedha mikononi.
Usipofuatilia hayo, kuna siku team yako itaishia kuwa Gor Mahia. Lazima ufuatilie hayo ili ujue uendelevu wa timu.
 
Unapotosha au umedanganywa. Watagawana faida halisi sio mapato ghafi. Hivi utopolo mnaexposure ya shule kweli?
Mapato mbalimbali yakiingia club itafanya matumizi ya kibiashara na kiutawala, halafu watalipa kodi kwenye faida ghafi, itabaki faida halisi au hasara hiyo ndo inagawanwa kwa percent zilizokubaliwa nao.
Ndo maana washabiki wa utopolo kutwa mnadanganywa na viongozi wenu na Wala hamfikiriagi. Jisomeeni basi mfute ujinga wenu.
Mkuu viumbe kama hawa si rahisi kuelimika hata kidogo
FB_IMG_1625214394973.jpg
 
Hawa mbumbumbu fc ni wasahaulifu sana. Wameshasahau sisi ni Mabingwa wa Kombe la Mapinduzi! Na tulilichukua kwa kuwafunga kupitia mikwaju ya penati.

Na tarehe 25 tunachukua Kombe la pili mikononi mwao.
Lile birika la kuvutia shisha ndiyo kombe,haya baada ya kulipata limewawezesha kushiriki mashindano gani ya kimataifa? Nyani wa pori la Utopolo stahili yenu ni hili hapa
IMG-20210712-WA0003.jpg
 
Unapotosha au umedanganywa. Watagawana faida halisi sio mapato ghafi. Hivi utopolo mnaexposure ya shule kweli?
Mapato mbalimbali yakiingia club itafanya matumizi ya kibiashara na kiutawala, halafu watalipa kodi kwenye faida ghafi, itabaki faida halisi au hasara hiyo ndo inagawanwa kwa percent zilizokubaliwa nao.
Ndo maana washabiki wa utopolo kutwa mnadanganywa na viongozi wenu na Wala hamfikiriagi. Jisomeeni basi mfute ujinga wenu.
Hata kama watapata zote Mo hawezi kukubali zitumike zote kwaajili ya club kuspend kwenye matumizi ya kawaida nyingi atataka zilete faida ya uwekezaji wake au lasivyo apo simbia atakua anatoa sadaka kitu ambacho kwa mfanyabiashara ni impossible.
 
Subiri msimu ujao halafu uone moto wa Wananchi! Yule mbumbumbu mwenzenu Karia, tutamtafutia dawa nzuri. Halafu tuone kama ataweza tena kuwabeba.
Sajilin wachezaj wazur acha kuwa mfuata upepo ,karia anausika vp apo mbona kuna muda munaongea kaur kama tokea yanga iyanzishwe imeanza kukosa kombe kwa sababu ya karia ,muna wachezaj wazur ongeza nguvu wazur zaid sio kumlaum mtu kwa uzembe wenu

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mfanyabiashara Mo Dewji anamiliki asilimia 49 ya hisa za Simba, Kama Simba watapata dili la kama la Yanga la bilioni 41 basi moja kwa moja asilimia 49 ya pesa hiyo itakwenda kwa Mo Dewji ambayo ni sawa na bilioni 20 na milioni tisa.

Hisa ni nini? Hisa ni namna ya kuchanga mtaji wa biashara ambapo biashara hiyo ikifanyika basi wanahisa wanagawana faida au hasara itakayotokana na biashara hiyo.

Hii Nyani ninauhakika haijawahi kufaulu somo la hesabu katika Career yake yote ya Shule.

Yaani haijui hata ni nini maana ya "KUGAWANA FAIDA au HASARA" bali inahisi Wanahisa wanagawana Mtaji.
 
Kwa hiyo sajili anazozifanya mpaka anateua akina Barbara kafanya kama nani, Rage akiwaambia ukweli, mnaishia kutukana.

Na Yule Kocha wenu Lucy kuwaambia ukweli Utopolo hakukosea,mnafanana kabisa na wale viumbe
 
Anavyotoa hela zake kuiendesha timu mbona husemi?
Nyie utopolo mtuache kabisa, timu tushampa kanjibai wetu na tumeridhika nyie nunueni mabasi wee ya mtumba. Kazi yetu kula pop corn na kuangalia pira biriani na pira gwaride

Wamekalia kupost mabus ya wengine halafu wanasema kwa sasa wao ni Wamiliki wa bus kama Real Madrid[emoji28][emoji28].
 
Akili za Yanga bwana ,Sasa kwani Simba mabadiliko yamekamilika si bado FCC wanazingua
 
Hii Nyani ninauhakika haijawahi kufaulu somo la hesabu katika Career yake yote ya Shule.

Yaani haijui hata ni nini maana ya "KUGAWANA FAIDA au HASARA" bali inahisi Wanahisa wanagawana Mtaji.
Nyani mimi nasema hivii, unapoiona biashara yoyote inayohusisha hisa basi ule mtaji tayari umajigawa na kila mtu anajua chake shilingi ngapi, kama biashara itavunjika leo basi kila upande una sehemu yake ya MTAJI, na kimsingi mgawanyo wa mtaji ndio unaotumika kugawa faida mbumbumbu wewe
 
Unapotosha au umedanganywa. Watagawana faida halisi sio mapato ghafi. Hivi utopolo mnaexposure ya shule kweli?
Mapato mbalimbali yakiingia club itafanya matumizi ya kibiashara na kiutawala, halafu watalipa kodi kwenye faida ghafi, itabaki faida halisi au hasara hiyo ndo inagawanwa kwa percent zilizokubaliwa nao.
Ndo maana washabiki wa utopolo kutwa mnadanganywa na viongozi wenu na Wala hamfikiriagi. Jisomeeni basi mfute ujinga wenu.
Atleast umewatoa tongotongo wajinga hawa....atakachopata Mo Dewji ni either 49% of profit/loss au 49% ya value ya club iwapo itachange kutokana na huo uwekezaji utakaofanywa na Bakhresa and not any more
 
Kumiliki hisa asilimia 49 kuna maanisha mapato ya faida yanayoingia , asilimia 49 ya mapato na faida zinaenda kwa Mmiliki wa hizo asilimia 49.
 
Back
Top Bottom